Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Wakenya wamewaathiri kitabia. Jamaa wanabaguana mbaya ukiwa pale Moshi mjini.utawasikia mie nikamtajirishe mrombo. Siendi kununua kwa mrombo Bora niende kwa mmarangu ama mkibosho mwenzangu.Kwanini wachagga wanapewa hizo sifa mbaya za majirani nao ni asili yao au mfanano wao ni wa nini?
kwa east africa wakenya wanaume wanaongoza kwa kuolewa ughaibuni.(mashoga)prove me wrong.wao pesa tu!wapo tayari kuuza utu.Wa Kenya akili zao muda wote wanawaza mafanikio/pesa wako tayari kufanya lolote
Wanyankole ndio wanapenda sifaUongo,wewe hujafanya kazi na waganda labda ulifanya kazi na waganga.Waganda kujisikia ni jadi yao kabisa na majigambo kama yote na hawatakagi shobo na wabongo.Roho mbaya hawana
Na ndio wenye vyeo,nafasi.Baganda wamepigwa Pini.Wanyankole ndio wanapenda sifa
Wanyankole asili yao ni Rwanada wana nyodo balaaaNa ndio wenye vyeo,nafasi.Baganda wamepigwa Pini.
Sasa ulipoenda wewe na nilipo fanyakazi mimi ni sehemu mbili tofauti so huwezi ku- experience nilicho experience mimi na nimefanya kazi nao kwa miaka minne.EA nzima Waganda ndio wanaongoza kwa kutokua na interaction na raia wengine wote wa EA ukikutana nao.Give or take.Nenda EAC office Arusha utajionea.
Wakati niko chuo niliwafundisha sana hao wakenya, waganda, wazambia etc physics, maths, cad etc. Lugha ya kuuzia sura wanaijua vizuri, technically hawapo vizuri hata kidogo. Watanzania lugha ya kuuzia sura inatusumbua kweli, lakini sio uwezo wa darasani.Braza nikuambie kitu tofautisha lugha kama grammer ya kuuza na lugha katika academics ni tofouti kabisa.Mfano unaposoma masomo kama Engineering au Chemistry unafikiri swali likiulizwa wanangalia weledi wa kujieleza? ni point tu na formular mimi mwenyewe nilisoma na Mganda UDSM miaka ileee hakika ali disco mwaka wa pili mimi mbongo nikapeta tofautisha hapo.
Wakenya mnawaita wazuri ila kwa masomo ya sayansi watanzania wako vizuri sana.Na ndio maana shule utitiri wa english mediums ulivyoanza Tanzania chunguza tuliona wakenya wana akili sana.Sio kweli ukweli ni kwamba wako vizuri kwa lugha si wongo.
250% true1. Wako tayari kukukandamiza hata km huna kosa , hawawezi kukutetea kwa bosi/ mkuu, they are always on management side.
2. Wanapenda kujua habari za wenzao ila zakwao hawataki zijukikane
3. Wanaroho mbaya ya uchoyo
4. Mbali na kingereza, hawako smart sana kama inavyofikiriwa
5. Wanapenda mambo ya kulinganisha hasa mambo ya kimaendeleo.
6. Wakenya wakiume walipata nafasi kidogo ni waxhafu sana kwa dada zetu
7. They like show off, wanapenda kujionesha kua wao wema na wanafanya kazi
Prove me wrong from your work place
Alafu hiyo wamewaambukiza hata majirani zao hapo romboKipimo Cha roho mbaya kwa wa kenye ni ile kubaguana kwa makabila wenyewe kwa wenyewe wakat wote ni taifa moja yaan wanachuki za kikabila sana mtu alielelewa kwa misingi hiyo usitegemee akawa na roho ya upendo zaid ya chuki.
Ni sawa kabisa ila pia hawapendi excuses na longo longo na hapo lazima waonekane Wana roho mbaya.1. Wako tayari kukukandamiza hata km huna kosa , hawawezi kukutetea kwa bosi/ mkuu, they are always on management side.
2. Wanapenda kujua habari za wenzao ila zakwao hawataki zijukikane
3. Wanaroho mbaya ya uchoyo
4. Mbali na kingereza, hawako smart sana kama inavyofikiriwa
5. Wanapenda mambo ya kulinganisha hasa mambo ya kimaendeleo.
6. Wakenya wakiume walipata nafasi kidogo ni waxhafu sana kwa dada zetu
7. They like show off, wanapenda kujionesha kua wao wema na wanafanya kazi
Prove me wrong from your work place
Wajaluo au?
