Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Huwa mnashindwa tu kutuelewa mkuu. Yaani mimi siwezi kuamka asubuhi nitake kushindana na mwanaume. Never! Sasa katika ile hali ya kueleweshana ndo tunaonekanaga wajuaji na wenye matusi wanakuja nayo.Sauti imesikika vizu Sana madam
Nimekupenda bure kabisa.
Mimi nilikua natetea na kukemea hali ambayo imetanda humu jf. Yaani wanawake wanachukuliwa kitofauti sana. Kwa ubabe na na dharau hatuwezi kuelewana. Wakaka wanahitaji kueleweshwa kwamba lazima tujitetee na kwamba sisi hatushindani nao. Sijui uoga wanautoa wapi yaani.Waliokua wanatukana huko juu hawakuelewa hata unamaanisha nini kwasababu ya hiyo mentality waliyonayo. Waje wasome vizuri hii comment waacha makasiriko
Nimekuelewa vizur Sana madamHuwa mnashindwa tu kutuelewa mkuu. Yaani mimi siwezi kuamka asubuhi nitake kushindana na mwanaume. Never! Sasa katika ile hali ya kueleweshana ndo tunaonekanaga wajuaji na wenye matusi wanakuja nayo.
We respect you as men na tunatamani mlione hilo. tunachoomba ni nyinyi mtuangalie kwa jicho positive hata kidogo.
Hata tuwe tumesoma vipi msituchukulie kama tunawadharau. Mkiskia tunabishana mjue ni kwenye fursa za kimaendeleoila family wise simameni katika nafasi zenu kwa upendo na amani mbona sisi tutakua submissive hadi mtashangaa.
50/50 kwenye ndoa ni ya nini mimi? Yaani nianze kuwaza majukumu anayobeba mume wangu niyabebe mimi? Hata kama tunalipa ada sawa. Yani unaskia raha gani unarudi nyumbani unamkuta mumeo anakukunia nazi, amekufulia na anadeki nyumba na wewe unakaa unanyoosha miguu. Eeh hapana jamani. Sa ndo nini50/50 haiwezi kuwa applied ndani ya ndoa au in a relationship.. kila jinsia itasimama ktk majukumu yake. 50/50 ipo katika nyanja zingine katika social development, uongozi, umiliki wa radhi, elimu, fursa za ajira n.k. Pia hii ideology ya 50/50 both sides men and women waelewe inalenga nini na sio kuvutana kuonyeshana nani ni zaidi ya mwingine. Sote tunategemea na hili neno feminism tusumbue akili zetu kutaka kujifunza ina maana gani na mlengo wake ni nini basi hata tu google tusome tuielewe maana yake na sio tujaze vichwa vyetu kwa maana tunazozijua sisi na kucreate hate among men and women
Nyie ndiyo kizazi dhaifu kuwahi tokea duniani msiojitambua , nyie ndiyo mnapenyesha sumu na mambo ya kipuzi kwenye jamii na kuleta vitu vya hovyo kwenye jamii, jamii imepoteza wanawake wenge wenye heshima kwa wanaume zao kwasababu yenu, wanawake wenye kudekea penzi/ndoa yao na kujiheshimisha mbele ya mume wake, mmewajaza sumu wanawake muda wote wanakua kama askari kwasababu ya ujinga wa watu wa sampuli yako mnao kubaliana kueneza ushindani ndani ya familia ya kuwa sasa wote ni wanaume 50-50 na hatuwezi watenganisha nani ni baba na nani ni mama, ukubali usikubali kwenye familia baba ni mmoja tu, kichwa cha familia ni kimoja tu na ndiyo baba na mwanaume ni mmoja, mwenye korodani ni mmoja tu tu haijalisha anayopitia ,Nilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).
Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.
Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?
Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?
Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!
Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Asante. Hapo kwenye kuukataa unyonge ndo nimeambulia kutukanwa😂 na kuonekana mjuaji. natamani wakina kaka wengine watuelewe jamani. Majukumu yenu ya ubaba bakini nayo tu sisi tunapenda kuwa kwenye nafasi zetu. Tena proudly. Baba ni Baba tu. Na mama ni mama. Simple.Nimekuelewa vizur Sana madam
Wanawake wote mkiwa na mtazamo kama wewe naamini ndoa zitadumu Sana na tutawapenda Sana
Hongera Kwa kudefend hoja humu ktk huu Uzi umekataa unyonge kama wenzio
Big up Sana.
