Uchaguzi 2020 Sisi Watanzania tunakushukuru sana Tundu Lissu kwa kampeni zako za kiwango cha juu, Tunakutakia kila la heri, Mungu aendelee kukulinda

Uchaguzi 2020 Sisi Watanzania tunakushukuru sana Tundu Lissu kwa kampeni zako za kiwango cha juu, Tunakutakia kila la heri, Mungu aendelee kukulinda

TL kawafunua. Magufuli na watu wake wako uchi kabisa. Ukandamizaji wao wa haki za raia umeonekana kwa dunia. Matamko yametoka sehemu mbalimbali ikiwemo UN ya kulaani udhalimu wao.

Wizi wa kura uliokamatwa na teknolojia utadumu miaka mingi hata baada ya Magufuli na CCM kufa. Matumizi ya nguvu na ukandamizaji wa polisi, NEC, Msajili, TCRA, Mamlaka ya Anga, TISS, JW... yote yemewekwa wazi.

Magufuli na MaCCM walijua kabisa kuwa bila wizi wasingeshinda. Kwa uroho wao wa madaraka wakaona bora fedheha kuliko hasara. Yakachapisha mamilioni ya kura feki na kuziingiza katika vituo vya kupiga kura chini ya mtutu wa bunduki. Kama kwamba hiyo haitoshi, sasa wanatafuta maisha ya TL. Halafu kuwa wajinga hapa wanashangilia. Ni wafuasi wa shetani tu ndio wanaweza kushangilia hili.
Tundu Lissu ni kiboko. Kwa muda mfupi miezi 4 aliyokaa nchini ametusaidia sana wa Tanzania katika mambo mengi. This time CHADEMA walikuwa na mgombea rais bora kabisa ambaye alimpelekesha Jiwe hadi akakonda na kupoteza matumaini. System yote ilichanganyikiwa hadi kufikia kufanya mambo ya aibu kabisa ambao yamemchafua jiwe na utawala wake.

Uchaguzi huu umekuwa uchaguzi muhimu sana na umejenga foundation ya kudai mabadiliko ya msingi ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Wa Tanzania tumeona na dunia imeona. Hatuta fanya uchaguzi tena katika mazingira kama haya. Huu ndo mwisho.

Kwa sasa ni muhimu sana Lissu aondoke nchini ili kupata uwanja salama na huru wa kupaza sauti na kuleta mabadiliko.

Wote wanao mkejeli Lissu siku moja watampigia makofi. Mark my word.
 
Nikiwa mmoja wa maripota wa Kampeni za Tundu Lissu humu JF na kwingineko kuanzia mwanzo hadi mwisho , na kwa kadri ya umri nilionao na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania na za kimataifa , Tundu Lissu amefanya kampeni za kiwango cha juu mno , huyu mtu hakuwa tu mgombea wa Urais bali alikuwa Mwalimu wa siasa na haki za Raia .

Elimu kali ya Uraia aliyoitoa kuanzia Zanzibar hadi Tanganyika haijawahi kutolewa na yeyote kuanzia wakoloni wala waliopo leo , amefichua mambo mazito mno yaliyofichwa kwa miaka mingi sana , kwa ujumla ni kwamba kwenye uchaguzi wa mwaka huu wananchi wa Tanzania wamepata faida kubwa mno na nina hakika sasa wananchi wengi sana wameelewa kinaga Ubagha namna nchi yao ilivyojaa makando kando ya aibu yanayolidhalilisha Taifa .

Kwa niaba ya Wananchi wa Tanzania wa ndani na nje ya nchi , natoa shukrani za dhati kwa Tundu Lissu kwa wema wake aliotutendea kwa kuamua kutushirikisha kwenye kila uozo uliofichwa kwa miaka kwenye nchi hii , SPANA zilizopigwa hakuna yeyote katika wanaccm walio hai mwenye uwezo wa kujibu , kwa kifupi ni kama wanaccm wote wamevunjwa viuno .

Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda Lissu kwa ajili ya Uhai wa Nchi yetu
Nyinyi waTZ wangapi, sema milioni na laki tisa, maana waTZ milioni 12 na laki 5 tulimchagua Magufuli. Usituchanganye na wabeligiji.
 
Nyinyi waTZ wangapi, sema milioni na laki tisa, maana waTZ milioni 12 na laki 5 tulimchagua Magufuli. Usituchanganye na wabeligiji
Ukipewa matokeo halisi ya uchaguzi huu utazimia mdomo wazi !
 
Nikiwa mmoja wa maripota wa Kampeni za Tundu Lissu humu JF na kwingineko kuanzia mwanzo hadi mwisho , na kwa kadri ya umri nilionao na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania na za kimataifa , Tundu Lissu amefanya kampeni za kiwango cha juu mno , huyu mtu hakuwa tu mgombea wa Urais bali alikuwa Mwalimu wa siasa na haki za Raia .

