Sinza baadhi ya watu acheni kukaa uchi, yaani wake kwa waume

Mimi hii nyumba nayoishi kuna jirani toka nimehamia sijawahi kumuona na mwanandani, inawezekana huwa anavaa wakati mvua inanyesha tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwahiyo unatak kusemaje?
 
Tupia kapicha sisi wa kantalamba tuone
 
Nimeiingia mnadani Corner Bar Sinza kupunguza nguvu na stress katika kuchagua wakunitumikia naangalia mapaja na trako sasa mvaa hijabu hapa haauzi.
 
Nimeiingia mnadani Corner Bar Sinza kupunguza nguvu na stress katika kuchagua wakunitumikia naangalia mapaja na trako sasa mvaa hijabu hapa haauzi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ akili yako unaijua mwenyewe
 
We umeona Sinza tu ? Fika Tabata ujionee dunia inaenda Kasi sana,
 
Kwa mwanamke utasema anauza mbunye yake haya kwa mwanaume nae auzankengele?
Magasho wazee wa upinde unajua wanavaaje au kwa kua ana madevu ndio yamekupagawisha ? Kuna uvaaji fulani hivi km amevaa jump suit sio jump suit yaan kibukta na vest Pana Pana mapaja yote nje

Kwa taarifa yako hao wenye madevu waangalie vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…