Uchaguzi 2020 Singida, Iramba: Mamia ya wananchi wa Shelui, wamemzuia barabarani Mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu ili awasalimie

Wakati si milele

Jr[emoji769]
 
Lisu hapati hata asilimia 20 ya kura! Mbona mnajisumbua sana?
 
Sasa umesema mama,na ili Huyo lopolopo ashinde urais anahitaji watu mamilioni,

Mwacheni aendeleee kutembeza homa juani,hakuna atakachoambulia,watanzania sio mafara kama yeye
Kura yangu kashaichukua Lissu!
 
Peoples'sssssss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…