pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Nimeku note.Nambie my wangu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeku note.Nambie my wangu....
Mkuu nimesoma hiyo ID yako halafu nikatafsiri kwa kiluo....nimeishia kucheka tu. Ha ha ha ha. Uliwaza nini kujiita hivyo?
Njoo unile na mimi kama unaona wenzako wanafaidi.ulaku huo,
Huko ni ku disturb nature. Mi nipo natural kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23]Wacha weeee
Cc Infantry Soldier
Kumbe hiyo ndio sababu, sa si bora mngefanya kama wamasai, inakatwa afu inabaki inaning'inia yani kama kimeegeshwa pembeni, siku ya kiama ukiulizwa unasema hiki hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23] mi ni og kabisa toleo la Kwanza.Huyo jamaa ni mjaluo "B"
Kwa miaka ya Sasa watu wamepoteza ule uhalisia wao kutokana na muingiliano wa makabila. So tabia za kabila hazina nguvu kivile.Zamani kabla ya watu kuingia kwenye mahusiano walikuwa wanaulizana makabila nilikuwa nashangaa sana, nilikuja kujua umuhimu wake baada ya kujua mila za wajaluo kwenye ndoa na misiba.....ni hatari acheni waoane wao kwa wao hawa wazungu weusi
Hahahahaaaa sawa mzee baba[emoji23][emoji23][emoji23] mi ni og kabisa toleo la Kwanza.
Doh nna maswali mengi, ila ngoja tu ninyamaze....Huko ni ku disturb nature. Mi nipo natural kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unaandika kama vile msambaa?Zamani kabla ya watu kuingia kwenye mahusiano walikuwa wanaulizana makabila nilikuwa nashangaa sana, nilikuja kujua umuhimu wake baada ya kujua mila za wajaluo kwenye ndoa na misiba.....ni hatari acheni waoane wao kwa wao hawa wazungu weusi
PM yangu ipo wazi karibu kama unaona aibu kuuliza kwenye hadhara.Doh nna maswali mengi, ila ngoja tu ninyamaze....
Sioni aibu hata, kwahiyo sasa my wangu...swala la kulamba koni lipo pale pale si ndio?!PM yangu ipo wazi karibu kama unaona aibu kuuliza kwenye hadhara.
Hahahaaa! Nilihisi tu ndio swali litakalofuatia.Sioni aibu hata, kwahiyo sasa my wangu...swala la kulamba koni lipo pale pale si ndio?!
Halafu nadhani joto litakua linakaribia lile la mji wa Khartoum make si imefunikwa?! Sie eti eeeh....Hahahaaa! Nilihisi tu ndio swali litakalofuatia.
Mimi Mkerewe ila dada yangu ameolewa Shirati.Hahahaaa! Nilihisi tu ndio swali litakalofuatia.
Safi sana. Usiwe mbishi shemeji yako akitaka kuongeza mke sasa, si unaona heading ya thread inavyosema?Mimi Mkerewe ila dada yangu ameolewa Shirati.
Rafiki, siku moja binti yako akija kukwambia amepata mchumba mjaluo utafanya nini?Halafu nadhani joto litakua linakaribia lile la mji wa Khartoum make si imefunikwa?! Sie eti eeeh....