Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Acha kumpotosha mwenzako wewe. Iko hivi :
Ukiona wewe unatenda dhambi na hupati misuko suko na mwwnzako akitenda dhambi hiyo hiyo anapata misukosuko, basi fahamu kwamba Mungu kamchagua yeye na wewe kakuacha.
Imeandikwa kuwa wale watu ambao MUNGU anawapenda basi huwaadhibu pale wanapokosea kama vile baba avyowaadhibu watoto wake wakikosea. Soma MITHALI 3:11-12
 
Kama kweli unasali na kumtii MUNGU basi endelea kumwamini MUNGU, mkabidhi njia zako zote na yeye atakuongoza.
Ukimtumaini MUNGU atakuunganisha na Mume anayekufaa na siyo Mume unayemtaka wewe.
Kama huyo jamaa ni chaguo la MUNGU kwa ajili yako basi Yeye MUNGU atakufungulia njia na jamaa atakuoa. Wala huna haja ya kuhangaika kumshawishi akuoe, wewe tulia, mwamini MUNGU.
Lakini kumbuka, imani pasipo matendo ni bure. Imani yako kwa MUNGU ni lazima iambatane na "utiifu" na "sala".
 
Ndo akae single mpaka pale atakapopata wake ambae atakubali kuvumilia mpaka watakapofungua ndoa, au adate na mtu wa kanisani kwake ili iwe rahisi maana ni imani moja wataelewana
Yaani kidume nisipime quality ya papuchi niuziwe mbuzi kwenye gunia?..Hivi vitu kwa dunia ya sasa ni rarely possible.
 
Kuruka kiunzi cha uzinzi kwenye hii dunia ya sasa ni sawa na mtu kuponyoka adhabu ya kifo kwenye guillotine... Wale wote ambao wana Misheni ya kuacha uzinzi Mungu awatie nguvu sana kwa kweli.

MÊmENtO HoMO
 
Asante Mama mchungaji.
 
Sasa si umwambie tu hutaki kudinywa steaight forward...

Kitendo cha kuweka uzi ni kama una mashaka na uamuzi uliokwisha ufanya moyoni, wataka kuipa nafasi akili nayo iamue...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni anti-kuuziwa mbuzi kwenye gunia..ila nimeelewa ushauri ulioutoa kwa huyu mwenzako.
Mbuzi kwenye gunia ni kitu gani?
Hayo ni madhara ya kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa.

Mwanaume/mwanamke akijitunza hadi ndoa ,hayo ya gunia mbuzi wala hatayajua.

Shida watu wamekubuhu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…