Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
siasa za uenyekiti Taifa zimeanza mapemae 🐒
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ambaye yuko Mkoani Singida kwa ajili ya Mikutano ya Kijiji kwa Kijiji, ametangaza hadharani kwamba...
Achana na uenyeketi chadema utakua Bora ukamae n uRais
 
Mbowe kaamua,nasema ukweli utajulikana tu,nadhani hata waliomshambulia awali ni mbowe na genge lake
Na mbowe na genge lake ndio waliozuia asifanyiwe dua,asichangiwe na damu baada ya shambulio, ndio waliomfukuza bungeni na kumnyima stahiki zake, ndio waliokataa uchunguzi kutoka nje.

Vuta pumzi ya bure ila kejeli na dharau kwa binadamu mwenzako kisa tu mnatofautiana itikadi na kumchukia jua sehem ya kuingia ni moja.
 
Wasakizieni tu kwa wananchi wenye hasira washughulike nao hao magaidi wa CCM kabla hawajakuua kwa mara ya pili.

MaCCM ni majitu yenye akili za kikwuma sana. Kwanini mnamfuatilia Tundu Lissu? Wapuuzi na nyang'ao wakubwa.

MaCCM mtakufa mkiwa mmechomeka kidole matakoni.
 
Nchi yetu INA amani ya kutosha nadhani itakuwa ni usalama zaidi kwake
 
Umesema ukweli kabisa! Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi!
 
Msifiche mambo yenu Kwa kutumika jina la Mbowe. Kila kitu Mbowe ili mfanye yenu mnatafuta kichaka. Ole wenu aguswe tena. Tumeshawashtukia!
 
Wanaona wivu na huenda wanatembea na Recording Media.

Mungu wa Lissu atawanyosha.
 
Ccm mnataka kumteka tena? Hamjajifunza tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…