Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Umeelewa mada kweli? Au na wewe ni mmoja wao?
 
Tumekusikia
 
Sure ukisoma mtu anachoandika between the lines utagundua mtu kabeba maumivu ndani mwake kwa kuumizwa na mwanamke/ wanawake wa aina fulani. Anatoa kejeli na hadi wengine matusi kwa wanawake wote
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu.
 
Ni kweli asilimia kubwa ya matrue "supawuman" wanakuwa wanahistoria mbaya kama ulivyoelezea hapo juu.
 
Mwanaume mwenye amri na mfeminist hawawezi kukaa nyumba moja maana utakuwa unatengeneza bomu ambalo litawasambaratisha wote au mmoja wao.

Kwani mwanamme kwenye amri akiona utii amri yake kifuatacho ni vitasa vya uhakika.
 
Kwani bibie huwa mnataka haki sawa au kufanana kwa haki ?

Kingine kuosha vyombo au kuwasaidia wake zetu kazi za nyumbani ni katika jambo letu na ni katika mapenzi. Hili haliwezi kuwa hoja na mimi ni katika waume ambao tunawasaidia wake zetu kaziza nyumbani na hili huleta mapenzi.

Hoja ilipo ni pale ambapo mnataka kufanana na sisi. Hili ndiyo tatizo. Shida yenu hizi fikra mmeletewa toka nje na mkazivagaa pasi na kuzichambua. Mpaka Leo hii imefikia hatua Mwanamke unafanywa bidhaa na unaona unapata unacho stahiki na hakuna zama ambazo mwanamke amekuwa taka taka na asiye kuwa. A thamani kama zama hizi. Shida yenu si wafanyaji tafiti sababu mmekuwa mazwazwa sana.

Bibie hakuna mwanaume mwenye akili anayetaka kushindana na mwanamke au akawa na mwanamke mwenye fikra kama zako. Namuongelea mwanaume hasa siyo hawa mfano wa wanaume.

Kingine sisi hatutaki kuinamiwa sababu kuinamiwa si katika mapenzi, ila sisi tunataka wanawake mjitambue na mjue mipaka yenu na msiwe wajinga kama mlivyo wajinga leo hii.

Kama maumbile yetu hayafanani vipi tufanane katika majukumu na wajibu ? Hili halihitani akili kubwa sana.
 
Kapuku wa akili.
 
Hivi mfano bibie nikakwambia, kaa nyumbani usifanye kazi utakubali ? Yaani kila kitu juu yangu.
 
Ni jambo zuri lakini mnatakiwa sometime mjitetee coz mkipiga kimya mnaonekana kila siku mnamakosa madam
Analosema lipo kuna wanawake wana tabia ambazo hata sisi wanawake wenzao zinatukera...mwanamke much know yani yule anaejiona mwamba hapa tofautisha mwanamke msomi na bado ana uanamke wake na ana hoja za kujenga na anasikiliza pia...but kuna mwanamke ni msomi yess ila ni vile anataka elimu yake ndo iwe inaendesha maisha... yani ofisi yake anaileta home amri mpk kwa watu wanaomzunguka..so wapo hawa na ni vigumu kuishi nao
 
Send this to your papa
 
Hayo ndo maneno sasa madam Kalpana kumbe mnaweza pasa sauti vizuri bhana

Nimefurahi kusikia toka kwako

Pamoja sana
 
Mleta Mada Hakuna sehemu kaongelea pesa. We unaruka ruka tu na pesa Nani kwanza kamwambia tunacoment huku hatuna hela.?? Wewe ndo huna kitu ndo maana umekazania tafuteni hela Mara 1000.
 
Mtu fulani kabadili id na profile pic kaja kivingine ndio mjue hawa watu ni faki kiasi gani wanataka mwanaume traditional ila wao hawataki kua traditional women.

Hakuna uhalisia bongo movie mpaka katika maswala ya msingi ndio maana yanaishia kua masingle mothers yasio na thamani taka taka used condoms, ila mwanamke anaeikubali nafasi yake kwanza wanapendeza na wana furaha zaidi sio haya manungaiyembe yaliyojaa jf.
 
Word!
 
Mleta Mada Hakuna sehemu kaongelea pesa. We unaruka ruka tu na pesa Nani kwanza kamwambia tunacoment huku hatuna hela.?? Wewe ndo huna kitu ndo maana umekazania tafuteni hela Mara 1000.
Yani mianamke mingi jf ni zero jambo lolote utawasikia "tafuteni hela" wtf bitches mmeigia mifukoni mwetu na kukuta hakuna hela ?! Haya tuseme basi hatuna hela hata tukitafuta hela ni kwaajili yetu na wanawake halisi sio madume kije a.k.a mafeminists ya Buza yaliyojazana jf we go for real women sio misukule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…