Single mothers nawaibia siri nyingine

Single mothers nawaibia siri nyingine

Huyu jamaa tumesoma wote lakini ni mtu mwenye asili ya ubishi lakini pia ni aina flani ya watu wanaojifanya wajuaji anyway sasa twende kwenye mada yetu halisia

Kipindi anataka kuoa washikaji wake wa karibu tulimsihi sana huyu binti ukimuoa huko mbeleni atakuja kukupa shida simply tunawaelewa single mother ni ngumu kuvunja bond kati yake na mwanaume aliyezaa nae lakini msela alijifanya mwamba coz binti alimweleza jamaa aliyeza nae alimtekelekeza na hataki hata kumsikia sababu alikataa mimba na akamtelekeza hivyo hana hata mpango nae

Leo hii ndoa yao ina miaka mitatu jamaa kagundua binti na jamaa wanawasiliana vizuli , wanakutana na kuna kipindi jamaa akitaka mtoto kumuona binti anampeleka kumuona baba yake mzazi.

Jamaa yetu baada ya kugundua hayo amemwambia binti huyu mtoto anaomba ampeleke akalelewewe na baba yake upande wa pili huyu baba wa mtoto ana mke wake na hizo habari za kuletewa mtoto hataki kuzisikia coz hataki mgogoro kwenye ndoa yake kuleta mtoto wa njee ,

Ukienda kwenye kutoa huduma za mtoto huku jamaa hachangii chochote kile kuhusu mtoto wake anadai majukumu ya familia yake yamembana hana uwezo wa kumuhudumia mtoto lakini kila mwisho wa miezi mitatu jamaa kule huwa anataka apelekewe mtoto akamsalimie baba yake kimya kimya bila msela huku asijue
Na mbaya zaidi majukumu yote ya mtoto msela yamemuelemea huku mtoto ana baba yake......

Mpka sasa ndoa yao ina mgogoro mzito jamaa yetu saivi kama kachanyikiwa connection ya kimya kimya kati ya mke wake na jamaa inampa uchungu na majukumu yote ya mtoto wao yapo juu yake
 
Niliwahi kumpigia denda mwanamke wangu niliechana nae miaka kadhaa, tena bila hata kumtongoza au kumshawishi kivyovyote vile, yani mazingira yaliruhusu tu.

Nilifanya hivyo kama kumpima baada ya kuniachia nikague simu yake na kuona txt alizokuwa anachat na mpenzi wake aliekuwa nae wakati huo, na kama ningetaka kumla wala asingekataa. Kiufupi ananipenda na kuniheshimu sana, mpaka nashangaa.

Achaneni na Single mothers.
Hicho ndicho wengi hawataki,mwanamke anazalishwa na unamuoa,akikutana na aliyemzalisha anafanywa chochote,tena na kwenye play list yake,unakuta ana ule wimbo wa Hamisa Mobeto sijui unaitwaje ule ila una maneno ya anayemmiliki ex wangu ni nani.....Yeye akipigiwa simu na ex anaona yeye ni Mzuri sana,hafikirii kwanini aliachwa akaolewa mwingine.Upumbavu mtupu.
 
Huyu jamaa tumesoma wote lakini ni mtu mwenye asili ya ubishi lakini pia ni aina flani ya watu wanaojifanya wajuaji anyway sasa twende kwenye mada yetu halisia

Kipindi anataka kuoa washikaji wake wa karibu tulimsihi sana huyu binti ukimuoa huko mbeleni atakuja kukupa shida simply tunawaelewa single mother ni ngumu kuvunja bond kati yake na mwanaume aliyezaa nae lakini msela alijifanya mwamba coz binti alimweleza jamaa aliyeza nae alimtekelekeza na hataki hata kumsikia sababu alikataa mimba na akamtelekeza hivyo hana hata mpango nae

Leo hii ndoa yao ina miaka mitatu jamaa kagundua binti na jamaa wanawasiliana vizuli , wanakutana na kuna kipindi jamaa akitaka mtoto kumuona binti anampeleka kumuona baba yake mzazi.

Jamaa yetu baada ya kugundua hayo amemwambia binti huyu mtoto anaomba ampeleke akalelewewe na baba yake upande wa pili huyu baba wa mtoto ana mke wake na hizo habari za kuletewa mtoto hataki kuzisikia coz hataki mgogoro kwenye ndoa yake kuleta mtoto wa njee ,

Ukienda kwenye kutoa huduma za mtoto huku jamaa hachangii chochote kile kuhusu mtoto wake anadai majukumu ya familia yake yamembana hana uwezo wa kumuhudumia mtoto lakini kila mwisho wa miezi mitatu jamaa kule huwa anataka apelekewe mtoto akamsalimie baba yake kimya kimya bila msela huku asijue
Na mbaya zaidi majukumu yote ya mtoto msela yamemuelemea huku mtoto ana baba yake......

