Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Haya tumia hiyo haki yako vibaya.Kaa kimya kama huna hoja za kujadili, nchi hii ni yetu sote!
Kama hoja yako ni watu waogope polisi basi huna tofauti na marehemu ye yote! Tangu dunia inaumbwa watu wamekuwa wakipinga uonezi wa watawala na wameuawa wengi na kamwe hawakukoma. Ndiyo sababu tupo hapa vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi. Huko Afrika ya Kusini polisi wa makaburu waliua waafrika wengi lakini hatimaye walipata uhuru wao na sasa wanaendelea kupambana na mafisadi bila shaka yo yote watafanikiwa pia!Haya tumia hiyo haki yako vibaya.
Muda sio mrefu utaelewa wazoefu wa ku deal na polisi, kama viongozi wa vyama vya siasa wanaojua mipaka yao kwanini hizo lugha za mapinduzi wanawaachia wenyewe na kwanini Lissu hataki hayo majukwaa yenu anaenda na porojo zake tu.
Tanzania uwezi kuuliwa kwa kukosoa serikali ata unapotunga uongo wa wazi katika harakati za siasa mradi hazina madhara makubwa.Kama hoja yako ni watu waogope polisi basi huna tofauti na marehemu ye yote! Tangu dunia inaumbwa watu wamekuwa wakipinga uonezi wa watawala na wameuawa wengi na kamwe hawakukoma. Ndiyo sababu tupo hapa vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi. Huko Afrika ya Kusini polisi wa makaburu waliua waafrika wengi lakini hatimaye walipata uhuru wao na sasa wanaendelea kupambana na mafisadi bila shaka yo yote watafanikiwa pia!
Kufa kupo na hawezi kukwepa tofauti ni aina ya kifo!
Au ulitaka itumike Niger style.Yaaani watu wanasema wazi kabisa kuwa lazima wamuondoe madarakani kwa njia sizizo halali halafu wanasema hawaogopi chochote wakitamba kabisa. Sheria ikichukua mkondo wake mnaanza kumlalamikia Rais
Someni kifungu cha 39 chote cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu. Halafu mjifunze kuongea na kuendenda vizuri kwa mujibu wa Sheria.
Ulivyo mpumbavu Mdude anaweza kupindua serikali au amewazidi kwa hoja? Kifupi serikali imeamua kutisha watu na wewe unashabikia kwa ufunza wako!Tanzania uwezi kuuliwa kwa kukosoa serikali ata unapotunga uongo wa wazi katika harakati za siasa mradi hazina madhara makubwa.
Ila ukianza mipango ya sabotage kwa serikali au lugha za kutishia amani sio Tanzania tu popote duniani unanunua ugomvi na vyombo vya ulinzi.
Mbona asikamatwe Mbowe, Heche, Lissu, Mnyika, Lema na wanasiasa wachadema wanaokosoa serikali kwenye majukwaa. Waje kukamatwa watu ambao wametoa press conference chache tu, shida ni lugha zao ndio maana unaona viongozi wa CDM awajiingizi katika hizo movement zao mwisho wake wanaujua huwa sio mzuri unapotishia amani ya nchi au kumpa raisi ultimatum.
Acheni kupotosha hao watu ambao hawaelewi ugomvi wanao nunua kwa kujazana upepo huko kwenye group discussion zao humo ndani kuna kila aina ya watu wengine sio watanzania.
Ni hayo, goodluck katika harakati zako za kupindua nchi.
👋
Ni Mama ambaye ni Rais.Ili neno "Mama" lanini kwani? Pale juu kuna Rais sio Mama jaman!
Katika siasa ukishaanza kutumia vyombo vyadola kuzima maoni, ujue umeshapoteza umaarufu na watu wengi tu hawapo pamoja na wewe.CCM Wameshapanic hawatoboi. Kila mtanganyika analijua hilo
Unjaribu kuendesha baiskeli kinyume nyume.we sukuma gang, subirini yule shetani wenu atafufuka, mwacheni mama yetu anaupiga mwingi. Kinachowasumbua wivu na hsda, mlifikiri angshindwa, huyu mama ni level nyingine, yule marehemu wenu mpaka leo angeishiwa nguvu nchi ingekuwa pabaya sana. Ila tunamshukuru Mungu kuipenda sana nchi yetu.
