Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Nawanda ni sample nzuri ya viongozi wa serikali na vyama vya siasa Tanzania hasa CCM.Wengi wapo hivyo,wana tabia za ajabu sana.
 
Watu wengi wanashabikia na kuaminishwa kwamba huyo Mhe. Alifanya hiyi kitu, ila ukitafakari kwa kina sana maelezo ya huyo binti na mazingira utagundua ni siasa za kuchafuana na huyo binti alitumika
Ila kwa namma ya na hulka ya Nawanda, lazima alijizolea maadui haswa kwenye media.

Jamaa amewahi kuwafukuza waandishi wa habari kwenye ziara yake.

Huenda wabaya wa RC walichukulia fursa ya mahusiano haya ya Nawanda na Muhaya wake Tumsiime, na kuamua kuchomoa betri!
 
Yule binti ni malaya anayejiuza nina picha ambazo nimetumiwa na jamaa aliekaita chunya Kwa dau la laki moja, na ameshangaa sana hadi akasema mbona hako ni kazoefu ka kazi zote, Nawanda kaangushiwa jumba bovu, huezi kunieleza kabakwa mtu ambae anajiuza chunya, kahama, tena ana dau lake rasmi Kwa huduma zote, yule ni kahaba ambae nawanda kaangukia pua,
 
Ndugu yangu Paskali huwa naheshimu sana michango yako humu jukwaani.

Lakini pia tujiulize, Mhe Rais hadi anamuweka kando uRC ni kwamba hakuwa na taarifa za uhakika kutoka kwenye vyombo vya dola ambavyo huwa vinamshauri?

Naamini Mh Rais alipewa taarifa nyeti kumhusu RC ndiyo maana akafikia uamuzi wa kumuweka kando.
 
Ukiwa kama mwanahabari na bushlawyer tunayekutegemea umeandika chini ya kiwango kabisa.

Mfano wako wa Boda boda. Kama binti alikuwa ni under 18 basi alibakwa. Unashangaa form 4 wa 16 yrs!!
Nawanda kama alilawiti amefanya kosa kisheria. Watu wanashtakiwa kwa kubaka na kulawiti wake zao ndiyo iwe binti baki.
 
Asanteee Pascal Mayalla . Tawireeee!

Hizi ndiyo taarifa za kiuandishi ninazozitaka mm.

I said from the start, Tumsime is a Satan in human flesh.

Ikawaje huyu Nawanda (RC Simiyu by then) atoke Bariadi - Simiyu nyumbani kwake amfuate shetani Mwanza City...???

It doesn't make any sense, right...?

Bila shaka huyu Tumsime na huyu former RC ni wapenzi wa mapenzi haramu kwa muda mrefu tu, akawa amezoea na kuona ni kawaida. Hata kufirana ilikuwa ni kawaida yao kwa hiari zao wenyewe..

Mapenzi haramu sometimes yakikolea huwafanya wahusika vipofu na kuona kuwa ni maisha ya kawaida...

Kwa kuwa alishageuka kuwa kipofu, akawa haoni hatari ya tendo lake hilo...

Na bila kujua, kumbe kupitia mapenzi yao hayo, jamaa wameshasuka mpango wa kumpora u - RC wake..

Na nataka nikuambie ishu ni UKUU WA MKOA tu. Sio kwa sababu Nawanda ni mfiraji pekee na wenzake huko CCM na serikalini ni wa kawaida...

Wengi huko CCM na ndani ya serikalini kuanzia juu kabisa kuleeeeeee☝🏻☝🏻☝🏻ni wasagaji, wafiraji, wafwiraji, mashoga na uchafu wa aina zote..!
 
Mkuu nilipo soma hiyo kesi ya huyo mwanamke sina imani kama jamaa kweli ametenda, huo utakuwa mtego.
Kama mtengo-utakuwamtengo wa panya unaonasa waliomo na wasio kuwemo. Ila mazingira yanakataa pendekezo hili. RC alijipeleka sehemu mbaya akajikutanisha na watu wabaya wakati mbaya. RC anamchango mkubwa katika hili-amefanya kazi ya wabaya wake iwe rahisi sana.
 
Binafsi nampa pole Mtuhumiwa. Haki itendeke kwa kila mmoja.
Ukishafikisha umri flani au ukawa na wadhifa flani ktk jamii, kuna baadhi ya mambo hutakiwi kuyafanya, kuna style ya maisha inabidi ibadilike, cycle ya watu wako inabidi ibadilike, kuna maeneo hutakiwi kwenda tena. Hatakama unawindwa haitokuwa rahisi kukamatwa!. Nawanda amefeli kwenye hayo.
 
You nailed it!
 
Huyo Binti ni pepo. Usikatetee. Siku kakiingia anga zako ndo utajuta
 
Nakubaliana na wewe kiasi ili naomba uniruhusu nitofautiane na wewe kwenye suala la U RC. Issue hapa ni Nawanda mwenyewe-actions au inaction zake
 
Siku hizi vetting hakuna ukiwa kada na connection tu unalamba teuzi wima wima. Zamani kazi kama hizi za ukuu wa mikoa na wilaya walikuwa wanapewa watu ambao wameshahudumu muda wa kutosha kwenye civil service hivyo mienendo yao inakuwa inafahamika lakini siku hizi ukiwa uvccm na ukajua kutukana wapinzani na kusifia viongozi unapata shavu fasta tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…