Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Naomba nijikite kwenye sheria kuelezea hoja.
1. Kufanya mapenzi na mtoto yan mtu mwenye umri chini ya miaka 18 hilo ni kosa kisheria.

2. Kufanya na mapenzi na mwanafunzi ni kosa kisheria. Hapa kwenye kufanya mapenzi na mwanafunzi ikibainika umekula mzigo ni ubakaji. Kama hujala mzigo ila unamahusiano naye. Hapa kuna kosa moja ambalo linaweza kuwa kuzorotesha masomo kwa mwanafunzi.


3. Kwa mtumishi wa umma kuwa na skendo kama hiyo inatosha kukuondoa kwenye nafasi yako kupisha uchunguzi.

4. Inawezekana kweli hajaguswa ila inawezekana vipi kufunguliwe kesi ya ulawiti ilihali hajafirwa? Kwa ufaham wangu mpaka mtu afunguliwe kesi kama hiyo lazma pf3 irudishwe na mlengwa na isomwe ili kesi ifunguliwe kulingana na pf3 itakavyojieleza

5. ANGALIZO
Tuwe makini na mazingira hatarishi ambayo yatatunyima utetezi hapo mbeleni. Tuweke mipaka katika kazi na mahusiano. Mbaya wako huwa hakai mbali na hutumia watu wako wa karibu kukuangamiza ama wataangalia udhaifu wako na watautumia kukuangamiza.
 
Watu wengi wanashabikia na kuaminishwa kwamba huyo Mhe. Alifanya hiyi kitu, ila ukitafakari kwa kina sana maelezo ya huyo binti na mazingira utagundua ni siasa za kuchafuana na huyo binti alitumika
Huyo mheshimiwa naye si mpenda chini watu wamepita
Humo humo kwa kutumia udhaifu
Wake inawezekana
Kingine inaelekea huyo dem na mheshimiwa wana mahusiano kitambo sana kama kufukuana mtaro siyo jambo geni

Ova
 
Askari wetu ni wavivu sana, wanauelewa mdogo sana, hawana resources, hawako motivated matokeo yake WATU WENGI WANAKWENDA JELA SANA KIZEMBE.

ukiisikiliza issue ile unajua moja kwa moja ni MCHONGO wakupiga hela ulikuwa kwa jamaa Kwa kutumia Blackmailing style, inaonekana wapo polisi walio involved. Tatizo limetokea issue imeshakuwa viral na watu wengi wameshaiingilia kesi + jamhuri, HAPO MCHONGO UMEKUFA IMEBAKI KESI.
 
Kwanza niweke wazi sitetei upande wowote.

Sasa tuangalie mambo ya msingi.
1. Mkuu! Binti yeyote yule under 18 na yuko shule awe alikutongoza au ulimtongoza, haijalishi ila ukilala nae tu ni umebaka ikiwa proved ulilala nae kimapenzi bila ndoa. Kwa maana hiyo yule wa bodaboda haina uhusiano na kesi hii.​
Japo kwa historia ni kweli inaonekana dada kashazoea kukitembeza na ukinasa lazima uende jela kidogo 😔

2. Ila RC ni kiongozi na mfano wa kuigwa ilitakiwa kwa namna yeyote ile ajiepushe na hayo mambo kama ni kweli alifanya iwe walikubaliana au hawakukubalina. Kulawiti ni kosa kisheria. Kama dada anadai RC alitumia nguvu, binti anakua victim RC ndio mwenye kesi, na kama walikubaliana wote wana kesi ya kujibu.​
Kama ni mchezo wa siasa basi wanajua mapunguvu yake na wameyatumia ila haibadilishi alichokifanya kutokua kosa na kama ni uzushi hicho kitendo hakikufanyika kabisa, hii kesi itaisha mapema tu.
 
Yaani hujui mtoto wa shule kamahuyo tena chini ya miaka 18 ukilalanae tayari umebaka? Unamtetea bodaboda? Hatakama alikukubalia hicho unachokiita kumpa yote huyo nimtotooo amedanganyika we vipi?? Mwanasheria wawapi wewe...
Unaweka kesi ya Lissu ili ku-win akili zawengi humu,issue yalisu kulikuwa na ubakaji gani acha kutumika wewe!!