Natamani kukujibu ila ntakukosea heshima. Acha nikubakishie hata hiyo heshima kidogo iliyobaki. Nna mambo mengi ya kufanya. endelea na matusi 🤝Nyie ndiyo kizazi dhaifu kuwahi tokea duniani msiojitambua mnataka , nyie ndiyo mnapenyesha sumu na mambo ya kipuzi kwneye jamii na kuleta vitu vya hovyo kwenye jamii, jamii imepoteza wanawake wengie wenye heshima kwa wanaume zao kwasababu yenu,wenye kudekea penzi/ndoa na kujiheshimisha mbele ya mume wake,mmewajaza sumu wanawake muda wote wanakua kama askari kwasababu ya ujinga wa watu wa sampuli yako mnao kubaliana kueneza ushindani ndani ysa familia kuwa sasa wote ni mwanaume hatuwezi watenganisha nani ni baba na nani ni mama, ukubali usikubali kwenye familia baba ni mmoja tu, kichwa cha familia kimoja tu na ndiyo baba na mwanaume ni mmoja,mwenye korodani ni mmoja tu tu haijalisha anayopitia ,
Huyo uliemtag na kumtukana ungesoma vizuri comments zake hadi mwisho ndo mwenye afadhali😹😹😹 wanaume kumbe ni kweli mna negativity juu ya wanawake. Sijui mtakua lini? Mnakurupuka nyieeeeNyie ndiyo kizazi dhaifu kuwahi tokea duniani msiojitambua mnataka , nyie ndiyo mnapenyesha sumu na mambo ya kipuzi kwneye jamii na kuleta vitu vya hovyo kwenye jamii, jamii imepoteza wanawake wengie wenye heshima kwa wanaume zao kwasababu yenu,wenye kudekea penzi/ndoa na kujiheshimisha mbele ya mume wake,mmewajaza sumu wanawake muda wote wanakua kama askari kwasababu ya ujinga wa watu wa sampuli yako mnao kubaliana kueneza ushindani ndani ysa familia kuwa sasa wote ni mwanaume hatuwezi watenganisha nani ni baba na nani ni mama, ukubali usikubali kwenye familia baba ni mmoja tu, kichwa cha familia kimoja tu na ndiyo baba na mwanaume ni mmoja,mwenye korodani ni mmoja tu tu haijalisha anayopitia ,
Unajua nini madamAsante. Hapo kwenye kuukataa unyonge ndo nimeambulia kutukanwa😂 na kuonekana mjuaji. natamani wakina kaka wengine watuelewe jamani. Majukumu yenu ya ubaba bakini nayo tu sisi tunapenda kuwa kwenye nafasi zetu. Tena proudly. Baba ni Baba tu. Na mama ni mama. Simple.
Hahahah nashukuru mkuu. Yaani kaeni mkijua we respect men’s existence on this earth. Tunawapenda na kuwaheshimu na kikubwa ni majukumu mnayobeba kama baba wa familia zetu. mkilijua hilo mbona mtanenepa hadi mtufukuze majumbani kwamba tumewazidishia raha😂 have a good day mkuu🤝 thanks for being understandingUnajua nini madam
Hukurudi nyuma wakati unajitetea na ukaendelea kupush Kwa hoja zako nzuri mpaka Mimi nimekuelewa.
Binafsi ujasiri wako nimeupenda Sana,siku zote kama unaamini katika hoja zako huwezi kukata tamaa,endelea kupush mpaka kieleweke,na always tambua sio kila mtu atakuelewa lakini vile vile sio kila mtu atakataa hoja zako pia.
Napenda wanawake mnaojiamini huku mkitambua uwepo wetu pia kama wanaume kuwa Una uzito wake.
Pata breakfast sehemu yoyote nzur waambie Etugrul bey atasimamia show nzima.
True, umeongea vizuri. Lakini bahati nyingine mbaya ni kuwa sisi wanaume tukikutana na mwanamke mwenye uwezo kutuzidi tunapoteza kujiamini, ni wanaume wachache wakawa strong huku wake zao ndio wenye uwezo mkubwa kifedha.Sasa wewe ndo umeongea kistaarabu wenzako wanakuja na matusi.
Hapa tutaenda sawa, personally siamini katika 50/50 ndani ya nyumba. Kwanini mwanaume arudi kutoka kazini ajifanyie kazi zake? Kwanini apike au afue wakati mkewe nipo? Kwanini nisimtengee chakula. Yaani vyote hivyo ni mwanamke ndo napaswa kufanya.
Tatizo linakuja pale ambapo mwanamke analazimisha haki sawa anazoskia kwenye tv kuzileta nyumbani. That’s not right. Nadhani haki sawa wanazosema ni kwenye elimu na fursa kwenye jamii na sio wajibu wa mwanamke kwa mume wake.
Kwanza mimi siwezi kuolewa au kuishi na mwanaume ambae hana say kwangu, siwezi kuishi na mwanaume ambae mimi ndo nafanya maamuzi seriously tutashindwana.
I like a decision making man tena mwenye utashi aisee hapo ntakua submissive vizuri tu. Kinachonishinda ni inferiority complex. Wanaume wengi wana wanawaangalia wanawake with a negative mentality na kuanza kuwadharau ndo maana mtu anajitetea. Being submissive is sexy bwana.
