The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
-
- #121
Jibu maswali yangu acha porojo.Kwa baadhi ya wanaume hawa hawa tunaowaona mtaani wanapenda kulelewa? Mwanaume anaamka anapaka poda anaenda misele. So na mama nae ashindane na hiyo sampuli nani atalisha familia? Hivi are you okay? Hee na wanaume wenzio wanakusapoti😂
So mtoto kafikia umri wa kwenda shule mimi bado nipo nyumbani nakusubiri uniletee ele ya pedi. Wewe. 😂 nisije nikaandika maneno hapa jf ikanishangaa😂
Mtoto anakunywa maziwa kwa miaka saba? Umewahi kunyonyesha?Jibu maswali yangu acha porojo.
Hamshindani nao ila mnatamani kufanya kazi zao huku watoto wenu mnawatelekeza kwa house girls, what a shame ?! Mnalea kwa kupiga simu "amekunywa maziwa ?"
Muwe mnaunda makongamano ya kuwashauri wanaume ambao hawataki kufanya kazi wanasubiri wanawake wakatafute wawaletee. Au hao hamuwaoni?Jibu maswali yangu acha porojo.
Hamshindani nao ila mnatamani kufanya kazi zao huku watoto wenu mnawatelekeza kwa house girls, what a shame ?! Mnalea kwa kupiga simu "amekunywa maziwa ?"
Kulea ni kunyonyesha maziwa peke yake ?! Baada ya miezi mitatu mtoto mnamtelekeza kwa "dada wa kazi"Mtoto anakunywa maziwa kwa miaka saba? Umewahi kunyonyesha?
Una akili mingi sana mkuu,big upNilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).
Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.
Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?
Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?
Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!
Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Jibu maswali yangu basi mkuu mbona porojo nyingi. Is that all you can do jamani mafeminhst vipi ndio uwezo wenu umeishia hapo ?!Muwe mnaunda makongamano ya kuwashauri wanaume ambao hawataki kufanya kazi wanasubiri wanawake wakatafute wawaletee. Au hao hamuwaoni?
Wote wakikaa nyumbani nani atalea familia. We wa wapi aisee
So mtoto akienda shule darasa la kwanza anarudi saa kumi jioni. Huu mda wote nipo nyumbani nakusubiri ulete ela nikanunue pedi. Mbona hunijibu hii hoja? Billionaires tu wanaacha wake zao wakajiajiri.Kulea ni kunyonyesha maziwa peke yake ?! Baada ya miezi mitatu mtoto mnamtelekeza kwa "dada wa kazi"
Science imethibitisha miaka 5 ya awali ndio muhimu zaidi kwa makuzi ya mtoto. Je hua mna matenity ya 5 years ?
Kama ndivyo unakubali kua sasa wewe ni dume jike !Yaani mimi huyu huyu Mtoto wa Mzee Robert nianze kubishana na wewe kwa point ya pili uliyoiandika hapo😂 ntakua naumwa kichaa.
Niache mie nimalizie kazi zangu nikampikie Hubby😂 khaaa eti makazini tunatafta nini. Kuna wanaume alafu kuna wewe😂 na mnasapotiana. Kwahiyo nishinde nyumbani nakuomba ela ya kununua sidiria. Nyembe zikiisha bado nikuombe.
Sasa ndo nimekuelewa. Kwa mentality hiyo hata mtukane vipi wanawake sie tutasema hewala. Ni malezi tu na tunapotoka ndo kunafanya kila mtu ajione timamu kichwani. Kha.! Nimecheka kwa sauti😂😂😂😂
Wanawake hakuna kufanya kazi mnaambiwa huku🤣
Unataka nikujibu hoja ngapi maana zote nimekujibu yangu unairuka. Mkiambiwa ukweli mnang’aka. Toka kwenye hiyo mentality bro. Itakutesa kwa miaka mingi sana. Feminism is just a term na wengine hatuiamini. Wewe ndo unaita unafki. Acha wanawake wafanye kazi. Kama wewe unapenda golikipa endelea kulilea ndani. As long as uko sure na kazi yako kwamba hutokuja kukwama na mkeo akakusaidia basi.Jibu maswali yangu basi mkuu mbona porojo nyingi. Is that all you can do jamani mafeminhst vipi ndio uwezo wenu umeishia hapo ?!
Kama ndivyo unakubali kua sasa wewe ni dume jike !
Kama tumeshakubaliana jukumu la kutunza familia ni la mwanaume kwanini ati "pedi" utafute mwenyewe ?!! Eti dume jike ?So mtoto akienda shule darasa la kwanza anarudi saa kumi jioni. Huu mda wote nipo nyumbani nakusubiri ulete ela nikanunue pedi. Mbona hunijibu hii hoja? Billionaires tu wanaacha wake zao wakajiajiri. Wewe una mshahara wa laki 2 mwisho wa mwezi unataka nianze kukuomba. Kwa bahati mbaya sijawahi kuwa na housegirl watoto walipofika umri wa kwenda shule mimi ndo nawapitia nnapotoka kazini. Maisha yanaendelea. Acha kuishi kimaskini. Kasomeshe watoto wa kike.