[/QUOT ndio
Na bila kujichanganya nao tukajifunza ujanja na hulka zao za kusaka fursa tutaishia kuwa mandezi.Tukubali tukatae jamaa wametuzidi ujanja, uchapakazi na elimu. Kenya ni kati ya nchi zilizoendelea kwenye nyanja nyingi afrika, kusini mwa sahara ukiacha afrika kusini.
Mambo haya mengi waliotuacha yamesabbaishwa na mfumo na historia ya nchi kama ukoloni, ujamaa, kiswahili n.k.
Muhimu ni kubadilika na kupambana kufikia walipo, kuweka majungu ni sawa na ule msemo usemao....alie juu mngoje chini....
Serikali yao pia wanapambana kuwatafutia fursa watu wake, wanafursa za kwenda kusoma na kufanya kazi nchi karibia zote.....sidhani kama kuna nchi inaongoza kwa kuexport wafanyakazi ulaya na popote duniani kutoka africa zaidi ya Nigeria na Kenya....
Makampuni, balozi, taasisi za kimataifa zote zinaweka makao makuu kenya, kwanini??
Hebu tupambane tuache visingizio wenzangu.
Huwa nawashangaa sana Watu wakati mwingine. Unafanya kazi na watu wawili watatu, kisha unafanya maamuzi kuwa Wakenya wote wapo hivi. Mimi ni Mkenya niliwahi kufanya kazi TZ miaka ya 2005-2006. Nimeisha Mwanza na Dar pia ila nimetembea sana kanda ya ziwa na Dar pia. Nimekutana na WaTZ wazuri sana, wengine ni rafiki zangu hadi waleo, wamekuja hadi Nairobi kunitembelea. Pia nimekutaka na wengine wana chuki kwa Wakenya balaa. Unacheka na mtu kumbe amepeleka data zako kwa uhamiaji. Wengine wanakwambia direct kuwa nyinyi Wakenya tutawasafirisha, mmekuja kuchukua ajira zetu. Kwa hayo yote, siwezi kutoa tamko kuwa WaTZ wapo hivi au vile, watu wana tabia zao binafsi.1. Wako tayari kukukandamiza hata km huna kosa , hawawezi kukutetea kwa bosi/ mkuu, they are always on management side.
2. Wanapenda kujua habari za wenzao ila zakwao hawataki zijukikane
3. Wanaroho mbaya ya uchoyo
4. Mbali na kingereza, hawako smart sana kama inavyofikiriwa
5. Wanapenda mambo ya kulinganisha hasa mambo ya kimaendeleo.
6. Wakenya wakiume walipata nafasi kidogo ni waxhafu sana kwa dada zetu
7. They like show off, wanapenda kujionesha kua wao wema na wanafanya kazi
Prove me wrong from your work place
Waganda wameambukizwa na majirani zao wakina Rweyemamu, Rutashobya😜😜😄😄😄 Waganda?Yaani katika watu hatufanani nao kwa chochote ni waganda na hata ukikutana nao nje ya nchi hawataki shobo na wabongo wala watu wengine wa E/Africa ni waganda.
Kwa hi lugha tu,NI "kweli"tunawazidi wakenya mbali mno...",,,,,
Watanzania tuko poa sema we're undervalued ourselves,,,,"
ID yako mtu mkuu, hahaha!Huwa nawashangaa sana Watu wakati mwingine. Unafanya kazi na watu wawili watatu, kisha unafanya maamuzi kuwa Wakenya wote wapo hivi. Mimi ni Mkenya niliwahi kufanya kazi TZ miaka ya 2005-2006. Nimeisha Mwanza na Dar pia ila nimetembea sana kanda ya ziwa na Dar pia. Nimekutana na WaTZ wazuri sana, wengine ni rafiki zangu hadi waleo, wamekuja hadi Nairobi kunitembelea. Pia nimekutaka na wengine wana chuki kwa Wakenya balaa. Unacheka na mtu kumbe amepeleka data zako kwa uhamiaji. Wengine wanakwambia direct kuwa nyinyi Wakenya tutawasafirisha, mmekuja kuchukua ajira zetu. Kwa hayo yote, siwezi kutoa tamko kuwa WaTZ wapo hivi au vile, watu wana tabia zao binafsi.