Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Kwenye story zake Kuna mahali ameeleza kuwa alitamani kumpigia simu jamaa yake kuwa Hali yake Ni tete ...kwa hiyo kuwa makini nchi Ina mwenyewe mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kukatisha watu tamaa, Unakuwa kama Mwenyekiti wa Chama fulani. Kuna kugombana kuna kifo nk. Acha mtu ajaribu bahati yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe la dar - es - salaam....! ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye story zake Kuna mahali ameeleza kuwa alitamani kumpigia simu jamaa yake kuwa Hali yake Ni tete ...kwa hiyo kuwa makini nchi Ina mwenyewe mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahahaaaa

Baba Mandela kapigiwa ndio huyu mwenzangu na mie!

Hahahahaahaha

Nilikua natania tu mkuu....Za huku kitaa zinanitosha mkuu!

Hahahaaaaa
 
Mkuu na lile baridi kweli unaweza usiwe na habari nae, nadhani utakuwa umeamua tu kutufurahisha humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Route ya Machame ndiyo njia ngumu sana hapa ni lazima ubusu mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…