Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Mke wangu nimemuachisha kazi kwenye shirika moja hivi baada ya kuona anato gozwa tongozwa na work mate wake
 
Katika maamuzi sahihi niliyowahi fanya maishani mwangu ni kukataa hizo arv baada ya kugundua nimeukwaa.
Mie nakomaa na diet nzuri, mazoezi kwa wingi sitaki stress za kijinga na totoza nagonga kwa afya...goli zangu mbili zina itosha mambo sijui ya kuunganisha magoli hapana.
 
Sasa Mzab kama hautumii ARV viral load si ipo juu, hauambukizi unaogonga gonga hizo threesome?
 
Mke wangu nimemuachisha kazi kwenye shirika moja hivi baada ya kuona anato gozwa tongozwa na work mate wake
Mkuu ukimuachisha kazi ndo hataliwa? Tena sasa unaweza kuta akiwa idle ndo analiwa na boda boda wa mtaani...
 
Katika vitu ambavyo nimejiandaa kisaikolojia kuvipokea basi ni ukimwi.
Maana wife ana trip nyingi sana kikazi mikoani yaani hapo kuchepuka ni akili yake tu atumie condom au laah.
Umeisha mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…