Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Pole sana komaa dunia Haina huruma kwa watu wanyonge, kaza zungusha akili fikiria cha kufanyaMkuu, nipo mwaka wa tatu, nalipiwa ada asilimia 17 na bodi, nyingine naongeza mm kutoka kwenye boom, Sina mpenzi mana najua hali ya nyumbani kwa Kwel maisha ya hapa Duce yamekuwa mwiba kwangu
Kumbe hupogo jamvinQmmk😁😁😁
Noma mzee unakopa nauli ya kurudisha jeshi hm.Third year huwa pagumu sana!
Unaweza kosa nauli ya kuendea home,hasta semester ya mwisho Ile miezi miwili baada ya kuchukua boom la mwisho!
asikae idle sasa ajishugulishe kama anandugu aombe msaada huku na yeye anawaza cha kufanya maisha ya chuo ni challenge kama huna pesa najua. Kingine ni bora kiwa muwazi kwa ndugu na jamaa,, ukute anajikaza kisa yeye mwanaume, atapata stress mwishowe adiscoThird year huwa pagumu sana!
Unaweza kosa nauli ya kuendea home,hasta semester ya mwisho Ile miezi miwili baada ya kuchukua boom la mwisho!
Shukuru Mungu angalau wewe unakula mlo mmoja kwa siku. Wengine wana kula mlo mmoja kila baada ya siku tatu.
Ulipangiwa utaishi hivyo unavyoishi Pindi tu tangu ulipozaliwa.
Nipo mdogo angu john stefano nachungulia chungulia kama hiviKumbe hupogo jamvin
Ha ha mkuuShukuru Mungu angalau wewe unakula mlo mmoja kwa siku. Wengine wana kula mlo mmoja kila baada ya siku tatu.
Ulipangiwa utaishi hivyo unavyoishi Pindi tu tangu ulipozaliwa.
Unaandika kama unakunya .......Tanzania ni nchi ya asali na maziwa na watu kutoka mataifa mengi duniani wanakimbilia kuja kuzitumia fursa zilizopo ambazo sisi hatuzioni.....mashamba yamejaa kibao,mazao mblmbl yanaoza sehemu mblmbl halafu mnakuja kulia kwenye mtandao
Ushauri mzuri, mimi nakumbuka miaka ya 2007-2010, nabakiza elfu 3 mfukoni! Sikuwa na kawaida ya kushirikisha ndugu, nilikuwa na rafiki yangu tulisoma naye sehemu, nilikuwa namwambia tu bro hapa mfukoni nina elfu 3, boom bado, atakwambia tu saa ngapi uende ucheki kwenye account unakuta elfu 50! Boom likitoka tu jambo la kwanza ni ku- refund. Mungu ampe maisha marefu huyo jamaa yangu.asikae idle sasa ajishugulishe kama anandugu aombe msaada huku na yeye anawaza cha kufanya maisha ya chuo ni challenge kama huna pesa najua. Kingine ni bora kiwa muwazi kwa ndugu na jamaa,, ukute anajikaza kisa yeye mwanaume, atapata stress mwishowe adisco
Alipangiwa na mungu au?Shukuru Mungu angalau wewe unakula mlo mmoja kwa siku. Wengine wana kula mlo mmoja kila baada ya siku tatu.
Ulipangiwa utaishi hivyo unavyoishi Pindi tu tangu ulipozaliwa.