The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
- #81
Yani jambo dogo watazua mjadala ili mradi tu kushindanaMasculine women Hao. Kaa nao mbali..... Maana ni zaidi ya nyoka. Muda wote anataka kushindana na Mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani jambo dogo watazua mjadala ili mradi tu kushindanaMasculine women Hao. Kaa nao mbali..... Maana ni zaidi ya nyoka. Muda wote anataka kushindana na Mwanaume
Kwanini niwe na mke mwenye tabia hizo ?! Nilimuoa nikiwa nimelewa au ndotoni ebo ?! Yani mwanamke mwenye tabia hizo hata hawezi kunisogelea, na sitaki hata japo salamu yake anawezaje kuja kua mke wangu ?Kwa mfano, mama yako mzazi au mkeo akiwa na hizo tabia za feminism, unamuwekaje kando?
Pole kwa yaliyotokea na hongera kwa kusimama kama kiongozi wa familia hatimaeMimi mama yangu wa kambo alipambana sana niwe sawa na watoto wake wa kike kwa kila hali kuanzia utendaji kazi wa kazi za nyumbani kama kufua, kuosha vyombo na mengineyo😁😁...na alijitahidi sana kunifanya mimi nionekane sio lolote na sina msaada wowote kwenye familia zaidi ya watoto wa kike........leo hii watoto wote wa kike wameolewa na mimi ndie nimebaki kuwa msimamizi wa familia ya baba yangu pamoja na familia yangu mwenyewe.......PAMBANA UNAVYOWEZA, PIGA KELELE UTAKAVYO LAKINI MWANAUME ATABAKI KUWA MWANAUME TU MPAKA YESU ANARUDI😂😂😂
Haa ha ha dude you nailed a bitchYou sound like one manipulative pussy bitchass 😂
Not a simp,(not a man) she is one of them "supawuman"Simp
Anatakiwa amsikilize Candace Owens halafu atajua hii woke feminism ya miaka hii ni kitu gani na Ile genuine feminism ya miaka ya 50,60 na 70 ni kitu gani.You sound like one manipulative pussy bitchass [emoji23]
Wew nae ni mzigo kama mizigo mingineNilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).
Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.
Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?
Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?
Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!
Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Sitakua na ligi na feminist pussy mkuu, nitasoma coments zao za kijinga huku nikitabasamu kwa dharau ya hali ya juu.Wala hujakosea ndugu. Ila subiri wakimaliza mahangaiko yao huko watakuja hapa ligi ianze
Ooh, my bad! the "Supawuman" indeed, She was too aggressive nikajua njemba.Not a simp,(not a man) she is one of them "supawuman"
Usawa haupo mahali popote kati ya mwanaume na m'ke, mme ni mungu wa mke, mungu aliyeiumba dunia ni mungu wa mme, Religious text zinaonesha Mungu alimlaani adam kwa kumtupia lawama mke alipokula tunda bustanini, inaonesha wazi men are responsible for everything in the end.50/50 haiwezi kuwa applied ndani ya ndoa au in a relationship.. kila jinsia itasimama ktk majukumu yake. 50/50 ipo katika nyanja zingine katika social development, uongozi, umiliki wa radhi, elimu, fursa za ajira n.k. Pia hii ideology ya 50/50 both sides men and women waelewe inalenga nini na sio kuvutana kuonyeshana nani ni zaidi ya mwingine. Sote tunategemea na hili neno feminism tusumbue akili zetu kutaka kujifunza ina maana gani na mlengo wake ni nini basi hata tu google tusome tuielewe maana yake na sio tujaze vichwa vyetu kwa maana tunazozijua sisi na kucreate hate among men and women
Nakubali, this is logically inconsistent, usawa kwenye elimu lakini tunapofanya maamuzi ya familia hakuna usawa, crazy how![emoji16]Wanaosema 50/50 ni kwenye fursa., uongozi, kazi bla bla na sio kwenye ndoa ni wavivu sana wa ubongo na nadharia fake.
Yani wanasema hawali nguruwe ila supu watakunywa. HELL MWANAMKE AKISHAJIKITA KATIKA HAKI SAWA 50/50 HUKO MAKAZINI NA MAUONGOZINI HATA KWENYE NDOA NI MWENDO WA 50/50.
Jambo lisilojulina ni kua wanawake ni wanafiki sana sana, watasema ati 50/50 ni kwenye fursa ooh sijui wanawaheshimu waume zao, fuc*ck hell no that is a BIG LIE.
Yule binti wa Kizanzibari sijui Karume nini simkubali kabisa.Same to me mkuu.
Naheshimu sana wanawake, ila wanawake mwenye pigo za kifeminist huwa nawadharau sana na huwa nawakwepa
Wewe unachukia tu wanawake huoni jema lao wanawake wanafki uliishi nao wapiWanaosema 50/50 ni kwenye fursa., uongozi, kazi bla bla na sio kwenye ndoa ni wavivu sana wa ubongo na nadharia fake.
Yani wanasema hawali nguruwe ila supu watakunywa. HELL MWANAMKE AKISHAJIKITA KATIKA HAKI SAWA 50/50 HUKO MAKAZINI NA MAUONGOZINI HATA KWENYE NDOA NI MWENDO WA 50/50.
Jambo lisilojulina ni kua wanawake ni wanafiki sana sana, watasema ati 50/50 ni kwenye fursa ooh sijui wanawaheshimu waume zao, fuc*ck hell no that is a BIG LIE.
Sasa wewe ndo umeongea kistaarabu wenzako wanakuja na matusi.
Hapa tutaenda sawa, personally siamini katika 50/50 ndani ya nyumba. Kwanini mwanaume arudi kutoka kazini ajifanyie kazi zake? Kwanini apike au afue wakati mkewe nipo? Kwanini nisimtengee chakula. Yaani vyote hivyo ni mwanamke ndo napaswa kufanya.
Tatizo linakuja pale ambapo mwanamke analazimisha haki sawa anazoskia kwenye tv kuzileta nyumbani. That’s not right. Nadhani haki sawa wanazosema ni kwenye elimu na fursa kwenye jamii na sio wajibu wa mwanamke kwa mume wake.
Kwanza mimi siwezi kuolewa au kuishi na mwanaume ambae hana say kwangu, siwezi kuishi na mwanaume ambae mimi ndo nafanya maamuzi seriously tutashindwana.
I like a decision making man tena mwenye utashi aisee hapo ntakua submissive vizuri tu. Kinachonishinda ni inferiority complex. Wanaume wengi wana wanawaangalia wanawake with a negative mentality na kuanza kuwadharau ndo maana mtu anajitetea. Being submissive is sexy bwana.
Thank you👏🏼Wew nae ni mzigo kama mizigo mingine