Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
Mwenye kipato nyumbani hapo ni nani?Wakuu,
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje?
Lazima kuna sababu yaani from nowhere mtu hawezi kufanya hivyo. Atuambie mwanzoni ilikuajeHiyo kauli ni zaidi ya kuomba talaka ambapo sio jambo la kawaida kutolewa na mtu mwenye akili timamu.
Kuna mawili:
Mwisho; Nahisi huyo mwanamke ana msongo wa mawazo hivyo nastahili kupelekwa kwa dactari wa Ushauri au Mchungaji/Sheikh kwa maombi
- labda amekuchoka na anataka talaka au
- Yeye ndiye analisha familia (si unajua baadhi ya wanawake walivyo) anaona unamuongezea watu
Maziwa ya kopo yapo. Kwani watoto wanaozaliwa halafu mama anafariki huwa wanakula nini?!Angemwachia kichanga angenyonyesha nani!!?
Wasipoelewa hapa basi.Sababu ni hii.
Mara zote mume hayupo karibu na familia ya mke, yaani sio lazima afatane nao. Ila mke anatakiwa awe karibu na mama mkwe, mawifi...tena awe mchangamfu ,awapende na kuwajibika kwao.
Yaani mke amelazimishwa awe karibu na mama mkwe na mawifi kwasababu tu kaolewa huko,halafu unakuta imetokea hawapatani kwa sababu mbali mbali.
Ni kama vile ulazimishwe kuishi na watu ambao wewe hujachagua kuishi nao, na sio ndugu zako.
Wazazi waache kiherehere cha kwenda kukaa kwa watoto wao bila sababu ya msingi. Waende mara chache na wasikae sana maana lazima wataboa.
Mzazi aishi na nyie kama kuna sababu inayoeleweka kama vile ugonjwa au nyingine ambayo imebidi.
Tuwaache watoto waishi maisha yao...kuzoeana sana lazima kutaleta maneno.
WanawakeKwaiyo alitaka na mama wa mwenzie nae afe au mm ndo nimeelewa vibaya
Kwa hiyo inatupasa tunaishi nanyi kwa akili sanaNi makosa ya Mungu kuumba kiumbe kisicho na akili. Sa tufanyeje na tayari tumeshaumbwa hivyo. Mnatulaumu bure tu...hatuna uwezo wa kujibadilisha.
Mlishaambiwa na Mungu, tatizo akili hamna🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Kwa hiyo inatupasa tunaishi nanyi kwa akili sana
Tembea kwa watu uone. Kuna watu wako na hela ila wana roho mbaya na uchoyo wa asili.Hizo ni shida ya kuoa au kuolewa na maskini, maskini akipata mgeni wakati wakula anaona mgeni anamalizia chakula chake au bajet yake, kwa tajiri akitembelewa na mgeni wakati wakula kwao huona kama baraka kuwa na mgeni na kujumuika pamoja wakati wakula
Iyo ni tabia tuHizo ni shida ya kuoa au kuolewa na maskini, maskini akipata mgeni wakati wakula anaona mgeni anamalizia chakula chake au bajet yake, kwa tajiri akitembelewa na mgeni wakati wakula kwao huona kama baraka kuwa na mgeni na kujumuika pamoja wakati wakula
Tatizo mnaturoga sana ili mtushikeMlishaambiwa na Mungu, tatizo akili hamna🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
[emoji23][emoji23]Mlishaambiwa na Mungu, tatizo akili hamna[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Sa huoni umependa mwenyewe kurogwa. Michepuko umetafuta mwenyewe. Hlf unalaumu wanawake...akili gani hizoTatizo mnaturoga sana ili mtushike
Utakuta mwanamume mmoja anarogwa na mke wake na michepuko yake hiyo akili itatoka wapi?
Kwa hiyo mnajiona wajanja wenyewe mnavyotucheka 😅😅😅
Mwanamume rijali hawezi kuridhika na tamu moja.Sa huoni umependa mwenyewe kurogwa. Michepuko umetafuta mwenyewe. Hlf unalaumu wanawake...akili gani hizo
Nini chupi, tunachujia kwenye pedi used.Mwanamume rijali hawezi kuridhika na tamu moja.
Halafu hii style yenu ya kuvua chupi halafu unachujia chai anayokunywa mwanaume naona ndo inatuharibu akili sana maana inatrend sana kwa sasa. Sijui mganga gani kawafundisha hii 🤔
Duuuh! 😅😅😅Twafa wanaume. Mtakuja kutuua nyie watu yaani tunakula damu za period.Nini chupi, tunachujia kwenye pedi used.
Kusemaje tena?hilo ni jini..ni kupiga chini ..hakuna optionWakuu,
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje?