Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Utasikia happy birthday baba mtoto wangu, Mungu akutunze wewe ndo ulinifanya niitwe mama kwa mara ya kwanza.
Single mother mna mambo [emoji3]
Si tulikubaliana msitufokee mtuambie taratibu jaman..

Mnatufokea sana 😁punguzen sauti sasa
 
Utasikia happy birthday baba mtoto wangu, Mungu akutunze wewe ndo ulinifanya niitwe mama kwa mara ya kwanza.
Single mother mna mambo [emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Safi sana
 
You are very RIGHT. Kwanza mimi huko ustawi nisingeenda kabisa..Ningeblock ukoo mzima .In short sitaki mazoea.
 
Embu Imagine..
 
Mkuu ukizaa na mwanmake ukamuachia mtoto na unakaa mji mmoja hapa hapa anaolewa hapo hapo mji mmoja .
Utashidwa kujua kweli??

Mtoto kutumia jina la Baba yek ni haki ya mtoto.
Mbona kuna jamii ni Maternal wanatumia majina ya mama zao au mjomba.??

Mimi mtu asiyelea mtoto, Hakuna haja ya mwanangu kutumia jina lake..Mambo yasiwe mengi!!!!

Ni Roho mbaya tu ya badhi ya wanaume, wewe unatelekeza damu yako wakati una uwezo wa kumlea mtoto.Unamwachia mzigo wote mama yake tu?
 
Kama mimi..Mtoto hatoki kwangu hata alete madefender
 
Sister wako mzembe na mjinga

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…