Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Hahahaha tena?Ana ujuaji wa kiffala sana huyo ajuza malaya
Ukikosea kuoa unaacha.Hukugundua wakati wa uchumba? Kosea kujenga nyumba kwani utabomoa na kujenga upya, sio kuoa. Vijana, nawaasa, kuoa ni mtihani mgumu sana.
Mkuu habari, Tafadhali sana Mkuu mvumilie Mkeo, Upendo utakuja automatic tu. Bora kuoa mwanamke ambae hajasoma kuliko kuoa mwanamke ambae amesoma. Pambana wewe kama wewe boss. Mkeo mfungulie duka la Mangi.Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Feminist msimpopoe kwa kua kaoa golikipa. Ndio mwanaume aliyekamilika hawezi kuoa mwanamke mpambanaji. Upambanaji aupambanie huko huko na sio nyumbani. Akiwa nyumbani ni lazima. Nasisitiza NI LAZIMA atii masharti yote ya mume.
Sahihi mkuu.Kumbadilisha tabia mtu mzima ni jambo gumu sana unless yeye mwenyewe ajitahidi kufifisha tabia zake ili zisikuathiri..
Mungu amtie nguvu tu maana utamrudisha mke kwao kwa ajili ya uvivu na baadae upate huyo mchakarikaji lakini akawa hana adabu na msaliti. Kwa hiyo kama ulivyosema, ni lazma ujue mazuri na madhaifu ya mtu kabla ili ujue kama utaweza kuyabeba au la
πππππππSasa wewe si ulisema unaingiza Milion 100 Kwa mwaka?
Ambayo ni sawa na makadirio yafuatayo..
Ambayo ni sawa na Milion 8.4 Kwa mwezi?
Ambayo ni sawa na 1,946,000/- kwa wiki?
Ambayo ni sawa na 278,000/- kwa siku?
Ambayo ni sawa na Tsh 11,590/- kwa saa?
Ambayo ni sawa na makadirio ya Tsh 200 kwa Dakika?
Sasa kilio cha Nini Mkuu,Unatka kumchosha mtoto wa watu wakati pesa Ipo ajiri Watu wafanye kazi nyumban Mke Ni pambo!
Hisia sio tatizo.Tabia sio kilema mrekebishe, japo tatizo hapo nahisi sio tabia Bali ni hisia, huna hisia nae kimapenzi
Mnatuchanganya mlisema mnataka golikipa
Sasa hivi mnaelemewa..
Nachokioma hii mada haitusu Aya ni mmbo ya familia zaidiWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Humu kila siku mbn mnatupereka kama magari mabovuShangaa na wewe[emoji3]
Tatizo mnangalia sura na shepu lazima liwakute tu... pole mkuuWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu