Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Huna akili yaani nife kisa jitu lingine lije kuishi vizuri Sasa wakiishi vizuri Mimi nafaidika na nini wakati mda huo nimeoza Kwa ujinga niliofanya wao wanakula keki ya taifa Kila mtu apambane na maisha yake Kila mtu ana kaburi lake siwezi kufanya huo ujinga mimi
 
Kwa hiyo Nyerere na Wapigani uhuru wenzake wangekuwa na mentality hii ina maana tungekuwa tunatawaliwa bado.

Maendeleo unayoyaona Marekani, Ulaya huko Asia hayajakuja hivi hivi kuna watu kibao walipoteza wapendwa wao hadi hizo nchi zimesimama hivyo.

Hii ina maana kuna siku utaletwa muswada wanaume wote mtoe ndogo angalau mara moja kwa mwezi kwa nchi wa hisani, utakubali kwa kuwa ukiandamana utapigwa risasi?

Huwa naamini kitu kimoja kama huwezi kuwasupport basi angalau usiwavunje moyo.
 
We kiazi kweli hivi Kwa akili Yako Nyerere alipigania uhuru hivi mitanzania Haina akili yaani we maiti hapo unajiona upo huru
 
Sijajua watu hapa Tz wanataka kuandamana kwa lipi, ila iwe iwavyo maandamano yanahitaji vijana werevu na wanaojitambua. Kwa uandishi huu tu, wala usipoteze muda na maandamano (hata yakija), waachie wenye akili mkuu.
 
Hicho chakula unachokula na kulala ni jasho langu, sema su nikate huduma hapo home kwenu uone kama hujapandisha mabega kwa njaa.
Mzee hamna mtu wa kuandamana kisa jitu jinga kama wewe uishi vizuri sifanyi huo ujinga milele kama maisha yamekua magumu kwako pambana na Hali yako hamna mtu wa kuandamana
 
Mzee hamna mtu wa kuandamana kisa jitu jinga kama wewe uishi vizuri sifanyi huo ujinga milele kama maisha yamekua magumu kwako pambana na Hali yako hamna mtu wa kuandamana
Si unashiba bila kufanya kazi ndiyo maana unaropoka tu. Utaolewa kabla ya siku zako shauri yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…