Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

mimi nimeanzisha Mada muhimu kama hii ili uchangie na pia upunguze kutokana na michango ya wadau
 
Subiria malaika aje akuoe. Kuna siku utakuja kujua kuwa una tabia ambayo pia ni kero kwa wanaume.
 
Kaka kwanza relax.
Single mother wengi ni matokea ya mwanamke kuichukulia poa ndoa na kumuona mwanamme kama kiumbe hakina msaada kwenye maisha yake ila tu akikipoteza ndiyo vita ya maisha yake inakuwa ngumu na watoto zake.
Sisi wanaume huwa tuna enjoy mking'ang'ania watoto coz tunajua hao hao watoto ndiyo watakao kutoa jasho.
 
Yaani wewe, Robert heriel,the unpaid seller mna makengeza when it comes to women!,kila mada inayohusu wanawake lazima mje kuadhibu, embu angaikeni na matatizo yenu mnaboa...
 
Sasa mbona umeanza personal attacks hiyo ni ishara ya kupanic, wewe mama yangu unamfahamu, wanaume wengi wamelelewa na single mothers ila humu wanajifanya kuwatukana na kuwadharau kila siku
Hata akiwa ni mama ako ni single mother tu

Wewe ndo ulisema hivo kwahiyo nami nilikuwa nakazia tu
 
Hakafu hujajua huyo niliye mjibu alitumia lugha gani (au labda unaweza kuwa ww kwenye acc nyingine),mimi JF ukijitia mwendawazimu na malizana na ww humu humu.Kaitizame comment yangu kwanza,niliandika kiustarabu.

Bado hujakua na bado huna mtu wako wa karibu ambaye ni single mother, inawezekana ukawa na age kubwa ila maturity yako ni tatizo.

Sasa ww unaongea hivyo halafu unalaumu single mother hujioni ww ni sehemu ya tatizo. Ila mwanaume hakimbii ndio hata wazee wazamani kwa watoto zao wa kiume, akimuona kijana wake wa kiume anaanza kufukizia wasichana, huwaambia ukweli kabisa ukitia mimba kwangu unaondoka na kweli hata kama hauna kitu ,mzee atapambana kukulipia mahali, atakufafutia shughuli au shamba ukaanze maisha yako.

Sawa,wanawake wanadharau 50/50,usawa wa kijinsia hila hamna sababu ya msingi itakayo kufanya huache kulea mwanao au ususe kisa una mgogoro na mama yake, kweni yy hajaomba kuzaliwa na nyinyi ila nyege zenu ndizo zilizo mleta duniani.Halafu wanawake wenye tunakutana nao ukubwani hatujuani, kila mtu na tabia zake. So mmekutana mekelana kila mtu anamsha zake ila mtoto kila mtu awajibe kwa nafasi.

Kama hauko tayari kulea mimba piga na mpira au piga kavu then unapaisha,sio unapiga kavu then unacheka na nyavu,halafu unakataa mtoto kisa hujajiondaa,sasa why hukupiga kavu. Sawa mwanamke anazo njia za kujicontrol, ila hata ww demu akiwa hayupo kwenye plan yako, husijitie ufundi kucheka na nyavu.

Na uzuri kutoka jasho ndio sifa ya mwanaume kiumbaji hilo huwezi kulikimbia,kwani aliye kuumba ndivyo anavyotaka.

Hakafu swala la kusema hili tatizo single mother ni wanawake mwenyewe mimi na kataa.Kuna watu na wajua wamezalisha wanawake zaidi ya mmoja, ina maana wanawake walio wazalisha ndio wenye matatizo,ila yy hana tatizo,manake kama tunataka kujipa umalaika.

Kama Kut*mba,kila mtu anat*mba ila kama hauna plan za kulea vaa mpira au ukipiga kavu paisha.
 
mimi nimeanzisha Mada muhimu kama hii ili uchangie na pia upunguze kutokana na michango ya wadau
Bandiko lako liko biased... hao single mama hawajajipa mimba wenyewe.
Mwanaume responsible anatumia kinga kama anaona mwanamke hana mpango nae
 
Kuna wengine wanatengeneza mazingira ya kuwa single mother wenyewe.
Unamwambia mwanamke kaa hapa ujifungue kwako, kakimbilia nyumbani kwao, amejifungua huku unatoa matumizi ya kulea mimba. Mtoto anazaliwa jina wanatoa ukweni, na majina yako unayotoa km baba mzazi wa mtoto wanayakataa.
Utaendelea kuwa na huyu mwanamke mjinga kisa mtoto?
 
Wanawake wajitahidi kudai haki zao zile za msingi ila hii fifte fifte naona ni ngumu kidogo
Haki gani?
Km baba unatoa jina la mtoto, mwanamke anakataa halafu unataka umuoe na uendelee kutoa hela ya matumizi kwa mtoto na yeye akiwa kwao. Je, km mwanaume utamuoa hiyo mwanamke?
 
Situation kama hizo zipo ngapi na wangapi wanafanya hivyo? Pili still una room ya kumuhoji na tena nenda na mtu yoyote kama shahidi kama wakikukataa,unaendelea na mambo mengine.

Halafu hivi unajua kimila endapo, umemzalisha binti na wakati hujamtolea mahali, wazazi wa binti wana haki wa kumpa jina lolote mpaka utakapo enda kulipa faini kumkomboa mtoto,sema siku hizi watu hizi mila kama hawazitilii maanani,ila kuna jamii nyengine hizi mila wanazo.

Halafu kuna wana kibao nimekua nao kitaa,wamewazalisha mabinti na hawana time nao wanakaa mtaa mmoja, wengine wamezalisha mwanamke zaidi ya moja (hii ndio ishakuwa kama fasheni).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…