Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Watasomeshwa namba
 
Bongo hiyo minesterial liability haiwezekani mkuu P
Viongozi hutengenezwa huku kwetu huja kama mafuriko tuu
 
Kuna watu wanapenda kutumia nafasi zao vibaya!
 
Bro hapa naona umenyooka bila chenga, lakini kwa mambo ya tozo, katiba mpya, kesi za michongo michongo unapuyanga kweli!
 
Ila JFK wa US alikuwa anag*nga sana malaya, kwa nini hakuachia ofisi?
 
Kabisa
 
Halafu hawa baadhi ya wanasiasa,wasiishie tu kukimbizana na siasa,walee vyema watoto wao pia,hii sidhani kama watoto au ndugu wa late JPM imewahi kutokea,mzee yule alikua anadiscipline TAIFA na familia yake pia.Viongozi waige aina ile ya ulezi,mzee hakuegemea kwa wananchi tu,hadi kwake.
 
nawasikitikia hao maafisa kuwa vibarua vyao vitaota mbawa.

Wameanza Mawaziri kututukana.

Wamefuata watoto wao bado wake zao na michepuko yao itumwagie matusi tukome.

Hii ni awamu ya makambale kila mtu ana ndevu.

Tutatukanwa mpaka tujute.
Utajuta wewe mkuu
 
Tanzania uharibifu huu ni sifa wala sio kosa la mtu kuwajibika.
nina mifano mingi ya askari walioharibiwa kazi na watoto wa viongozi akiemo Lowassa.
sipendi vitendo vya kutumia madaraka vibaya.
Huyu Simbachawene alitakiwa aende mbali zaidi ya hapo.
Huyo mtoto wa Lowassa alikuwa wa kike au wa kiume?
 
Ulikuwa kidato cha ngapi kwa wakati huo?
 
And how old are you now? Be frank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…