Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
IBARA 4 (2) ya mkataba wa Kimangungo inasema, Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani twende Dubai kuomba ridhaa kwa Mali zetu? Huu ujinga ubaki CCM na Dubai.
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Ongera sana
 
CCM pamoja na kuiba kura, haijawahi teua mgombea asokubalika.

Akilazimisha kugombea, kitu itaenda upinzani.

Hivyo kuliko kupoteza vyote, CCCM itabadili mgombea baada ya mchujo.

Hadi sasa, hesabu zote za kisiasa zinasoma,

HATOGOMBEA!!!!!
 
Ni jambo lisilopingika kuwa watu wasio na ufahamu na wasiojitambua ndo watasimama kumuunga mkono mbunifu wa maumivu ya taifa.

Rais anaishia kuteua na kutengua na kulalamika lalamika. Hachukui hatua kurekebisha kasoro na shida za wananchi yeye anaishia kuwashughukikia wanaomkosoa na kumpinga.

Ninaishi uraiani, walio wengi hawamuungi mkono na wameshaona kabisaa namna alivyokaa mbali na shida za wananchi. Yeye anaishi ikulu na kikundi kidogo cha watu akiamini huko nje yeye ni kinara. au waulize

Amejitwalia umungu mtu.
Amejitwalia mamlaka dhidi ya katiba
Amejikweza juu kabisa na hataki kukosolewa

Mene Mene Tekeli na Peresi
nyie nyote nahao wenzako hamna akili. waulize watoto wao wanalipa ada? waulize kama watoto wao wapo chuo boom wanapata. ? waulize hakuna hata mmoja ambae mwanae au ndugu yeyote kapata ajira? au waulize nilini nchi hii changamoto zilishaishaga? wakumbushe sakata la sukar kipindi cha jpm . au kauli ya vyuma vimekaza ilikuwa na maana gani?
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Duh yaani wewe hadi umeguswa ndio unaona hatuna kitu hapo? Hapo hamna kitu. Kuna mchumia tumbo tu. Anachojua ni kupiga dili tu .
 
Cdm tulisha sema kuwa chini ya utawala wa ccm itafika muda watanzania wote turazungumza lugha moja kwa ccm haitufai.
Nataka kujua Ile ngozi ya mnyama iliyokamatwa Australia ilitorishwaje kutoka nchini, na nani alimuwinda mnyama yule.
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Ni Rais au CCM? Unapaswa Kuwa makini kweli usiingie kwenye mtego wa hidden agenda
 
nyie nyote nahao wenzako hamna akili. waulize watoto wao wanalipa ada? waulize kama watoto wao wapo chuo boom wanapata. ? waulize hakuna hata mmoja ambae mwanae au ndugu yeyote kapata ajira? au waulize nilini nchi hii changamoto zilishaishaga? wakumbushe sakata la sukar kipindi cha jpm . au kauli ya vyuma vimekaza ilikuwa na maana gani?
RIpoti ya CAG imefungiwa kabatini
Mikataba 38 ya siri, mmojq umevuja nchi nzimq hekaheka.
Katiba inasiginwa
Inflation ipo juu kiwango cha kutisha
Rushwa kipindi cha uchaguzi
Elimu haina ubora


Huyu rais hatufai. Amalize muda wake apumzike
 
CCM pamoja na kuiba kura, haijawahi teua mgombea asokubalika.

Akilazimisha kugombea, kitu itaenda upinzani.

Hivyo kuliko kupoteza vyote, CCCM itabadili mgombea baada ya mchujo.

Hadi sasa, hesabu zote za kisiasa zinasoma,

HATOGOMBEA!!!!!
Rais samia Ndio chaguo letu hadi 2030.
 
Sema tu hana uwezo wa kusimamia .acha kumsugarcoat
Uwezo anao Hila anaowasimamia ndo vibuli wameamua makusudi kutosimamiwa Sasa atakuwa anabadili watendaji mbaka lini katiba ingekua inaruhusu angechagua watendaji kutoka vyama vingine wangemsaidia sana
 
Ndiye chaguo la Mungu aliyeinuliwa na Mungu kwa mkono wake ndio maana Anaendelea kuungwa mkono na kupendwa na mamilioni ya watanzania.
Hata mfalme Sauli wa Israel alichaguliwa na Mungu. Lakini sote tunajua alivyokuja kuwa mlaanifu.

Endelea kujidanganya
 
CCM pamoja na kuiba kura, haijawahi teua mgombea asokubalika.

Akilazimisha kugombea, kitu itaenda upinzani.

Hivyo kuliko kupoteza vyote, CCCM itabadili mgombea baada ya mchujo.

Hadi sasa, hesabu zote za kisiasa zinasoma,

HATOGOMBEA!!
Wakimuweka kugombea ndio itakua mwisho wa ccm kuongoza nchi hii.
Inavyoonekana kuna dili la kuitoa ccm kupitia kwake. Huenda akatumika na maadui kuhakikisha ccm inatoka. Kwa hivyo ni muhimu wanaccm kwa ujumla kuhakikisha hagombei badala yake awe mtu anakubalika na umma wa wananchi.
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Mbona ladies wapo Tu wasio shikiwa remote sehemu nyingine kuna Yule WA Bukoba na Yule WA Ukerewe kuna WA Njombe
 
Back
Top Bottom