Elimu kali ya Uraia aliyoitoa kuanzia Zanzibar hadi Tanganyika haijawahi kutolewa na yeyote kuanzia wakoloni wala waliopo leo , amefichua mambo mazito mno yaliyofichwa kwa miaka mingi sana , kwa ujumla ni kwamba kwenye uchaguzi wa mwaka huu wananchi wa Tanzania wamepata faida kubwa mno na nina hakika sasa wananchi wengi sana wameelewa kinaga Ubagha namna nchi yao ilivyojaa makando kando ya aibu yanayolidhalilisha Taifa .

Kwa niaba ya Wananchi wa Tanzania wa ndani na nje ya nchi , natoa shukrani za dhati kwa Tundu Lissu kwa wema wake aliotutendea kwa kuamua kutushirikisha kwenye kila uozo uliofichwa kwa miaka kwenye nchi hii , SPANA zilizopigwa hakuna yeyote katika wanaccm walio hai mwenye uwezo wa kujibu , kwa kifupi ni kama wanaccm wote wamevunjwa viuno .

Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda Lissu kwa ajili ya Uhai wa Nchi yetu
Wamekimbia kila mtu njia yake! watanzania wamefanya jambo lao
 
My Presedent Tundu A Lissu wewe ni Mandela wa Tanzania anayekubeza ni sawa na wale vibaraka weusi wa kipindi kile Cha ukombozi wa Sa. Sisi wapenda Haki tupo nyuma yako popote utakapo kuwa maana upo kwa wapenda Haki wa Tanzania tunakuombea usichoke kutupigania sisi tusio na sauti. Mungu mbariki Tl na Taifa langu.
 
Amina🙏🙏

Hakika Tundu Lissu ataendelea kuishi kwenye mioyo ya watz wote hadi umauti utakapomfika....

Tundu Lissu akili nyingi.... Hafai kwenye taifa la kidikteta hasa awamu hii....AWAMU HII ITAPITA

Mungu amjalie afya njema ili apate Urais na kutupeleka nchi ya ndoto yake yenye UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Akili nyingi ziliwaponza Wayahudi kwa dikteta Hitler. Akili nyingi zinamponza TAL kwa dikteta uchwara. Akili nyingi na madikteta hawachangamani! Madikteta huiva na wale wanaotolewa majalalani!
 
Karibu mno! nahisi wewe ni miongoni wa majeruhi wa zoezi la vyeti feki.
Sasa huu ndio mwanzo tu wa lile balaa vaa viatu funga mkanda.
Hivi kuna tajiri aliguswa na ujinga wa vyeti feki ?
 
Nikiwa mmoja wa maripota wa Kampeni za Tundu Lissu humu JF na kwingineko kuanzia mwanzo hadi mwisho, na kwa kadri ya umri nilionao na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania na za kimataifa, Tundu Lissu amefanya kampeni za kiwango cha juu mno, huyu mtu hakuwa tu mgombea wa Urais bali alikuwa Mwalimu wa siasa na haki za Raia.

Elimu kali ya Uraia aliyoitoa kuanzia Zanzibar hadi Tanganyika haijawahi kutolewa na yeyote kuanzia wakoloni wala waliopo leo, amefichua mambo mazito mno yaliyofichwa kwa miaka mingi sana, kwa ujumla ni kwamba kwenye uchaguzi wa mwaka huu wananchi wa Tanzania wamepata faida kubwa mno na nina hakika sasa wananchi wengi sana wameelewa kinaga Ubagha namna nchi yao ilivyojaa makando kando ya aibu yanayolidhalilisha Taifa.

Kwa niaba ya Wananchi wa Tanzania wa ndani na nje ya nchi, natoa shukrani za dhati kwa Tundu Lissu kwa wema wake aliotutendea kwa kuamua kutushirikisha kwenye kila uozo uliofichwa kwa miaka kwenye nchi hii, SPANA zilizopigwa hakuna yeyote katika wanaccm walio hai mwenye uwezo wa kujibu , kwa kifupi ni kama wanaccm wote wamevunjwa viuno.

Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda Lissu kwa ajili ya Uhai wa Nchi yetu
Hiyo ndio "KO" inayotafsiriwa kwa "Ahsante kwa kuja" iliyobakia "Kawambie waliokutuma" Watanzania hawadanganyiki
 
Unafikiri waliokuwa wanafikiri Lissu anaweza kuwa Rais wa Tanzania wana akili timamu? Ahahahahahahahahah!
Kwamba mnao support jiwe mna akili timamu? uzuri sio mbali mtamkumbuka Lisu. kwa ufupi, hakuna nyongeza ya mshahara, hakuna bima ya afya, hakuna ajira mpya, bei ya bidhaa kupanda nk
 
Moto wa Lissu ulisababisha mtu kukauka vipaja ikabidi apepewe na Mafeni.
Lissu kawavuruga MaCCM mpaka leo hawapo sawa.

Mungu amlinde Lissu.
 
Back
Top Bottom