Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Tunakumbusha tu, huwezi kuwa na raha kama wanaume wenzako wanakutamani
Screenshot_20240907_162415.jpg
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Hiyo inaitwa conflict within! Tatizo lako unajilinganisha na watu umeshindwa kujikubali! Kumbuka wewe unaingiza hata hicho kidogo kuna wenzio huko mtaani hawana mbele wa nyuma wamebakiza kunywa Pombe tu! Juzi kati hapa kuna dogo kapata kazi ya kupozea machungu kajichanganya akakimbia na
hela kidogo tu isiyomaliza matatizo akapoteza kazi! Yuko anabwia mipombe tu huko mtaani!
 
Umesoma nilichoandika ?

Well-being nilioandika nimemaanisha nini ?

Well -being Ina lenga utimamu wa akili , utimamu ya Afya na mwili

Sasa katika kuipambania well-being yake ndo anaangalia therapeutics mbali mbali za yeye kuwa sawa.

Mfano nimetoa hints Kama kushukuru kufanya Gratitude hii ni therapeutic katika kuondoa depression na fear of unknown. N.k


Kuna meditation

so kabla ya kujibu uwe unasoma na kuelewa
Meditation ni kwa mtu wa kawaida sio mwenye mental health, ndugu huyo ana

Minor mental health issues zinahitaji amuone mtaalamu kabla hazijafika

Kwenye hatua kubwa kama Schizophrenia au Bipolar disorder.
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Nimerud kwenye ule MWILI wangu wa zamani yaan "UBONGE" baada ya LEG FRACTURE pia harakati za Maisha na Mishe mishe.

Naona Kama pressure yangu ipo juu juu Sana ngoja nifanye kupima maana nisije moyo ukawa umejaa mafuta mafutaa
 
Nimerud kwenye ule MWILI wangu wa zamani yaan "UBONGE" baada ya LEG FRACTURE pia harakati za Maisha na Mishe mishe.

Naona Kama pressure yangu ipo juu juu Sana ngoja nifanye kupima maana nisije moyo ukawa umejaa mafuta mafutaa
Pole ndugu.

Relevance iko wapi na mada husika?
 
Nimerud kwenye ule MWILI wangu wa zamani yaan "UBONGE" baada ya LEG FRACTURE pia harakati za Maisha na Mishe mishe.

Naona Kama pressure yangu ipo juu juu Sana ngoja nifanye kupima maana nisije moyo ukawa umejaa mafuta mafutaa
Hongera Kama umepona kapime na uanze kutumia Mediterranean or DASH diet.
 
Alaf kitu chingine, Ushimen alikuwa anazungumzia mambo ya personality, ambayo ni mada nyingine kabisa haihusiani na hii
Acha uswahili dogo ushimen kazungumzia kuhusu personality au mimi

Wewe unajua kitu kinachoitwa " personality disorders" au una izungumzia
Kimtaani mtaani.?
 
Back
Top Bottom