Nisikuchoshe ?! Ebo, kumbe dume jike unachoka pia ?! Nikajua unauwezo wa kukomaa kidume jike.Unataka nikujibu hoja ngapi maana zote nimekujibu yangu unairuka. Mkiambiwa ukweli mnang’aka. Toka kwenye hiyo mentality bro. Itakutesa kwa miaka mingi sana. Feminism is just a term na wengine hatuiamini. Wewe ndo unaita unafki. Acha wanawake wafanye kazi. Kama wewe unapenda golikipa endelea kulilea ndani. As long as uko sure na kazi yako kwamba hutokuja kukwama na mkeo akakusaidia basi. Usinichoshe
Sasa kwanini huwa mnawatelekeza? Mnahamia kwa wanawake wengine na kuwaacha wanawake ambao mliwaambia msiende kufanya kazi wanabaki peke yao na watoto. Wanaanza kuomba omba mitaani. Ndo maana nakwambia huna exposure na vitu vingi. Kumbe mnapenda wanawake wasifanye kazi ili muwatese vizuri? We jamaa una changamoto juu I’m telling you.Kama tumeshakubaliana jukumu la kutunza familia ni la mwanaume kwanini ati "pedi" utafute mwenyewe ?!! Eti dume jike ?
Design kama umeanza kuishiwa hoja. Hujui hata unajibu nini. Kazi ipo kwa design hii ya watu mbona ukombozi utachukua karne nzima. Mbona wanaume wenzio wengi wanajielewa aisee we unakwama wapi? Kazi kejeli tu ila mawazo mgando.Nisikuchoshe ?! Ebo, kumbe dume jike unachoka pia ?! Nikajua unauwezo wa kukomaa kidume jike.
Nilikua najua mafeminist ni wajuaji ila sikujua kua ni mazwazwa pia, yani majukumu yote ya familia niyamudu ila pedi na nyembe ati "utakua unanipa?" Hell how bogus are these creatures?Jibu hoja zangu. Mtoto akiwa shule nabaki nyumbani kusugua mabati au?
Pili. Kila mwezi unakuwa unanipa ela ya nyembe na pedi? We una changamoto nyingi. Af wenzio hawajakuelewa bado
Mimi nina changamoto juu ?! Ila wewe ulie umbwa mwanamke ila umejigeuza dume jike uko sawa juu ?! Eti ?Sasa kwanini huwa mnawatelekeza? Mnahamia kwa wanawake wengine na kuwaacha wanawake ambao mliwaambia msiende kufanya kazi wanabaki peke yao na watoto. Wanaanza kuomba omba mitaani. Ndo maana nakwambia huna exposure na vitu vingi. Kumbe mnapenda wanawake wasifanye kazi ili muwatese vizuri? We jamaa una changamoto juu I’m telling you.
Nachoshauri ankoooo Somesha mtoto wa kike aje kufanya kazi asije kutegemea mwanaume.
Kama hauna hoja wala rejea zozote za kidini au maagizo ya Mungu kuhusu msimamo wangu kua mwanamke hapaswi kutafuta bali kulea na kutafuta ni jukumu la mwanaume nakubali mawazo "mgando" yangu ni bora kuliko mawazo ya dume jike anaetaka kuaminisha dunia kwa mitazamo ya kishenziDesign kama umeanza kuishiwa hoja. Hujui hata unajibu nini. Kazi ipo kwa design hii ya watu mbona ukombozi utachukua karne nzima. Mbona wanaume wenzio wengi wanajielewa aisee we unakwama wapi? Kazi kejeli tu ila mawazo mgando.
Somesha binti yakoo acha mbambamba. Muandae aje kuwa mwanamke wa shoka. Na asipoolewa utakua umefuga nini? Au ulimzaa ili aje aoelewe. Ndo nyie tunaowatafuta.
Nani katelekezwa ?! Wapi katelekezwa ?! Mafeminist ni watu wajinga sana wanaosimamisha hoja zao za kijinga juu ya simulizi ya kutunga.Sasa kwanini huwa mnawatelekeza? Mnahamia kwa wanawake wengine na kuwaacha wanawake ambao mliwaambia msiende kufanya kazi wanabaki peke yao na watoto. Wanaanza kuomba omba mitaani. Ndo maana nakwambia huna exposure na vitu vingi. Kumbe mnapenda wanawake wasifanye kazi ili muwatese vizuri? We jamaa una changamoto juu I’m telling you.
Nachoshauri ankoooo Somesha mtoto wa kike aje kufanya kazi asije kutegemea mwanaume.