babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Upo sahihi kabisa mkuu, wengine wazazi wakiomba elfu 20 wanalalamika wazazi wasumbufu ila Ke akiomba 50K anapewa na ziada kiroho safi alafu mambo yakianza kuwaendea vibaya waseme wamerogwa."Uzuri wa mtu mbinafsi hajifichi hata akijitahidi kuuficha uhalisia wake ni ndani ya muda mfupi sana"
Yaani hauwezi kuwa mnafiki 24/7 week au mwezi mzima utajua tu
Kuna wajinga wajinga wanawaokota huko wanawashika akili unakuta mshikaji kwa wazazi wake wanatumia mkaa mwanzo mwisho kwa manzi kamnunulia jiko la gas na dish la azam na bado anamlipia kodi
Wanaume wanaojielewa wakiwa kwenye mahusiano tunasema CHARITY BEGINS AT HOME kwa wazazi
Ilikuaje ukawekwa ndani? Mkeo alihusikaKatika jambo ambalo Mama yangu alikataa ni kujakuja kwangu na mke wangu.
Ila siku nilitiwa ndani na Mke nilipotoka polisi alinisindikiza niondoke kabisaaa kwangu niachane nae hata km tuna katoto kachanga,alifight nichukue mashati mawili tu na suruali nikaanze 1.
Wala haikua tabu.mpk leo nakaa na mabinti kwa akili kubwa sana,
Yaani bussy but available 100%.
Single faza
Ni yeye alileta defender na kusema nimetishia kumtumbua mimba yake.Ilikuaje ukawekwa ndani? Mkeo alihusika
Pole sana mkuu alitaka kujisafisha kwa njia hiyo hakujua kuwa ndio anaharibu jumla.Ni yeye alileta defender na kusema nimetishia kumtumbua mimba yake.
Huku ugomvi ilikua ametoka kucheat akiwa na mimba kubwa tu.
Jana kuna mmoja nimezinguana naye usiku mpaka kaomba msamaha. Alitaka atumie mbususu yake kama silahaUzuri wa mtu mbinafsi hajifichi hata akijitahidi kuuficha uhalisia wake ni ndani ya muda mfupi sana. Yani tumekutana ukubwani kama ndevu niache kuwajali wazazi kisa kuifurahisha mbususu ni ujinga wa kiwango cha lami. Labda nirogwe
Mwanamke wa hivyo sio, mimi huwa nawangojea kwenye line of weakness najua atakuja tu. Ke anakutaftia shida, hata bila salamu yeyote bado ukimtolea nje anakupa maneno ya dharau na kejeli alafu huyo huyo anataka mjenge malengo ya kifamilia kuishi pamoja.Jana kuna mmoja nimezinguana naye usiku mpaka kaomba msamaha. Alitaka atumie mbususu yake kama silaha
Asubuhi kanitext na shida zake hata hajaanza na salamu nikachuna sijamjibu mpaka night
Usiku akanitext tena "vibaya hivyo D" nikasema sasa ngoja nimfundishe adabu nikamtext "mambo" akaitikia "poa"
Halafu nikamwambia kwa meseji nimeanza kwa salamu "mambo" ili ujifunze kitu kujuliana hali muhimu
Akaniendea hewani akaongea halafu akaniambia "Je, ningekuambia nina nyege ungenijibu hivyo?" Akimaanisha kuwa mimi ni mdhaifu kwa papuchi yake kwamba ningepotezea hata kama hakuanza na salamu
Nilikasirika mamamae nilimchana yule mwanamke nikamwambia hiyo kwangu sio kitu kigeni na mimi sio mdhaifu wa hiyo K yako. Nilimsema mpaka akaanza kujiliza
Kakajiliza hapo akaomba msamaha "unajua wakati mwingine D kupitiwa tu I'm very sorry." Baada ya mazungumzo akanitumia viemoji vyake vya ❤️❤️❤️
Najua sina demu wa maana hapo acha nile mbususu nikimchoka 🚮
Hii inadhihirisha wanaume hatuna roho mbaya, tunakaa na mama zenu,tunaacha pesa za matumizi bila kinyongo na maisha yanaenda saaafi kabisa, lakini wanawake walio wengi wana roho mbaya, yaani anakuja mama yangu mzazi eti unatoka mishipa kabisa kuwa HAUMTAKI,who are you by the way?Tatizo la wamama wakienda kwa vijana wao waliooa wanataka kukaa mwaka mzima au kuhamia hapo lzima wakosane,nenda mara moja moja na usikae sanaa ,sehem ambayo mama anaweza kaa muda mrefu na kwa amani ni kwa mtoto wa kike tu lakin na penyewe usikae sana
Acha wao waje kukutembelea kwako
Huwezi sema ana nguvu kiuchumi iwapo jambo jepesi kama hilo hana meno ya kulitafuna.Hapana KILA mmoja anamishe anafanya za kiuchumi,jamaa alimfungulia mke ki genge anauza!yeye ni mfanyakazi mwenzangu!!!
Sema mshikaji ni mpole na mwenye kujali Sana familia yake!si mkorofi mwenye hofu ya Mungu Sana haamini katika vurugu na ugomvi!!!
Nahisi MWANAMKE ka take advantage ya Tabia yake!!
Wanawake hawa mungu awasamehe tu,ila kashatubu zambi zake zote miaka hiyoPole sana mkuu alitaka kujisafisha kwa njia hiyo hakujua kuwa ndio anaharibu jumla.
Huwa wanakuja tu jana katuma vile viemoji vyake vya makopakopa sikumjibu leo asubuhi kaanza na salamu "morning D"Mwanamke wa hivyo sio, mimi huwa nawangojea kwenye line of weakness najua atakuja tu. Ke anakutaftia shida, hata bila salamu yeyote bado ukimtolea nje anakupa maneno ya dharau na kejeli alafu huyo huyo anataka mjenge malengo ya kifamilia kuishi pamoja.
Mzigo wake tena!Mwanamke ushazalisha watoto watatu kinachokushindaa kumwachia mzigo wake ni nini nyie waendekezeni tu kwa kisingizio cha watoto mtakufaa mmesimama
Vipi akiwa ni Mama yako wewe,Itategemea na sababu za mzazi kuhamia kwako. Kama ana kwake, hana shida yoyote mfano kama ugonjwa akae tu kwake awe anakuja kusalimia kidogo alafu anaondoka asihamie. Wanawake sisi mara nyingi hatupikiki chungu kimoja. Yataanza maneno umuone mkeo mbaya hata kama mzazi ndio anakosea.
Vipi akiwa ni Mama yako, inakua ni hivyo hivyo Wanawake hawakai pamoja?Ni kweli lakin wanawake huwezi waweka pamoja wakapatana wale ni fahar wawili ,
Sijasemea mama wa mwanaume tu, hata mama yangu mie hawezi kuhamia kwangu.Vipi akiwa ni Mama yako wewe,
Utakaa nae pia au ndio Wanawake hawapikiki chungu kimoja?