Mishahara mbona imelipwa ? Iii bagoshaTutaongea tu Lugha moja ya KATIBA mpya.
Juzi walianza wafanyabiashara, Leo watumishi wa Serikali, kesho litaibuka kundi jingine,
Tutasikilizana tu, maana Leo Hadi Polisi aliyekuwa akitumiwa kupiga raia waodai HAKI, hajui hatma yake sababu ya kundi dogo la Viongozi,
Tutaelewana tu.
Mpaka sasa si WAALIMU, MATABIBU wala MAAFISA WA JESHI waliopokea mishahara yao ya mwezi Mei 2023.
Hazina ya serikali inahitaji wastani wa bilioni zaidi ya mia sita kila mwezi kwa mishahara ya watumishi wa umma na nyingine zaidi ya bilioni 8 bilioni kwa malipo ya pensheni.
Watalaam mbalimbali wa mambo ya uchumi wanadai kuwa kuchelewesha kwa haki ya watumishi na wastaafu kwa ujumla inasababishwa na mipango duni pamoja matumizi makubwa yasio na tija kiuchumi. Viashiria vyote vinaonesha kuwa tatizo hili linaweza kuendelea kwa miezi kadhaa.
Vilevile imetajwa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali fedha kama sababu kuu zinazolifanya taifa hili kukosa fedha kuwalipa wafanyakazi wake kwa wakati.
Sababu nyingine ya kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma ni kukosa vipaumbele kwa masuala muhimu na badala yake kuwaridhisha baadhi ya viongozi wake na wabunge ambao muda wao wa kupiga kelele Bungeni ni wa muda mfupi tofauti na mtumishi wa umma ambae anafanya kazi kwa zaidi ya miaka 30.
Kwa kipindi kirefu serikali imekuwa ikijigamba kuwa kupitia Mamlaka ya Ukunyaji Kodi (TRA) inakusanya Zaidi ya Trilinioni mOja kwa mwezi Swali la kujuliza ni je fedha hizo zimekuwa zikitoweka kutoka chanzo chake ambacho ni mamlaka ya TRA, ama hupotea zinapowasili katika wizara au sababu zote mbili?
Hivi karibuni wafanyabiashara katika soko lakimataifa la karikakoo waligoma kutokana na kuongezeka kwa mienendo ya rushwa na kubambikiwa kodi zisizo na muelekeo katiak sehemu zao za biashara.
Haya yanajiri huku watumishi wa umma wakisubiri mshahara yao hatua ambayo inaweza kuweka huduma za serikali kwa umma katika hali tete.
WASWAHILI SIKU ZOTE WANAMSEMO USEMAO KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.
Kweli,ulijuajeMwl Bumija kama nakuona na take home yako ya 215,000 [emoji1][emoji1]
Mwl Bumija kama nakuona na take home yako ya 215,000 [emoji1][emoji1]
Mwl Bumija hapa ulitaka kusemaje? π
Kwamba hapati hiyo 200k km unavyopenda iwe coz ye ni graduate mkuuMwl Bumija hapa ulitaka kusemaje? π
Ufipa walichinjana halafu tuhuma zikaelekezwa kwa mwenda zake hii ndo Tanzania.Kwa kuchinja
Kwamba uko serious kuwa Serikali itoe tamko kutolipa mishahara tarehe 24??? Are you kidding or mere crazy? Baadhi ya watanzania mna PhD za ujinga mnatembea nazo na mnaingia nazo maofisini ndio maana mambo maofisini hayaendi kiuweledi.Mkuu, mpaka muda huu(jioni hii), wengine mishahara bado na haijulikani itatoka lini na wala hakuna tamko lolote.
