Sitawafundisha tena; Ukitaka mapenzi yasikusumbue tafuta mwanamke anayemiliki pesa yake mwenyewe(anayeweza kujilisha na kujitunza)

Sitawafundisha tena; Ukitaka mapenzi yasikusumbue tafuta mwanamke anayemiliki pesa yake mwenyewe(anayeweza kujilisha na kujitunza)

SITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia 90% anakupenda.

Hii ni tofauti na hawa ambao ni tegemezi.

Usiuamini upendo wa mtu tegemezi, na aliyemaskini.

Vijana wengi wanafanya makosa makubwa kujitoa kwa wanawake tegemezi. Ni kosa kubwa kufanya hivyo.

Mwanamke anayeweza kujilisha, kujivalisha, kujitunza huyo akitafuta mwanaume hutafuta mwanaume kwelikweli kwaajili ya kuwa Mke na huyo mwanaume kuwa Mume.
Hakunaga Unafiki hapo.

Lakini hawa tegemezi, njaanjaa, wanaofikiri kuwa mwanamke ni kilema, au Tiketi ya kuwa ombaomba hao usiwaweke kwenye hesabu. Watakuumiza. Wengi wao ni wanafiki.
Wengi wao mahusiano ni ajira Rasmi.
Wengi wao huwachukulia wanaume kama Misukule yako.

Usitegemee pesa za Mwanamke. Lakini hiyo haimaanishi huyo mwanamke asiwe na pesa yaani asiwe anafanya Kazi.

Mhudumie Mkeo au mwanamke lakini naye anapaswa kujihudumia kwa sehemu. Sio umhudumie kwa kila kitu.
Utakuja kupigwa vibaya wewe.

Usitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.

Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.

Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.

Ni kosa utoe Moyo wako wote kisha utoe na pesa. Hiyo tunasema kugeuzwa mtumwa na msukule WA Mwanamke.

Haya nimemaliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kiufupi andika hivi . Mwanaume mvivu usiogope kulelewa na li shangazi ulifulie nguo nk
 
Aiseeh!
Wewe kamwe mapenzi hayawezi kukuliza.

Wanaoliliaga mapenzi wengi wao wao ndio walikuwa kila kitu kwa huyo mwanamke.
Amemsomesha,
Amemlipia Sijui rents,
Amemnunulia kiwanja😂😂
Kamwaga tofauli,
Kanunua gari,
Hao ni broke ambao hawajajipata afu wanaingilia majukumu ya papaa mobimbazzz, unamsomeshaje mtu ilhali mwenyewe unaunga unga? Lazma chozi na kam*si vikutiririke
 
SITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia 90% anakupenda.

Hii ni tofauti na hawa ambao ni tegemezi.

Usiuamini upendo wa mtu tegemezi, na aliyemaskini.

Vijana wengi wanafanya makosa makubwa kujitoa kwa wanawake tegemezi. Ni kosa kubwa kufanya hivyo.

Mwanamke anayeweza kujilisha, kujivalisha, kujitunza huyo akitafuta mwanaume hutafuta mwanaume kwelikweli kwaajili ya kuwa Mke na huyo mwanaume kuwa Mume.
Hakunaga Unafiki hapo.

Lakini hawa tegemezi, njaanjaa, wanaofikiri kuwa mwanamke ni kilema, au Tiketi ya kuwa ombaomba hao usiwaweke kwenye hesabu. Watakuumiza. Wengi wao ni wanafiki.
Wengi wao mahusiano ni ajira Rasmi.
Wengi wao huwachukulia wanaume kama Misukule yako.

Usitegemee pesa za Mwanamke. Lakini hiyo haimaanishi huyo mwanamke asiwe na pesa yaani asiwe anafanya Kazi.

Mhudumie Mkeo au mwanamke lakini naye anapaswa kujihudumia kwa sehemu. Sio umhudumie kwa kila kitu.
Utakuja kupigwa vibaya wewe.

Usitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.

Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.

Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.

Ni kosa utoe Moyo wako wote kisha utoe na pesa. Hiyo tunasema kugeuzwa mtumwa na msukule WA Mwanamke.

Haya nimemaliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hakuna guarantee hiyo, hao hao wanaojiweza nao ni vichomi. Tofautisha mtu kuteswa na mapenzi vs kuteswa na mahitaji
 
Basi inabidi ujikite sana kwenye mapenzi bro, make raha ya mapenzi uwe broke.....ulishwe, uvishwe, upewe vocha hii ndio inakua raha
🤣🤣🤣🤣 bro ukijipata mapenzi yanakuwa hayana maana kabisa!
 
Tena nyie wa kutumiwa nauli ndio wakugegeda nankutupa kule.
Cant have anything productive with such a woman
Sa kugegedwa ni adhabu kweli jamani?!! Basi mtuongezee hiyo adhabu 😋
 
Raha ya mapenzi ni mwanaume kumuhudumia mwanamke hata kama niko na pesa.....

Mme wangu alitoka poor family na nilikutana naye akiwa hana kazi, driving nilimlipia mimi na ada ya tour guide tulimlipia sisi (kwetu) na kupelekwa Uganda na Younde ili akiishi Kingereza na Kifaransa tulimpeleka kwetu,
ILA KWA SASA HAMNA RANGI HAACHI KUISOMA hela yangu yangu na yake ni yetu
 
Aiseeh!
Wewe kamwe mapenzi hayawezi kukuliza.

Wanaoliliaga mapenzi wengi wao wao ndio walikuwa kila kitu kwa huyo mwanamke.
Amemsomesha,
Amemlipia Sijui rents,
Amemnunulia kiwanja😂😂
Kamwaga tofauli,
Kanunua gari,
Huo upuuzi siwezi fanya. Nawekeza kwa mwanamke ambaye naona kabisa she can manage on her own.

Unamkuta mwanamke tayari ana kiwanja ana kinist chake...wikend kwenda outing kuogelea pale serena sio ishu. Sasa huyo ndio unasema nitaweka ndani alafu naanza kuhudumia. Na sio kwamba nataka wa namna hiyo eti kwamba nimikeama atanisaidia. Hapana, i am a man of value so i want a woman with value.
Wanawake wote tunajua they wont stay when u r broken. So mie najua kabisa hela ikiisha na mwanamke ataepa. Am ok with that.
Ila na mie ajue kabisa kwa hela zangu hizi micheps kila mkoa na nchi nitakuwa nayo
 
🤣🤣🤣🤣 bro ukijipata mapenzi yanakuwa hayana maana kabisa!
Imagine jamani, unaperuzi meseji za miamala kutoka kwa wafanya biashara wenzio afu kuna kimeseji kimejichomeka katikati cha "baby umekula" haaaa mapenzi hapana ni kwa ajili ya masikini sisi matajiri hapana jamani 😹

mzabzab na Robert Heriel Mtibeli endeleeni tu na masikini wenzenu 😹
 
Raha ya mapenzi ni mwanaume kumuhudumia mwanamke hata kama niko na pesa.....

Mme wangu alitoka poor family na nilikutana naye akiwa hana kazi, driving nilimlipia mimi na ada ya tour guide tulimlipia sisi (kwetu) na kupelekwa Uganda na Younde ili akiishi Kingereza na Kifaransa tulimpeleka kwetu,
ILA KWA SASA HAMNA RANGI HAACHI KUISOMA hela yangu yangu na yake ni yetu
Huyo sio mwanaume. Mwanaume ata uwe fukara vipi usikubali kusomeshwa na mwanamke. Huko ni kutojitambua kama mwanaume
 
Back
Top Bottom