Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A
Ajiuzulu Kwa lipi? Mbna tunakuwa wepesi kuhukumu. Mtoto na ego yake baba ajiuzulu??
Usiumie ndugu nafasi ya kufanya unachokipenda bado ipo.Yan hii kitu inaniumiza kuliko chochote 😕😕
Na bado hao police wakampa kiti akae! Kweli siku hizi police zetu ziko Kama za Ulaya, Mtuhumiwa unapata VIP service kituoni hadi rahaa! Mama Samia Oyeeee!!!Ametukana polisi live kutuoni salender
Ninajambo gumu sana naliona litakuja kuleta madhara makubwa ambayo itapelekea kuikosa Tanzania kabisa lakini naokopa kulitajaNimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake….
Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA SHERIA … Binafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lkn pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote.
POLENI KWA USUMBUFU WOWOTE MLIOUPATA
George B. Simbachawene (mb).
View attachment 2329436
Kama ndio huyu kwa kweli mzazi kafeli...ila namshauri mzazi asiingilie huu mtanange ili mtoto apate kujifunzaJamiiforums kupakia video ni kazi kubwa
View attachment 2329502
hapana, avatar yakoAmeshakuwa ni Dr Sebi huyo mtoto? looh majangaa hayo...
Mwenyewe kafanya kosa alafu kabla hajaulizwa anatoa utambulisho yeye mtoto wa waziri simba....kwangu mm hili nikosa kubwa inaonesha nijinsi gani anapokuwa nahuyo wazir hawapeani mipaka kuwa waziri nimali yauma kupitia kosa hili ilikuleta umoja kuondoa zana hiyo kwa watoto waviongozi wengine kwa wananchi nashauri mh waziri kwakujuwa nafasi hiyo ni yaumma nasio yafamilia yake ajipime au atafakari na achukue hatua bado nasubiri busara zake waziriHili ni tukio la kawaida. Limekuzwa kwa sababu ni mtoto wa waziri...
Magari yanabutuana kila cku Dar na watu wanakula kona.
Aisee [emoji3064]Ila Mshana buana eti clip imetrend kuliko watani wajadi kweliiiiii???...mlete mdhungu ndo trending wabongo tunamambo yetu aisee
Ukweli Traffic wamekosa busara, kimakusudi wanamdhalilisha waziriBehind the door wenzake walimshughulikia. Unajua iko hivi, kila mtu anataka kujipendekeza, huyo mtoto wa Simbachawene kitakachoenda kutokea ni afisa mmoja tu tena anaweza kuwa IGP akaamrisha dogo aachwe na akampigia waziri tunaomba utusamehe na hapo hao traffic kibarua kipo hatarini. Yaani hao polisi hawakutumia hekima. Ni muhimu walipaswa baada ya kujua wawasiliane hata na baba yake kwa sababu ni waziri then kimya kimya wanamaliza zali. Hiyo ya mapicha video, wamuulize mwenzao kilichomtokea.
Hajatetea ila ni ukweli kuwa baada ya waziri kukiri na kuomba radhi Kwa upande mwingine hyo ni very serious warning Kwa wale askari.na asikudanganye mtu dam nzito kuliko maji mkuu.Usitetee basi kama haujaona clip za kutukuna za huyo mtoto, narudia tena waziri kuomba msamaha sio kwamba kusema anawatahadharisha bali aibu aliyoipata si nzuri kwake.
Kwani yeye anakosa gani mpaka ajiuzuru?Hili ndio alipaswa kufanya, kujiuzuru na kuiomba jamii samahani. Hizi nyingine ni story tu analeta.
True [emoji817] percentUliona zile video za mtoto wa Biden? Na bado Biden Yuko ofisini.
Muda mwingine mzazi unajitahidi Ila watoto hawasikii, hasa hiki kizazi cha hovyo!
Anyongwe Kwa kosa gani mkuu mbona kama umevurugwaBaba yake angeagiza kuwa Anyongwe kabisa ningemuona wa maana, ila kwa Kuagiza kuwa ashughulikiwe naona nae Akili zake pia zinatakiwa Kushughulikiwa vile vile kwani hazijamkaa sawa.