Huyo TumainEl ndio nani? Acheni kutukuza watu. Huyo jamaa ni muongo muongo sana na ana chuki ya ajabu na serikali hii.tumainiEl aliandika uzi wake mwezi uliopita kwamba Serikali inakwenda kukosa kulipa mishahara, kutokana na Mikopo riba kuwa Kubwa na kufilisika kwa hazina ya Taifa kutokana na ufisadi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Serikali imeanza kuchelewesha watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei.Mpaka sasa si WAALIMU, MATABIBU wala MAAFISA WA JESHI waliopokea mishahara yao ya mwezi Mei 2023.
Hazina ya serikali inahitaji wastani wa bilioni zaidi ya mia sita kila mwezi kwa mishahara ya watumishi wa umma na nyingine zaidi ya bilioni 8 bilioni kwa malipo ya pensheni.
Watalaam mbalimbali wa mambo ya uchumi wanadai kuwa kuchelewesha kwa haki ya watumishi na wastaafu kwa ujumla inasababishwa na mipango duni pamoja matumizi makubwa yasio na tija kiuchumi. Viashiria vyote vinaonesha kuwa tatizo hili linaweza kuendelea kwa miezi kadhaa.
Vilevile imetajwa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali fedha kama sababu kuu zinazolifanya taifa hili kukosa fedha kuwalipa wafanyakazi wake kwa wakati.
Sababu nyingine ya kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma ni kukosa vipaumbele kwa masuala muhimu na badala yake kuwaridhisha baadhi ya viongozi wake na wabunge ambao muda wao wa kupiga kelele Bungeni ni wa muda mfupi tofauti na mtumishi wa umma ambae anafanya kazi kwa zaidi ya miaka 30.
Kwa kipindi kirefu serikali imekuwa ikijigamba kuwa kupitia Mamlaka ya Ukunyaji Kodi (TRA) inakusanya Zaidi ya Trilinioni mOja kwa mwezi Swali la kujuliza ni je fedha hizo zimekuwa zikitoweka kutoka chanzo chake ambacho ni mamlaka ya TRA, ama hupotea zinapowasili katika wizara au sababu zote mbili?
Hivi karibuni wafanyabiashara katika soko lakimataifa la karikakoo waligoma kutokana na kuongezeka kwa mienendo ya rushwa na kubambikiwa kodi zisizo na muelekeo katiak sehemu zao za biashara.
Haya yanajiri huku watumishi wa umma wakisubiri mshahara yao hatua ambayo inaweza kuweka huduma za serikali kwa umma katika hali tete.
WASWAHILI SIKU ZOTE WANAMSEMO USEMAO KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.
Mmezoea kuburuzwa ndio maana unashangaa.Kwamba uko serious kuwa Serikali itoe tamko kutolipa mishahara tarehe 24??? Are you kidding or mere crazy? Baadhi ya watanzania mna PhD za ujinga mnatembea nazo na mnaingia nazo maofisini ndio maana mambo maofisini hayaendi kiuweledi.
Hapo kashakatwa Loanboard na mikopo ya benki.Kwamba hapati hiyo 200k km unavyopenda iwe coz ye ni graduate mkuu
Imelipwa Kwa mafungu, wengine Bado,tusubiri mwezi ujao itakuwaje,Mishahara mbona imelipwa ? Iii bagosha
Dalili ni mbaya huko tuendako, serikali imekosa wabunifu kabisa kwenye mambo ya msingi wao kukopa ndio wanaona sifa.
Nashangaa iweje mfungue nchi halafu mambo ndio yazidi kuwa magumu kuliko wakati ule "ilipofungwa"?
Hili taifa kwa sasa hakuna kiongozi wa kuliongoza, tumekwama.
Onyesha salary slip
Kumbuka mshahara ni haki ya mfanyakazi sio ofa hiyo , kuna mambo ya kuvumilia na kujitolea sio hivyo unavyofikiria weweWafanyakazi Wasio wazalendo NDIO huwa na cheap Mind.....
Ndio unakuta wanashaur vijana wakajitolee Bure kwenye ofisi pesa imechelewa kidogo lawama teleee πππ