Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

We mpuuzi sana yani huoni shida wanazopata wananchi. Mkoa wa Mara mpaka boda boda kauliwa kwa hii issue ya mafuta.
Tatizo watanzania mna wivu sana. Yaani wivu unawasumbua. Hivi huyo aliyesema eti mtu kauawa kwa ajili ya mafuta hivi unadhani ni kweli???? Ni wivu tu unawasumbua. Muache wivu! Rais Dkt Samia kafungulia uchumi mambo safi kabisa!
 
Tatizo watanzania mna wivu sana. Yaani wivu unawasumbua. Hivi huyo aliyesema eti mtu kauawa kwa ajili ya mafuta hivi unadhani ni kweli???? Ni wivu tu unawasumbua. Muache wivu! Rais Dkt Samia kafungulia uchumi mambo safi kabisa!
Sawa ndugu chawa....
 
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Umesahau kuweka namba
 
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Safi kabisa, go mama Samia goooo!!!
 
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Kitu umesahau ni kuweka no za sim tuu
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Huyu mama mimi nilimshangaa juzi wakati akifungua mkutano mkuu wa maofisa wa polisi.

Pasi na aibu wala kujitambua kuwa yeye ni Rais mama huyu anasema imebidi wastaafu walipwe kikokotoo eti kwa sababu mifugo ya malipo ya pension haina pesa ya kutosha kulipa pension kwa mkupuo. Yaani unaamua kuwatoa kafara wastaafu kwa makusudi kwa kisingizio kwamba mifuko haina pesa ya kutosha!!

Ni kauli ambayo haikutakiwa kutolewa na Rais
 
Wafanyabiashara wanatuchezea serikali ipo! Sijui Mama anamuogopa nani? Hata issue ya DP World nahisi ni uoga tu lakini ni jambo la kijinga lililohitaji kauli moja ya kiume maisha yaende.
 
Back
Top Bottom