Sitawafundisha tena; Ukitaka mapenzi yasikusumbue tafuta mwanamke anayemiliki pesa yake mwenyewe(anayeweza kujilisha na kujitunza)


Kwani mliunganishwa nafsi zenu?

Anashindwa nini kukuacha? Huyo naye ni bwege.

Nakubaliana na wewe kuwa mwanaume anatakiwa kuhudumia familia yake lakini unaposema pesa ya Mke ni ya Mke(yakwako ni yako) ndipo inadhihirika jamaa yako hakupata MKE.
Na kwa hakika anahasara KUBWA.

Kataa ndoa wanapata nguvu wakikutana na maoni ya wanawake kama ninyi au wanaume wenye mawazo ya kibinafsi kama yako.
Huo ndio utapeli wenyewe
 
Maisha ni very very simple. Kila kitu nenda kulingana na uwezo wako. Kama wee unajua uwezo wako kuhonga ni buku 20 nenda na wanawake wa namna hiyo.

Kama wee unataka wanaume wakukupa range wapo watafute utawapata. Maisha ni very simple
 
Maisha ni very very simple. Kila kitu nenda kulingana na uwezo wako. Kama wee unajua uwezo wako kuhonga ni buku 20 nenda na wanawake wa namna hiyo.

Kama wee unataka wanaume wakukupa range wapo watafute utawapata. Maisha ni very simple
Kumbe mnajua, sasa tutakomaa na nyie masikini wenzetu....watuma nauli
 
Kumbe mnajua, sasa tutakomaa na nyie masikini wenzetu....watuma nauli
Haya leta namba nikutumie nauli uje tugegeduane long wilend hii.
Tafuta na lishangazi jingine tugonge 3sum matata ya kufunga mwaka
 

Baby umekunywa maji Leo?
Nimekutumia clip ya Janabi kafafanua vizuri faida za maji mwilini
 
Broke women
Desperate women
Single mother


Hawa wanawafaa watu ambao hawana cha kupoteza mfano wagane , divorced men and oldest men .
Upo sahihi na wanawapiga matukio balaa maana wanaishi maisha ya kuviziana!
 
Hakuna guarantee hiyo, hao hao wanaojiweza nao ni vichomi. Tofautisha mtu kuteswa na mapenzi vs kuteswa na mahitaji

Sasa kichomi ambaye hajakutia hasara na Yule aliyekutia hasara ya Moto na pesa zako nani amekupasua vilivyo?

Unapoambiwa uishi na mwanamke kwa akili, Moja ya mbinu ni kutumia saikolojia na mbinu Zao kuishi nao.

Unafikiri kwa nini wanawake wapo radhi wateswe na mwanaume mwenye pesa kuliko Maskini?

Jibu ni kwa sababu, Mwanaume Maskini atamtesa kimwili, Kihisia na kiroho
Wakati mwanaume mwenye pesa atamuumiza Kihisia tuu ila pesa zake atafaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…