Simba yasaini mkataba wa miaka mitano na M-Bet kama Mdhamini Mkuu

Simba yasaini mkataba wa miaka mitano na M-Bet kama Mdhamini Mkuu

maon yangu sidhan simba walikuwa na mpango wa kutangaza mapema.. kumbuka mambo ya mikataba usidhan ka vile unatoq mahari.. kuna taratibu nyinhi zinazofanya utangazwaji uchelewe .. mi naona simba wamelazimika kumtangaza mapema sababu team inasafiri na kits za safari zitakuwa na logo ya mdhamin mpya so kuepuka sintofaham watu wakiona kits za simba na logo za mbet ndo maana wakaamua kutangaza mapema ila press wataifanya baada ya mambo mengine kukamilika ndo maana wameweka August 1.

hawawez kuchelewa kutangaza ili kujua yanga atapata ngap kwa sportpesa maana haiwahus tena kumbuka nao walikuwa wana negotiate na sportpesa so kuna uwezekano wanajua kiasi kilichowekwa mezan na sportpesa kwa pande zote mbili.. so hawana haja ya kufoji figure..

mwisho ukumbuke kwenye mapato ya simba kuna kodi ya serikali haweza kufanya ujinga wa kutaja kiasi kikubwa ili kuwaridhisba mashabili kumbe wamepokea kdg itawapa shida kwenye ukaguzi

jaman mambo mengine hayaendeshwi kisiasa au kishabiki..
Basi kulikuwa hakuna haja ya kuvaa hata hiyo Logo ya M-Bet kama bado hamjafikia makubalio yoyote ya kimkataba kati yao

Wangevaa T-shirt zao plain bila mdhamini mpk hapo watakapokubaliana kila kitu

Kitendo cha kuvaa nembo mdhamini bila makubaliano yoyote kukamilika,sio utaratibu mzuri wa uendeshwaji wa timu kisasa ila timu inaendeshwa kwa mihemko
 
Ila abas tarimba alichowafanyia simba kwenye mkataba wa sportpesa ingekuwa ulaya wangemfunga bora simba wameachana nae tuone na hao utopolo wao watafika wapi karibu M bet simba sports club.
 
maon yangu sidhan simba walikuwa na mpango wa kutangaza mapema.. kumbuka mambo ya mikataba usidhan ka vile unatoq mahari.. kuna taratibu nyinhi zinazofanya utangazwaji uchelewe .. mi naona simba wamelazimika kumtangaza mapema sababu team inasafiri na kits za safari zitakuwa na logo ya mdhamin mpya so kuepuka sintofaham watu wakiona kits za simba na logo za mbet ndo maana wakaamua kutangaza mapema ila press wataifanya baada ya mambo mengine kukamilika ndo maana wameweka August 1.

hawawez kuchelewa kutangaza ili kujua yanga atapata ngap kwa sportpesa maana haiwahus tena kumbuka nao walikuwa wana negotiate na sportpesa so kuna uwezekano wanajua kiasi kilichowekwa mezan na sportpesa kwa pande zote mbili.. so hawana haja ya kufoji figure..

mwisho ukumbuke kwenye mapato ya simba kuna kodi ya serikali haweza kufanya ujinga wa kutaja kiasi kikubwa ili kuwaridhisba mashabili kumbe wamepokea kdg itawapa shida kwenye ukaguzi

jaman mambo mengine hayaendeshwi kisiasa au kishabiki..
Hicho kitu hakipo hauwezi kuvaa logo kabla mkataba hauja kamilika labda hizo taasisi zinaendeshwa kihuni

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ni kawaida tu hata Man U kila walipokuwa wanabadili wadhamin mfano (CHEVLOLET- Teamviewer) watu walikuwa na mtazamo kama wako.

Chelsea nao wakati wanahama kwa SAMSANG watu walijua jersey zitakua hovyo.
Kwahiyo wewe utavaa jezi uliyoandika M-bet kwa mbele??
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Kama vile ishu ya B 20
 
Ni sahihi ila kuna mwana Simba mmoja humu ndani change formula anadai eti kuwa Simba imeanika kila kitu, Nawakati sio kweli. Lakini kuna maswali najiuliza kupitia hili;

Je wamesaini mkataba kisha wameacha sehemu ya figure? Au wamesaini mkataba uliokuwa na figure ila wamekubaliana kuhaririwa endapo Yanga watapewa pesa nyingi na Sportpesa basi figure itabidi ibadilishwe?
Kwanini unasema wanasubiri Yanga na SportPesa? Kwani wao Yanga na SportPesa wametoa tarehe ya kutangaza mkataba wao?
 
Huu Mkataba Unathamani Gani Mbona Hawasemi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Wao wanakimbizana na iyo pesa wapate za kugharamia kuendesha timu maana nasikia wese limekata na bosi mawenge kasusa kiaina kutoa pesa unafikiri wangefanyaje? Na udhamini wao ni b.3 kwa mwaka kwa muda wa miaka 5,
 
Imenibidi kurudi kuangalia tena hiyo taarifa, sijaona mahala inatamkwa bil 15, kilichotamkwa ni miaka 5. Au kuna taarifa tofauti?
Wewe ni miongoni mwa mapooza wengi mliojaa hapa nchini! Taarifa rasmi ya club imetoka kuwa timu imeingia mkataba na Kampuni ya M-Bet,kwa muda wa miaka mitano,wenye thamani ya B.15 ambao kila mwaka club itakuwa ikilipwa B.3. Taarifa imekamilika ikieleza kila kitu,na pia wakasema ufafanuzi zaidi utatolewa tarehe 1 August. Sasa hapo nini ambacho ujaelewa? Umetajiwa mpaka figure!! Mijitu kama wewe sidhani kama mlikuwa mnaelewa chochote darasani!! Nyie ndio kichwani mmebeba maziro tu!! Imagine majitu kama wewe mpo wangapi nchini?? Bure kabisa.
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Hamnaga hiyo kitu.kuna TRA wanasubiri chao ukiongezacthamani unajitia kitanzi
 
Back
Top Bottom