Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

aibu
 
Haya sawa

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu inawezekana huyu manzi alivoomba hela ya mazaga aliegemea unatuma pesa Ya kutosha, ulivyotuma 10 akakumind, akaamua kukurusha, pole sana MASTER
 
k
upigana na mwanamke ni aibu
 
P
Mkuu inawezekana huyu manzi alivoomba hela ya mazaga aliegemea unatuma pesa Ya kutosha, ulivyotuma 10 akakumind, akaamua kukurusha, pole sana MASTER
Pesa ya kupika ulitaka nimpe sh ngap
 
Unasikitisha sana, sh 10,000 unapigana?
Laki 3 siwezi kupigana sembuse 10k????
 
duh na vitu ukadai, mimi nilimnunuliaga dem simu asubui jioni tukaachana ila simu sikumpokonya yaaani huwa sizingatii ivyo vitu vidogo japo sio tajiri mimi.
 
duh na vitu ukadai, mimi nilimnunuliaga dem simu asubui jioni tukaachana ila simu sikumpokonya yaaani huwa sizingatii ivyo vitu vidogo japo sio tajiri mimi.
Acha uzwazwa uwe unadai chako hawa viumbe wakikuzoea wanakuona bwege hujitambui
 
Tena akiwa kavaa kangamoko, na kangamoko yenyewe wala haikudondoka!!! Hahahah
Hv unafikir kuiangusha nilishindwa vitu vengine muwe mna2mia akili hata km ni demu wako mkigombana umvue nguo eeeh sijui ata nn kitatokea
 
Huu Uzi muda siyo mrefu utakuwa wa kutukanana baina ya ke na me. Ngoja nikae pembeni na note book yangu kama George carling.
 
Hivi kumbe ni wewe siku ile kule Gomz ndio ulichapwa na manzi angu?
 
Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi
Kama hautaki kupewa kichapo pesa za watu unachukua za nini?!

Unajua kabisa huyo sio baba yako, akikupa hela jua kuna kitu atahitaji why unambania, kama ni rahisi hivyo kupata pesa kwann usitafute za kwako ili usije pigwa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…