Sintofahamu ya mpaka sasa Serikali haijawalipa watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei

Sintofahamu ya mpaka sasa Serikali haijawalipa watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei

Tutaongea tu Lugha moja ya KATIBA mpya.

Juzi walianza wafanyabiashara, Leo watumishi wa Serikali, kesho litaibuka kundi jingine,

Tutasikilizana tu, maana Leo Hadi Polisi aliyekuwa akitumiwa kupiga raia waodai HAKI, hajui hatma yake sababu ya kundi dogo la Viongozi,

Tutaelewana tu.
Mishahara mbona imelipwa ? Iii bagosha
 
Mpaka sasa si WAALIMU, MATABIBU wala MAAFISA WA JESHI waliopokea mishahara yao ya mwezi Mei 2023.

Hazina ya serikali inahitaji wastani wa bilioni zaidi ya mia sita kila mwezi kwa mishahara ya watumishi wa umma na nyingine zaidi ya bilioni 8 bilioni kwa malipo ya pensheni.

Watalaam mbalimbali wa mambo ya uchumi wanadai kuwa kuchelewesha kwa haki ya watumishi na wastaafu kwa ujumla inasababishwa na mipango duni pamoja matumizi makubwa yasio na tija kiuchumi. Viashiria vyote vinaonesha kuwa tatizo hili linaweza kuendelea kwa miezi kadhaa.

Vilevile imetajwa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali fedha kama sababu kuu zinazolifanya taifa hili kukosa fedha kuwalipa wafanyakazi wake kwa wakati.

Sababu nyingine ya kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma ni kukosa vipaumbele kwa masuala muhimu na badala yake kuwaridhisha baadhi ya viongozi wake na wabunge ambao muda wao wa kupiga kelele Bungeni ni wa muda mfupi tofauti na mtumishi wa umma ambae anafanya kazi kwa zaidi ya miaka 30.

Kwa kipindi kirefu serikali imekuwa ikijigamba kuwa kupitia Mamlaka ya Ukunyaji Kodi (TRA) inakusanya Zaidi ya Trilinioni mOja kwa mwezi Swali la kujuliza ni je fedha hizo zimekuwa zikitoweka kutoka chanzo chake ambacho ni mamlaka ya TRA, ama hupotea zinapowasili katika wizara au sababu zote mbili?

Hivi karibuni wafanyabiashara katika soko lakimataifa la karikakoo waligoma kutokana na kuongezeka kwa mienendo ya rushwa na kubambikiwa kodi zisizo na muelekeo katiak sehemu zao za biashara.

Haya yanajiri huku watumishi wa umma wakisubiri mshahara yao hatua ambayo inaweza kuweka huduma za serikali kwa umma katika hali tete.

WASWAHILI SIKU ZOTE WANAMSEMO USEMAO KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.

Kuchelewa kumesababishwa na upandishaji madaraja, mshahara wa Mei umejumuisha upandishaji madaraja, walimu wameshalipwa kwa vyeo vipya.
Kwa hivyo kuna kazi kubwa inaendelea, tulieni mambo mazuri yanachakatwa.
 
Mwl Bumija kama nakuona na take home yako ya 215,000 [emoji1][emoji1]
Screenshot_20230524-230151.jpg
 
Mkuu, mpaka muda huu(jioni hii), wengine mishahara bado na haijulikani itatoka lini na wala hakuna tamko lolote.
Kwamba uko serious kuwa Serikali itoe tamko kutolipa mishahara tarehe 24??? Are you kidding or mere crazy? Baadhi ya watanzania mna PhD za ujinga mnatembea nazo na mnaingia nazo maofisini ndio maana mambo maofisini hayaendi kiuweledi.
 
tumainiEl aliandika uzi wake mwezi uliopita kwamba Serikali inakwenda kukosa kulipa mishahara, kutokana na Mikopo riba kuwa Kubwa na kufilisika kwa hazina ya Taifa kutokana na ufisadi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo TumainEl ndio nani? Acheni kutukuza watu. Huyo jamaa ni muongo muongo sana na ana chuki ya ajabu na serikali hii.
 
