Azam kama wana akili ndio muda wa kumchukua huyu kocha, kwanza ana uzoefu na soka la bongo, pili azam wana wachezaji wazuri kuliko simba lakini pia kocha anawajua makolo nje ndani kwa hiyo wakikutana ni mwendo wa kuwapasua tu.
Umemeliza yakheJe; kweli Robertinho amepatiwa wachezaji wenye Quality ya kutosha?
Je, baada ya Simba kufungwa na Yanga, /simba watamfukuza Kocha wao anayelipwa mamilioni kwa Mwezi na kuishi jumba la kifahari Masaki?
- -Miquisson ana-Struggle for fitness
- -Kramo ana injury ya muda mrefu
- -Onana anakosa confidence na Concentration ya mchezo.
- -Moses Phiri ana matatizo yake na baadhi ya viongozi.
- -Duchu na Kazi hatujui wako wapi.
- Saido, Zimbwe na Chama viwango vyao vimeshuka baada ya
- kutumika kwa muda mrefu.
- Je Robertinho ana hao watu wa kufanya kazi?
- lle midfield ya Yanga ina kila kitu &
- Aucho ni Controller
- Mudadhir ni defender
- Aziz Ki ni creator kiwango cha FIFA.
- Pacome ni holding Midfielder.
- Maxi Nzengeli eye anau-speed-up mchezo.
Kufungwa kwa Yanga na ihefu ndio kulimnusuru utege na hata makolo wenyewe wakaanza kujitapa huku wakisahau timu lao ni bovu ni tff na bi tatu malogo tu msaada kwao,makolo timu lenu ni bovu yan pale hamna hata mchezaji m1 anaeanza kwenye first 11 ya Yanga View attachment 2806763
Timu wamerudishiwa wavurugaji wale wale wakina Matola.
Kwani Matola ndio mara ya kwanza kupewa timu mpaka usijue ubora wake?Ubora au sio ubora ni mpaka athibitishe kwa matokeo yake, mbinu zake na aina ya mchezo wake.
Zidane hakuwa kocha hapo kabla ila akaonesha ubora wake.
Huu uandishi unaonyesha tu bado una wenge la kichapo akilini mwako. Kuwa mtulivu angalau wiki tatu utakaa sawa tuShida ya mashabiki wa yanga ni wanafiki, na pia ni vigeu geu wakiona simba wameshinda wapo na jezi ya simva ng'we ukiona yanga wamefubga ng'wee halafu wengi ni wachawi
RONERTINHO kaonewa. Kocha kapoteza gemu moja tu yule. #Justice4Robertinho.
Ulikuwepo au umehadithiwa?Mbona hata Yanga amelambwa Tano bila na Simba?.
Unaacha kupigani Yanga wajenge uwanja unahangaika na mzungu?RONERTINHO kaonewa. Kocha kapoteza gemu moja tu yule. #Justice4Robertinho.
MbumbumbuGSM ni mhuni tu wa kariakoo huwezi hata kidogo kumuweka kundi moja na Mo Dewji tajiri ambaye dunia nzima inamjua.
GSM anatajirikia magumashi ya bandarini na kiama chake kimeshafika, DP World na ufanisi wake ndio mwisho wa uanaharamu wote anaoufanya GSM kwa kuingiza madawa ya kulevya na ukwepaji mkubwa wa kodi.
Simba kufungwa na Yanga 5-1 ni kutetereka tu lakini kila kitu kinarudi kwenye mstari ulionyooka ndani ya muda mfupi ujao.
Japokua mm ni yanga lialia...ila nimesikitishwa sana na uamzi huo(kumfukuza robatinho),sijaona sababu yamaana iliyowafanya wamtimue unless nikama mbuzi wakafara tu au wanatafuta pakudondoshea jumba bovu...hata kama yanga nibora kwasasa ,ila haimaanishi kua simba nimbovu kupindukia tatizo mpira wabongo ..kuna ligi mbili
1.ligi ya simba na yanga(watani)
2.ligi kuu.
.....ukishinda ligi kuu ukafungwa ligi ya simba na yanga unaonekana haufai kumbe unakua umeuingia mfumo tu wa mpinzani...simba kacheza navilabu vikubwa kama ahly,wydadi na kafanya vizuri tu kitakwimu nawalisifiwa...kawafikisha MAKUNDI CCF,bado kafungwa mechi moja tu namtani kati ya saba.....namengineyobmengi mazuri ya robatinho..ngoja aje kocha mwingine mpigike hadi maji muite mma..
Aende wapi wakati anafamilia.Naomba iwe kweli, kocha simpendi kabisaaa.
Na dirisha dogo, Ntibanzokiza afurushwee.
😁😁😁😁mwamba wa LusakaJe; kweli Robertinho amepatiwa wachezaji wenye Quality ya kutosha?
Je, baada ya Simba kufungwa na Yanga, /simba watamfukuza Kocha wao anayelipwa mamilioni kwa Mwezi na kuishi jumba la kifahari Masaki?
Za Ndani kabisa , kuna mchezaji mmoja ni Kiungo mchezeshaji anakiwango bora ila anapiga puli hivyo hana nguvu uwanjani.
- -Miquisson ana-Struggle for fitness
- -Kramo ana injury ya muda mrefu
- -Onana anakosa confidence na Concentration ya mchezo.
- -Moses Phiri ana matatizo yake na baadhi ya viongozi.
- -Duchu na Kazi hatujui wako wapi.
- Saido, Zimbwe na Chama viwango vyao vimeshuka baada ya
- kutumika kwa muda mrefu.
- Je Robertinho ana hao watu wa kufanya kazi?
- lle midfield ya Yanga ina kila kitu &
- Aucho ni Controller
- Mudadhir ni defender
- Aziz Ki ni creator kiwango cha FIFA.
- Pacome ni holding Midfielder.
- Maxi Nzengeli eye anau-speed-up mchezo.
Mie sipigani nawewe maana nipo simba kwa raha na huzuni kama leoHuu uandishi unaonyesha tu bado una wenge la kichapo akilini mwako. Kuwa mtulivu angalau wiki tatu utakaa sawa tu
Matola amerudi tena tutarajie John bocco akipangwa mara kwa mara
Wamesahau kocha huyo huyo ndiye waliyetoka kumshangilia kwa kuchuana vikali na giant wa Africa, bingwa wa Africa ( Al Ahly) na kutoshana nguvu.
Wamuombe msamaha Mgunda kwa kumuharibia wakati wake, bora mngemuacha na Coastal yake kuliko kumfanya kama karai la zege. Simba wakifanya mchezo, mechi zao zinazokuja watasulubiwa na kuwatoa kabisa kwenye mashindano yoyote wanayoshiriki.Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).
Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.
Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.
Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
Kwani matola ndio kapewa timu, unipe taarifa pia, siungi mkono yeye kupewa timu.Kwani Matola ndio mara ya kwanza kupewa timu mpaka usijue ubora wake?
Na wewe ukaamini ule msala wa unga ni wa yule kocha wa makipa peke yake viongozi hawahusiki?Shida ya Simba ni Viongozi wasio na Vision. Kuna kipindi walikuwa na kocha wa makipa wa kuazima, alipodakwa na madawa wakamkana. Ndipo wakasajiri kocha wa makipa mwingine. Kuna shida kubwa Simba.