Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Napenda kutembelea vivutio mbalimbali Ila kupanda mlima big no hongera Sana kwa ujasiri huo jamani nimekutamani. [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Hicho chakula chenye jina lako kitamu Sana,mara ya mwisho kukila Zanzibar hotel moja ya kitalii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kamwili kako kalivyo simple wala hupati shida sana kufika kileleni, ila ungekua na lichura likubwa kama miss natafuta sidhani kama ungeweza kufika kwenye kilele cha kibo kwa urahisi.

Maendeleo hayana chama
Ule mlima hauna mwili wala nini cha msingi uwe umefanya mazoezi ya kutosha na uombe tu hali ya hewa isikukatate....hali ya hewa ikikugomea unarudishwa siku ya kwanza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilipanda 2013 nikapata na cheti kabisa njia ya marangu nlikua nafanya field kinapa..ule mlima kinachowaua watu ni change of altitude hautaki harakaharaka mwili unaweza shindwa stahimili..ila ni mlima hata mtu wa miaka 12 anapanda..nmepanga nipande tena mwezi wa nne Mungu saidia

READERS ARE LEADERS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…