Mpaka sasa si WAALIMU, MATABIBU wala MAAFISA WA JESHI waliopokea mishahara yao ya mwezi Mei 2023.

Hazina ya serikali inahitaji wastani wa bilioni zaidi ya mia sita kila mwezi kwa mishahara ya watumishi wa umma na nyingine zaidi ya bilioni 8 bilioni kwa malipo ya pensheni.

Watalaam mbalimbali wa mambo ya uchumi wanadai kuwa kuchelewesha kwa haki ya watumishi na wastaafu kwa ujumla inasababishwa na mipango duni pamoja matumizi makubwa yasio na tija kiuchumi. Viashiria vyote vinaonesha kuwa tatizo hili linaweza kuendelea kwa miezi kadhaa.

Vilevile imetajwa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali fedha kama sababu kuu zinazolifanya taifa hili kukosa fedha kuwalipa wafanyakazi wake kwa wakati.

Sababu nyingine ya kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma ni kukosa vipaumbele kwa masuala muhimu na badala yake kuwaridhisha baadhi ya viongozi wake na wabunge ambao muda wao wa kupiga kelele Bungeni ni wa muda mfupi tofauti na mtumishi wa umma ambae anafanya kazi kwa zaidi ya miaka 30.

Kwa kipindi kirefu serikali imekuwa ikijigamba kuwa kupitia Mamlaka ya Ukunyaji Kodi (TRA) inakusanya Zaidi ya Trilinioni mOja kwa mwezi Swali la kujuliza ni je fedha hizo zimekuwa zikitoweka kutoka chanzo chake ambacho ni mamlaka ya TRA, ama hupotea zinapowasili katika wizara au sababu zote mbili?

Hivi karibuni wafanyabiashara katika soko lakimataifa la karikakoo waligoma kutokana na kuongezeka kwa mienendo ya rushwa na kubambikiwa kodi zisizo na muelekeo katiak sehemu zao za biashara.

Haya yanajiri huku watumishi wa umma wakisubiri mshahara yao hatua ambayo inaweza kuweka huduma za serikali kwa umma katika hali tete.

WASWAHILI SIKU ZOTE WANAMSEMO USEMAO KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.
Serikali imeanza kuchelewesha watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei.
Je watakaopata ajira mpya 21,000 mishahara yao itapatikana Kweli?
Kuna dalili tunakoelekea watumishi wa Umma wataanza kuwa omba omba.
 
Kwamba uko serious kuwa Serikali itoe tamko kutolipa mishahara tarehe 24??? Are you kidding or mere crazy? Baadhi ya watanzania mna PhD za ujinga mnatembea nazo na mnaingia nazo maofisini ndio maana mambo maofisini hayaendi kiuweledi.
Mmezoea kuburuzwa ndio maana unashangaa.
 
Tukupe uraisi
Dalili ni mbaya huko tuendako, serikali imekosa wabunifu kabisa kwenye mambo ya msingi wao kukopa ndio wanaona sifa.

Nashangaa iweje mfungue nchi halafu mambo ndio yazidi kuwa magumu kuliko wakati ule "ilipofungwa"?

Hili taifa kwa sasa hakuna kiongozi wa kuliongoza, tumekwama.
 
Wafanyakazi Wasio wazalendo NDIO huwa na cheap Mind.....

Ndio unakuta wanashaur vijana wakajitolee Bure kwenye ofisi pesa imechelewa kidogo lawama teleee 😊😊😊
Kumbuka mshahara ni haki ya mfanyakazi sio ofa hiyo , kuna mambo ya kuvumilia na kujitolea sio hivyo unavyofikiria wewe
 
Back
Top Bottom