ukienda clinic ya watu wenye ngoma pale clinic ya zahanati ya njombe mjini utachoka sanaHuu Uzi unatisha wakuu,
Nmesoma comment zote mpk nmeogopa
Uzi Umenifanya nijitafakari sana maisha haya ya Michepuko mwisho wake Ni Huku Huku Kwny umeme[emoji26]
Hizi ni akili za kukariri sasa nani amekwambia ni starehe ya dakika chache? Ah wengine tunapenda sex marathon threesome orgy. Sawa bwna nyie endeleeni na condom. Mie siwezi katili de libolo yangu utamu asilia kwa kuvaa condom. Suala la kufa na ngoma nilishalikubali and no one can change my mind beckz afterall kila kifo kina sababuSidhan kama kuna wanaofurahia condom ila mtu makini hawez kutuhusu starehe ya dk chache impe mateso ya muda mrefu
Acha uwoga wewe kula mbususu hizo vimewekwa duniani zichakatwe🤣Huu Uzi unatisha wakuu,
Nmesoma comment zote mpk nmeogopa
Uzi Umenifanya nijitafakari sana maisha haya ya Michepuko mwisho wake Ni Huku chHuku Kwny umeme[emoji26]
Daah Mungu akulinde mama G wangu awe salama.Huu Uzi unatisha wakuu,
Nmesoma comment zote mpk nmeogopa
Uzi Umenifanya nijitafakari sana maisha haya ya Michepuko mwisho wake Ni Huku Huku Kwny umeme[emoji26]
Ah sasa kwani nimekwambia sitakuwa punished. Na imeandikwa wazinzi wafirji hawata urithi ufalme wa mbinguni. So tayari my punishment is know.You are very evil and wicked☹️
May you never go unpunished IJN🙏
Sawa we ushajitoa kafara its your life hakuna wa kukupangia hata ukitaka kunywa sumu ufe meza tu its your life shida yangu ni wewe kuambukiza wenzio ukimwi kwa makusudi.😠👺👹Hizi ni akili za kukariri sasa nani amekwambia ni starehe ya dakika chache? Ah wengine tunapenda sex marathon threesome orgy. Sawa bwna nyie endeleeni na condom. Mie siwezi katili de libolo yangu utamu asilia kwa kuvaa condom. Suala la kufa na ngoma nilishalikubali and no one can change my mind beckz afterall kila kifo kina sababu
Ah sasa kwani nimekwambia sitakuwa punished. Na imeandikwa wazinzi wafirji hawata urithi ufalme wa mbinguni. So tayari my punishment is know.
Kuna kitu unakitafuta😅Yah na mwisho hapo juzi
Huu Uzi unasikitisha sana...yaani mpk unaogopa yaan...shuhuda ni nyingi sanaa..Huu Uzi unatisha wakuu,
Nmesoma comment zote mpk nmeogopa
Uzi Umenifanya nijitafakari sana maisha haya ya Michepuko mwisho wake Ni Huku Huku Kwny umeme[emoji26]
Kwa hiyo tusile utamu bila ndomu kweli? Jamani mbona tunanyimwa mambo mazuri namna hii!😅Mambo yameshakuwa magumu hapa🤔🤔🤔
Hamna ni kujua hali zetu kabla kuanza burudaniKuna kitu unakitafuta😅
Wanadai hata usipokufa kwa ngoma utakufa kwa ajali au kansa, nadhani ni Watu ambao tayari waathirika wameamua kudanganya umma ili wasife pekeyao.Halafu kuna watu wanaambiana waende kavu eti haya ni maisha tu sote tutakufa. Mungu atuepushe na huu ugonjwa umekaa pabaya
We kaza fuvu siku ukianza kuharisha non stop utajua hujuiKwa hiyo tusile utamu bila ndomu kweli? Jamani mbona tunanyimwa mambo mazuri namna hii!😅
Inamaana unashauri Watu wenye mawe wasichukue tahadhari sababu UKIMWI ni overated kuliko Malaria na kansa?Wewe neenda kwenye wadi ya saratani ndo utajua ukimwi ni cha mtoto na inaua watu wazima na consciousness yao kwa % kubwa, kule cancer inaua watoto wadogo wazee vijana, masikini wenye pesa kila aina ya mtu. Ukimwi ni hatari ila is over rated kwasbb ni ajira kwa mashirika mengi na misaada kwa serikali zetu........je wa jua kwamba Malaria inaua watu hapa Africa Tanzania ikiwemo kuliko HIV? kila baada ya dakika 3 kuna mtu anakufa kwa Malaria hususani watoto walioko chini ya 5yrs infants......mtu anauwezo wakuishi na ukimwi kwa zaidi ya miaka 30, kinacho ua wa Tanzania ni umasikini ulio kithiri kupata chakula sahihi na dawa kwa wakati ila sio HIV
Au tuwe na PEP za emergency 🤔🤔🤔🤔?unaonaje hiyo?Kwa hiyo tusile utamu bila ndomu kweli? Jamani mbona tunanyimwa mambo mazuri namna hii!😅
Kwa hiyo kila mahusiano mapya mnapima? Mkiwa kwenye mahusiano mnatumia kinga au ni raw? Akichepuka na kuuleta hapo katikati? Aagr hili gonjwa labda tuache kungonoka, otherwise wote tupo kwenye risk.Hamna ni kujua hali zetu kabla kuanza burudani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nasikia inalewesha hatari, basi tuache ngono kama ndio hivyo😜Au tuwe na PEP za emergency 🤔🤔🤔🤔?unaonaje hiyo?