Mpka sasa ndoa yao ina mgogoro mzito jamaa yetu saivi kama kachanyikiwa connection ya kimya kimya kati ya mke wake na jamaa inampa uchungu na majukumu yote ya mtoto wao yapo juu yake
Wanawake sio wa kuwaamini sana, ukute hapo baba mzazi anatoa kila kitu cha mtoto ila mama mtu anasema hatoi ili avute kotekote
 
Shida si u single mama , shida ni akili ya uyo single mama

Jianaume lishakutelekeza na mimba alikataa akaenda kuoa kabisa mwanamke mwingne afu gafla unarudisha mawasiliano nae eti kisa ni baba mtoto, wakati uo uo kuna mtoto wa mwanamke mwenzio kaamua kukustiri na ilo toto lako lililokataliwa na uyo baba ake

Hatunaga heshima na misimamo kwa wanaume walioamua kutustiri

Tunajua sana kujisahau kwa kutumia hisia badala ya akili

After all wanawake sisi mwalimu wetu kipofu
 
FB_IMG_16528071060374866.jpg

Kutaka vilivyokuzidi
 
Shida si u single mama , shida ni akili ya uyo single mama

Jianaume lishakutelekeza na mimba alikataa akaenda kuoa kabisa mwanamke mwingne afu gafla unarudisha mawasiliano nae eti kisa ni baba mtoto, wakati uo uo kuna mtoto wa mwanamke mwenzio kaamua kukustiri na ilo toto lako lililokataliwa na uyo baba ake

Hatunaga heshima na misimamo kwa wanaume walioamua kutustiri

Tunajua sana kujisahau kwa kutumia hisia badala ya akili

After all wanawake sisi mwalimu wetu kipofu
Unataka upelekwe wapi lunch jpili hii nitalipa mimi
 
Huyu jamaa tumesoma wote lakini ni mtu mwenye asili ya ubishi lakini pia ni aina flani ya watu wanaojifanya wajuaji anyway sasa twende kwenye mada yetu halisia

Kipindi anataka kuoa washikaji wake wa karibu tulimsihi sana huyu binti ukimuoa huko mbeleni atakuja kukupa shida simply tunawaelewa single mother ni ngumu kuvunja bond kati yake na mwanaume aliyezaa nae lakini msela alijifanya mwamba coz binti alimweleza jamaa aliyeza nae alimtekelekeza na hataki hata kumsikia sababu alikataa mimba na akamtelekeza hivyo hana hata mpango nae

Leo hii ndoa yao ina miaka mitatu jamaa kagundua binti na jamaa wanawasiliana vizuli , wanakutana na kuna kipindi jamaa akitaka mtoto kumuona binti anampeleka kumuona baba yake mzazi.

Jamaa yetu baada ya kugundua hayo amemwambia binti huyu mtoto anaomba ampeleke akalelewewe na baba yake upande wa pili huyu baba wa mtoto ana mke wake na hizo habari za kuletewa mtoto hataki kuzisikia coz hataki mgogoro kwenye ndoa yake kuleta mtoto wa njee ,

Ukienda kwenye kutoa huduma za mtoto huku jamaa hachangii chochote kile kuhusu mtoto wake anadai majukumu ya familia yake yamembana hana uwezo wa kumuhudumia mtoto lakini kila mwisho wa miezi mitatu jamaa kule huwa anataka apelekewe mtoto akamsalimie baba yake kimya kimya bila msela huku asijue
Na mbaya zaidi majukumu yote ya mtoto msela yamemuelemea huku mtoto ana baba yake......

Mpka sasa ndoa yao ina mgogoro mzito jamaa yetu saivi kama kachanyikiwa connection ya kimya kimya kati ya mke wake na jamaa inampa uchungu na majukumu yote ya mtoto wao yapo juu yake
Dawa ya single mother wa namna hiyo mi kwenda naye ktk utalii Ukraine halafu unamtoroka.
 
Kwanini aachwe ?
Mwanaume anaweza kumuacha mwanamke mwenye akili na anaejiheshimu?

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo hapa una assume kuwa wanaume wote wana akili na wako sahihi muda wote, ila wanawake ndio wajinga na wakosaji. Lakini kaa tu ukijua kama wanawake ni wajinga na wakosaji, wapo wanume kenge pia ambao wameachwa na wanawake.
 
Back
Top Bottom