Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Ramada mbali nauli ya kariakoo tu utume 😹
Tena nyie wa kutumiwa nauli ndio wakugegeda nankutupa kule.Ramada mbali nauli ya kariakoo tu utume 😹
Kiufupi andika hivi . Mwanaume mvivu usiogope kulelewa na li shangazi ulifulie nguo nkSITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia 90% anakupenda.
Hii ni tofauti na hawa ambao ni tegemezi.
Usiuamini upendo wa mtu tegemezi, na aliyemaskini.
Vijana wengi wanafanya makosa makubwa kujitoa kwa wanawake tegemezi. Ni kosa kubwa kufanya hivyo.
Mwanamke anayeweza kujilisha, kujivalisha, kujitunza huyo akitafuta mwanaume hutafuta mwanaume kwelikweli kwaajili ya kuwa Mke na huyo mwanaume kuwa Mume.
Hakunaga Unafiki hapo.
Lakini hawa tegemezi, njaanjaa, wanaofikiri kuwa mwanamke ni kilema, au Tiketi ya kuwa ombaomba hao usiwaweke kwenye hesabu. Watakuumiza. Wengi wao ni wanafiki.
Wengi wao mahusiano ni ajira Rasmi.
Wengi wao huwachukulia wanaume kama Misukule yako.
Usitegemee pesa za Mwanamke. Lakini hiyo haimaanishi huyo mwanamke asiwe na pesa yaani asiwe anafanya Kazi.
Mhudumie Mkeo au mwanamke lakini naye anapaswa kujihudumia kwa sehemu. Sio umhudumie kwa kila kitu.
Utakuja kupigwa vibaya wewe.
Usitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.
Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.
Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.
Ni kosa utoe Moyo wako wote kisha utoe na pesa. Hiyo tunasema kugeuzwa mtumwa na msukule WA Mwanamke.
Haya nimemaliza.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Achana nao kabisa wanawake wa namna hiyo. They are uselessKwenye maisha yangu siwezi kusogelea mwanamke wa hivyo.
Hao ni broke ambao hawajajipata afu wanaingilia majukumu ya papaa mobimbazzz, unamsomeshaje mtu ilhali mwenyewe unaunga unga? Lazma chozi na kam*si vikutiririkeAiseeh!
Wewe kamwe mapenzi hayawezi kukuliza.
Wanaoliliaga mapenzi wengi wao wao ndio walikuwa kila kitu kwa huyo mwanamke.
Amemsomesha,
Amemlipia Sijui rents,
Amemnunulia kiwanja😂😂
Kamwaga tofauli,
Kanunua gari,
Hakuna guarantee hiyo, hao hao wanaojiweza nao ni vichomi. Tofautisha mtu kuteswa na mapenzi vs kuteswa na mahitajiSITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia 90% anakupenda.
Hii ni tofauti na hawa ambao ni tegemezi.
Usiuamini upendo wa mtu tegemezi, na aliyemaskini.
Vijana wengi wanafanya makosa makubwa kujitoa kwa wanawake tegemezi. Ni kosa kubwa kufanya hivyo.
Mwanamke anayeweza kujilisha, kujivalisha, kujitunza huyo akitafuta mwanaume hutafuta mwanaume kwelikweli kwaajili ya kuwa Mke na huyo mwanaume kuwa Mume.
Hakunaga Unafiki hapo.
Lakini hawa tegemezi, njaanjaa, wanaofikiri kuwa mwanamke ni kilema, au Tiketi ya kuwa ombaomba hao usiwaweke kwenye hesabu. Watakuumiza. Wengi wao ni wanafiki.
Wengi wao mahusiano ni ajira Rasmi.
Wengi wao huwachukulia wanaume kama Misukule yako.
Usitegemee pesa za Mwanamke. Lakini hiyo haimaanishi huyo mwanamke asiwe na pesa yaani asiwe anafanya Kazi.
Mhudumie Mkeo au mwanamke lakini naye anapaswa kujihudumia kwa sehemu. Sio umhudumie kwa kila kitu.
Utakuja kupigwa vibaya wewe.
Usitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.
Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.
Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.
Ni kosa utoe Moyo wako wote kisha utoe na pesa. Hiyo tunasema kugeuzwa mtumwa na msukule WA Mwanamke.
Haya nimemaliza.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
🤣🤣🤣🤣 bro ukijipata mapenzi yanakuwa hayana maana kabisa!Basi inabidi ujikite sana kwenye mapenzi bro, make raha ya mapenzi uwe broke.....ulishwe, uvishwe, upewe vocha hii ndio inakua raha
Ni sisi ndio tupooooo, sisi ndio tupoooKwenye maisha yangu siwezi kusogelea mwanamke wa hivyo.
Wakae kundi sawa na sisi tegemezi tu 😂😂Unataka wafanyaje?😂😂
Mifumo imewalea hivyo
Hao ni broke ambao hawajajipata afu wanaingilia majukumu ya papaa mobimbazzz, unamsomeshaje mtu ilhali mwenyewe unaunga unga? Lazma chozi na kam*si vikutiririke
Sa kugegedwa ni adhabu kweli jamani?!! Basi mtuongezee hiyo adhabu 😋Tena nyie wa kutumiwa nauli ndio wakugegeda nankutupa kule.
Cant have anything productive with such a woman
Hiyo sio dhati ni that 😹Wanamapenzi ya dhati ati.
Ni sisi ndio tupooooo, sisi ndio tupooo
Hiyo sio dhati ni that 😹
Huo upuuzi siwezi fanya. Nawekeza kwa mwanamke ambaye naona kabisa she can manage on her own.Aiseeh!
Wewe kamwe mapenzi hayawezi kukuliza.
Wanaoliliaga mapenzi wengi wao wao ndio walikuwa kila kitu kwa huyo mwanamke.
Amemsomesha,
Amemlipia Sijui rents,
Amemnunulia kiwanja😂😂
Kamwaga tofauli,
Kanunua gari,
Imagine jamani, unaperuzi meseji za miamala kutoka kwa wafanya biashara wenzio afu kuna kimeseji kimejichomeka katikati cha "baby umekula" haaaa mapenzi hapana ni kwa ajili ya masikini sisi matajiri hapana jamani 😹🤣🤣🤣🤣 bro ukijipata mapenzi yanakuwa hayana maana kabisa!
Huyo sio mwanaume. Mwanaume ata uwe fukara vipi usikubali kusomeshwa na mwanamke. Huko ni kutojitambua kama mwanaumeRaha ya mapenzi ni mwanaume kumuhudumia mwanamke hata kama niko na pesa.....
Mme wangu alitoka poor family na nilikutana naye akiwa hana kazi, driving nilimlipia mimi na ada ya tour guide tulimlipia sisi (kwetu) na kupelekwa Uganda na Younde ili akiishi Kingereza na Kifaransa tulimpeleka kwetu,
ILA KWA SASA HAMNA RANGI HAACHI KUISOMA hela yangu yangu na yake ni yetu
Hatutaki mambo mengi, tunakuomba pesa ya kulipia mzigo bandarini 😹Hao ndio wanagharama kuliko hata mama wa nyumbani.