Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Angeondoka tu na baadh ya wachezaji
 
Naomba iwe kweli, kocha simpendi kabisaaa.
Na dirisha dogo, Ntibanzokiza afurushwee.
Tulipowaambia papatupapatu sio nzuri mkaitetea haya sasa chupi la aibu kichwani limewaganda mnahangaika kulivua...😂
 
Huu utaratibu wa kuajiri na kufukuza makocha kila mwaka hauwezi kamwe kutengeneza utulivu ndani ya timu. Simba mnatakiwa kubadilika. Wapeni makocha wenu muda wa kutengeneza kikosi cha timu.

Tatizo kwenye timu yenu lipo kwa wachezaji wenu. Wengi wana umri mkubwa (wazee), na hawapati muda mwingi wa kupumzika kutokana na kucheza mechi nyingi ndani ya msimu wa Ligi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…