Polisi wachunguze hili halina cha uchama,upinzani wala vita vya uchumi vya enzi za jiwe. Kama amefanya ufirauni asionewe huruma hata chembe! Wengi tuu wamefungwa Kwa uchafu wanamna hii kwanini huyu mnamwona spesho sana?!
Jiulize ingekuwa ni mtoto wako au ndugu wa karibu ungeandika haya we mwanasheria wamaajabu!! Acha hizo wewe
 
Fuatilia ile kesi, yule binti by then inaonekana alikua kavuka 18.

Shida ya kesi za hivi hata akishinda mahakaman bado kwenye jamii hajashinda, yaan ikishaenda tu mainstream tyr jamii inatoa hukumu hata kabla ya mahakama.

Yahaya Jamii ishamuhukum hata ikitoka ikagundulika walikubaliana au hakufanya basi atakosa tu adhabu ya mahakama lkn kwenye jamii, familia yake tyr wameshamuhukumu
 
CCM imemtengenezea Yahaya ajali ya kisiasa
 
Nilisoma humu kuwa wewe ni Wakili. Seriously hujui kuwa kufanya mapenzi na binti under 18 na ni mwanafunzi ni kubaka? Mimi sijui sheria, je sheria inasemaje ukifanya mapenzi na underage girl acha kukaa nae wiki mbili?
Mbona umeandika kishabiki sana kumhukumu binti bila kujua una undermine hata mahakama iliotoa hukumu ya kumfunga huyo bodaboda?
 
Wampime marinda huyo demu

Ova
 

Sorry mkuu najaribu kuwaza kwenye angle nyingine, HAKUNA UWEZEKANO MKAKUBALIANA MKAFANYANA NA BAADAYE BINTI AKAKUGEUKA NA KUSEMA UMEMBAKA? na hata ukijitetea ukaonekana unataka kujitetea tu.

Huoni kama Sheria inawafavor Sana wanawake huku ikiwakandamiza wanaume?.

Binti wa zaidi ya miaka 20 anawezaje kufika nyumba ya kulala wageni au ndani ya gari ya mtu usiku akiwa kalewa HALAFU TUSEME KABAKWA hatuoni kama hapa kuna makubaliano na tunaiweka sana jamii ya wanaume Hatarini?

Mfano hapo umezungumzia vibinti vya 20yrs kwenda peke yao nyumbani kwa mwanaume na vikiwa na akili timamu vikanywa pombe na kuingiliwa - KWANINI TUSEME WAMEBAKWA?

Naamini kabisa Sheria hapa inahitaji marekebisho ili pande zote za mwanamke Vs mwanaume ziwe na haki.
Mwanamke ukiwa mazingira tatanishi kama Lodge, Guest house, kwenye gari usiku wa manane under influence ya pombe, nyumbani kwa mwanaume usiku wa maneno, mchana bila uwepo wa watu wengine wa jinsia yako na mwanaume sio ndugu yako HAPO HAKUNA RAPING.
 
Wengi unaosikia wamelawiti ni kusingiziwa.nimewahi kusingiziwa kitu kama hicho,al manusura Nile mvua.sasa hivi nikasikia mtu Kabaka au kalawiti sihitaji kujiweka kwenye dhambi..nafikiria Kuna haja ya kupima sampuli za mbegu zinazobakia baada ya tukio kama zinaoana na za mtuhumiwa kwanza.Wengine wakihisi unaweza kumpa Hela hata milioni kumi anakutengenezea kesi ya magumasi ili ukiingia kwenye kumi na nane ulipe pesa nyingi.baadhi ya watu wanatumia ngono kama sehemu ya kujipatia kipato ,.Unakuta kabinti muda wote kanakuambia beby Nile tigo ,basi kwa ujinga wako unaingia kichwa kichwa na ukishaingia anakuambia nipe kiasi Fulani na usiponipa natangaza kwa watu kuwa umenilawiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…