Ccm ni majizi tuYaani unairuka ile haja inayotokea mbele halafu unaikanyaga ile inayotokea nyuma!!!, wanasema CCM mbovu halafu mbadala wake ni watu wale wale waliokulia humo humo kwenye chama. Hizi akili zipo Tanzania peke yake.
Ndugu yangu millioni saba ni pesa nyingi,hata kama ungechangiwa ikapatikana ni afadhali hyo hela ikatumika kununua madawati wanetu wakasomea,si lazima katika kujadili mada utaje majina au kutumia kauli kali zitakazokuletea matatizo.Uungwana sio uoga,huu utawala hauna simile shauri yako.Ukipambana na Wachafu wewe mwenyewe Uwe Msafi, Kwa Unafiki wa Mh. Magufuli kwenye siasa mimi sijui ila nahisi hata kwenye Ufisadi na Yeye yumo ila Mishipa ya aibu Imemkatikia. (Hili la yeye kuwepo kwenye Ufisadi mimi sina uhakika)
Kuna Mwanasiasa Mmoja Kenya aliyejulikana kama Josiah Mwangi Kariuki au JM. Kariuki. Huyu alipiga Kelele sana, akiwachachafya hata akina Jomo Kenyatta kuwa Mafisadi. Muda wote Mimi nikadhani Kuwa ni hero wa wanyonge. Siku Moja Mtoto wa Kenyatta (Mke Mkubwa) Pamoja na Wengine walimchukua Jengo la Usalama na huko wakamhoji juu ya Ufisadi wake yeye, Walimpiga na Kumvunja Mguu, Kisha wakamuua kwa wanaojua Forensic, waliomuua walionyesha hasira kuu naye kwani mwili wake ulipopatikana ulikuwa na majeraha mengi ya mateso!
Sasa Mimi Nadhani Vita dhidi ya Mafisadi Ni Nzuri, Nimefanya Kazi TRA enzi zile VAT inaanza, Na sijawahi kuchukua hata Kibaru cha mtu! Ila wanaojifanya Kupigana na Ufisadi sasa wanawalakini Mkubwa sana. I hope they are clean.
Msikilize Mkuu akizungumzia Milioni 200 Za Wajapani. Huku akiwa na Kitwanga,
safi sana ngoja tuone nani msafi maana nayeye ni wa chama hichoMagufuli aliposema atapanbana na mafisadi ndani ya chama alimaanisha
Ila wanapotoka CCM na kuhamia CHADEMA wanatakaswa na kufananishwa na malaika, wakati hao wanaowatakasa waliwaita mafisadi. Bahati mbaya kama kuna ulaji wowote uliowafanyika mpaka gia ikabadilishiwa angani, basi wanaofaidika ni wachache sana na jina la Mmawia wala halimo na sidhani kama linajulikana.Ccm ni majizi tu
haha tunaitaka hiii mahakama ifanye kazi yake bila upendeleoIla wanapotoka CCM na kuhamia CHADEMA wanatakaswa na kufananishwa na malaika, wakati hao wanaowatakasa waliwaita mafisadi. Bahati mbaya kama kuna ulaji wowote uliowafanyika mpaka gia ikabadilishiwa angani, basi wanaofaidika ni wachache sana na jina la Mmawia wala halimo na sidhani kama linajulikana.
hakuna fisadi atakayebaki salama mbona kitwanga na Lugumi wanapeta mtaani au ule si ufisadiSasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..
Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.
Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Ccm ni majizi tu ...periodIla wanapotoka CCM na kuhamia CHADEMA wanatakaswa na kufananishwa na malaika, wakati hao wanaowatakasa waliwaita mafisadi. Bahati mbaya kama kuna ulaji wowote uliowafanyika mpaka gia ikabadilishiwa angani, basi wanaofaidika ni wachache sana na jina la Mmawia wala halimo na sidhani kama linajulikana.
LUGUMYA JE?Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..
Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.
Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..
Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.
Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Tone ya JPM anapoongelea masuala ya ufisadi, ni kali na isiyo na masihara hata kidogo. Ukosefu wa uaminifu na tabia ya upigaji iliyoachwa ikaota mizizi katika awamu ya nne, ni vitu ambavyo kwa sasa ni sababu kubwa ya baadhi ya watu kupata magonjwa ya moyo.haha tunaitaka hiii mahakama ifanye kazi yake bila upendeleo
hapana..ijisafishe. siku zote unafiki ni sehemu ya siasa ndio maana kuna ufisadi mkubwa cdm. ruzuku inaliwa yote kijanja na wajanja.Siku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
Majizi hayo hayo yanakuongoza wewe na familia yako. Tena kwa miaka 10 kuanzia mwaka jana.Ccm ni majizi tu ...period
Wewe bado hujakamatwa?maana unapigaga umbea ili majizi yakupe hela ya sodaMagufuli aliposema atapanbana na mafisadi ndani ya chama alimaanisha
Subiri jua lao la bahati lizame!Kwahiyo cdm iko nchi gani urusi au cuba? Mnashindwa nini kuwashitaki hao mafisadi waliopo cdm?
HMajizi hayo hayo yanakuongoza wewe na familia yako. Tena kwa miaka 10 kuanzia mwaka jana.
Hiyo ' My take ' yako ni uongo .Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..
Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.
Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Mtaishia hivyo hivyo kuwadanganya lumumba wenzenu lkn kwetu sisi tuliokwisha jitambua msahauSubiri jua lao la bahati lizame!