Hapana kuna haja ya kuisemea hii kuna sumu kali sana wanawake mmeibeba ndani ya jamii ya kutaka kuondoa au kubadilisha nafasi yako ya uwanamke na kutaka kuwa mwanaume maana hiyo 50-50 ilikua kwenye maswala mengine ila sasa mmeleta kutdaka kuwa kama mwanaume sijui kama umenielewa,maandiko yenyewe yanasema mwanaume usikubali kumuachia mwanamke nafasi yako ya uwanaume ,hakuna familia iliyo na amani kama ndani ya nyumba wote ni vichwa vya familia,wote viongozi,wote ni baba kila mtu akae kwenye nafasi yake na tuheshimiane ,sioni tatizo kama kila mtu akatii hiliHuyo uliemtag na kumtukana ungesoma vizuri comments zake hadi mwisho ndo mwenye afadhali[emoji81][emoji81][emoji81] wanaume kumbe ni kweli mna negativity juu ya wanawake. Sijui mtakua lini? Mnakurupuka nyieeee
Na ndo kinachoniuma. Yani kwanini mwanaume ahisi mimi kuwa kwenye nafasi flani basi namdharau? Wakati mimi natamani aelewe mimi kuwa hapa ni juhudi tu na haibadilishi nafasi yake ya kiume.True, umeongea vizuri. Lakini bahati nyingine mbaya ni kuwa sisi wanaume tukikutana na mwanamke mwenye uwezo kutuzidi tunapoteza kujiamini, ni wanaume wachache wakawa strong huku wake zao ndio wenye uwezo mkubwa kifedha. Hspo ndio inferiority complex inapochukua nafasi yake kwa tulio wengi.
Kuna mwanamke mmoja anamzinguaga sana jamaa yake huwa anasema pamoja na kumzingua jamaa yake lakini hapendi unyonge wa bwana wake anasema hapendi jamaa yake kuwa kama boya hangurumi ndani kama mwanaume anasema napenda mikikimikiki ya mwanaume yani nae asikubali kubali tu kila kitu awe kauzu ,nikimtuma sokoni anaenda yani yupo yupo tu sasa ona hii ,unaona dharau iliyokithiri na matokeo yake mwanaume wa sampuli hii kujinyonga ni kitu cha kawaida maana hakuna kitu kinamuumiza mwanaume kama kudharau nafasi yake ya uwanaume chezea mengine ila sio nafasi yakeAsante. Hapo kwenye kuukataa unyonge ndo nimeambulia kutukanwa[emoji23] na kuonekana mjuaji. natamani wakina kaka wengine watuelewe jamani. Majukumu yenu ya ubaba bakini nayo tu sisi tunapenda kuwa kwenye nafasi zetu. Tena proudly. Baba ni Baba tu. Na mama ni mama. Simple.
Sio wote mnaliona hilo ,wababa tunabeba majukumu yetu ipasavyo shida wale wanauke wazuri wanaokaa katika nafasi zao ndiyo wanadharaulika ndiyo wanaochukuliwa wa hovyo wale innocent ,ila wanaume wakorofi tena wenye ubabe na kuoiga wake zao ndiyo wanaothaminika ,kuna shida sana kwenye hili ,yani mwanamke akipata wa kumuonea yani utamuonea huruma huyo baba so ni vyema mwanamke ukatambua nafasi yako acha kutafua usawa acha kutafuta nani ni kichwa cha familia acha kujiona unaweza kuwa mwanaume hiyo ni inferiority complex mnayo wanawake tena wanawake wa siku hizi,mbona bibi zetu waliheshimu babu zetu na maboma yao yakawa na amaniHahahah nashukuru mkuu. Yaani kaeni mkijua we respect men’s existence on this earth. Tunawapenda na kuwaheshimu na kikubwa ni majukumu mnayobeba kama baba wa familia zetu. mkilijua hilo mbona mtanenepa hadi mtufukuze majumbani kwamba tumewazidishia raha[emoji23] have a good day mkuu[emoji1666] thanks for being understanding
Tupooo..hii wengine haituhusu nyumbani tupo very humble but stable.. 😀 😀 😀Mamadam mbona mko kimya au ndio mada imewashinda nguvu
Napenda mwanamke anayetambua nafasi yake,napenda zaidi yule mwenye elimu kidogo alafu awe natako,,kiukweli napenda sana mwanamke anayejua kudeka na anayenipa muda wowote ntakapotaka,,kiufupi tu kwangu mimi mwanamke ni starehe yangu,,Mungu awape maisha marefu popote mlip
Nilidhani ni mimi tu kumbe tupo wengi tusiovutiwa na hawa viumbeSame to me mkuu.
Naheshimu sana wanawake, ila wanawake mwenye pigo za kifeminist huwa nawadharau sana na huwa nawakwepa