Nyie mnao penda uterezi sehemu hatari kupata ukimwi kwa juju ni hizi.
1. Kwaya za walokole na walokole wanao kesha.
2. Singo maza wasio nyoosha maelezo yao kuhusi mzazi mwenzie iko wapi.
3. Makahaba wa Buguruni na sinza wengi wameathirika siku nyingi.
4. Wanachuo walio tokea mikoani angalieni wengi wanaambukuza bila kujua kwasbb ya axcitement ya mjini.
5.sexnetwork ndani workmates kazini hususani hizi kazi za field zenye trips hao watu wana laliana sana chungeni usikubali mkeo apangiwe hizo trips atakuletea ukimwi, komaa na kipato chako hicho kdgo.