Mbona huna msimamo? Mara haendi kuapishwa mara hata akiapishwa atajiuzulu.ccm uanachama wake sio shuruti anaweza akajivua uanachama kisha ndio akakataa au akagomea uapisho. Anaishi kwa kujiandaa na mbingu kuliko ufalme wa dunia. Mark my words, hata akiapa atajiuzulu kabla ya kwenda Malawi amini hilo polepole haendi Malawi. Wamemfanyia kebehi ya makusudi na yeye anajua na hakubali huo ujinga wao.
Ni uhuni they have played tricks hii ni mtoeni mkomoeniAmepangiwa malawi wakati huko huko kuna balozi mwingine ina maana atakaa benchi akisubiri
Utiii wa jamhuri ni tofauti na utii wa mamlaka ya uteuzi. Jamhuri ni abstract concept it's our horizon for everything. Wale bibi na bwana waone vile tu.Mbona huna msimamo? Mara haendi kuapishwa mara hata akiapishwa atajiuzulu.
Sasa kama ana msimamo thabiti kwanini asikatae moja kwa moja kuapishwa ili imani yake kwa wanaomuunga mkono iongezeke mara dufu?
Mkuu yeye alikuwa anatembelea V80 wengine wote walikuwa wanatembelea V8aliyoyafanya enzi zile za V8
Tuna hasira tunatamani hata vita itokee halafu tuone mshindi nani.Ila wafuasi wa jiwe mnaongoza kwa roho mbaya sana.
Mna ubinafsi mwingi, ukabila na ujiwe kwa sana.
Halafu hamueleweki mnataka nini haswa
Hiki ulichokiandika kinahusiana vipi na nilichokiandika?Utiii wa jamhuri ni tofauti na utii wa mamlaka ya uteuzi. Jamhuri ni abstract concept it's our horizon for everything. Wale bibi na bwana waone vile tu.
Ukusudi katika jibu a twisted response. TafakariHiki ulichokiandika kinahusiana vipi na nilichokiandika?
Soma tena uone nimeandika ama kuuliza nini.
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Haha tuone mkate mgumu mbele ya chai
Huyo unaetumia nguvu nyingi sana kumwita mara baharia hakuna kitu pale ataenda na atachanjwa ndio ainge huko MalawiTusubiri uapisho time tuone, baharia hayumbi alishaona haya kitambo na alishaamua msimamo mapema.
Nakazia AmenMm furaha yangu ni Mungu kutuondolea Magufuli
Naamini watu wanafahamishwa kabla na wakikubali ndipo uteuzi hutangazwa.
Huyu kima ana jua kitu basii... mwache ajiharishie akimaliza ata tawaza hiv Mh: Raisi ana weza kukurupuka tu? Naamini katika process ile ni taasisi [emoji1787][emoji111]Naamini watu wanafahamishwa kabla na wakikubali ndipo uteuzi hutangazwa.
So nani anatakiwa kuwa balozi wa Malawi?Uteuzi huu ni kebehi na dharau zenye hila fulani ambazo zitaenda kufuatana
Kuna mvundo mmbaya sana kwenye hili. Hata uvunjajibwa katiba.Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Wampeleke GSMSo nani anatakiwa kuwa balozi wa Malawi?
Keshayumba, chimbo kinakwenda mrama.Tusubiri uapisho time tuone, baharia hayumbi alishaona haya kitambo na alishaamua msimamo mapema.