Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Mkuu nimesoma mara mbili mbili hii comment yako nikabaki najiuliza ni wewe kweli, natamani wanaume wote mngekuwa realistic and sincere kiasi hiki labda tungejua wapi pa kuanzia ili kusolve haya matatizo yote kwenye jamii, sisi wengine tukiongea mnatuita feminists lakini tunachofanya ni kujaribu kuonesha kwamba hii mentality ya wanaume kujiona kuwa wakifanya maovu ni sawa ndio inafanya jamii izidi kuharibika
 
Alikaza ubongo akajikuta yupo single again 😂
 
Asikudanganye nyuma kuna mtu na watu wenyewe ni waume za watu, wasijefanye wapo peke yao
 
🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…