Ni kujibizana na poyoyo tu hapa. Ungekuwa unaingia kwenye hizo session zao ndio ungeelewa.Ulivyo mpumbavu Mdude anaweza kupindua serikali au amewazidi kwa hoja? Kifupi serikali imeamua kutisha watu na wewe unashabikia kwa ufunza wako!
Halafu wewe unaweza kupotoshwa au unajipotosha! Akina Lissu very soon watabambikiwa kesi kwa kusema ukweli na kuwanyamazisha lakini haitakuwa mwisho wa kuikosoa serikali!
Poyoyo aliyekuzaa taahira!Ni kujibizana na poyoyo tu hapa. Ungekuwa unaingia kwenye hizo session zao ndio ungeelewa.
Sishangai kwanini unashindwa kuelewa CDM awajihusishi na hiyo movement, wanatembelea tu upepo wao kwa mbali.
Nani unadhani ana gharamia hizo court cases za Mwakabusi, ukipata jibu na kusikiliza mijadala yao ndio utaelewa; siko hapa ku promote causes za watu wapuuzi watafute uingie huko walipo ndio uone ujinga wanaojazana akina Dr Slaa.
Umeishiwa hoja sasa unaanza viroja, nenda kaingie kwenye hizo session uone kwanini CDM awataki kujihusisha na hizo movement unapiga tu kelele ilhali uelewi matatizo hao watu wanaojitafutia.Poyoyo aliyekuzaa taahira!
Ebu jiangalie una tofauti gani na mbwa kutii hata usichokielewa!
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.
Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.
Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.
Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.
Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.
2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.
Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
analikoroga wapi? wapuuzi wachache lazima washughulikiwe
Umeishiwa hoja sasa unaanza viroja, nenda kaingie kwenye hizo session uone kwanini CDM awataki kujihusisha na hizo movement unapiga tu kelele ilhali uelewi matatizo hao watu wanaojitafutia.
Nimekuuliza mbona Lissu ajakamatwa wakati na yeye amepinga uwekezaji wa bandari.
I have no time with nonsense these days.
Nimekwambia wewe huna tofauti na mbwa! Kwa nini serikali haijibu hoja za akina Mdude badala yake inawafungulia kesi za mchongo zisizo na kichwa wala miguu!Umeishiwa hoja sasa unaanza viroja, nenda kaingie kwenye hizo session uone kwanini CDM awataki kujihusisha na hizo movement unapiga tu kelele ilhali uelewi matatizo hao watu wanaojitafutia.
Nimekuuliza mbona Lissu ajakamatwa wakati na yeye amepinga uwekezaji wa bandari.
I have no time with nonsense these days.
Nilimpigia chepuo alipofanya vizuri.Mkuuu ww si ulikuwa unakesha kumpigia chepuo
Hili la DP World limemuondolea mama Samia umaarufu wa kisiasa...kutumia POLISI ni dalili za Samia na genge lake kushindwa kujenga hoja zenye ushawishi.
..wananchi wanaelekea kusikiliza na kukubaliana zaidi na hoja za wapinga mkataba wa Dp World kuliko hoja za wanaomuunga mkono Samia.
..vilevile wanaounga mkono Dp World wanaonekana kuchoka na kukata tamaa. Hawaonekani kuwa na ari na mwamko kama wenzao wanaopinga.
..jambo lingine baya ni Samia kuruhusu watu wa hovyo-hovyo kuwa mstari wa mbele kumsemea na kumtetea.
..Haileti picha nzuri kwa kiongozi wa nchi kutetewa na watu wahuni na wasiofaa ktk jamii.
Hili la DP World limemuondolea mama Samia umaarufu wa kisiasa.
Wahuni na watu wasio na ushawishi wa kisiasa kama Kitenge, Hando na Zembwela kuwa uso wa kuitetea na kuiuza DP World kwa Watanzania kwa kweli ni matusi.
Ulitaka wajibiwe vipi bandari zote zimeuzwa wakati sio kweli na sheria (IGA) ipo wazi.Nimekwambia wewe huna tofauti na mbwa! Kwa nini serikali haijibu hoja za akina Mdude badala yake inawafungulia kesi za mchongo zisizo na kichwa wala miguu!
Serikali ina wajibu wa kujibu hoja za wananchi kikamilifu na si kutumia mabavu kuzima hoja. Watu wana akili za kuchuja mbivu na mbichi wataamua!
Sasa wewe kilaza hufahamu kuwa akina Lissu wako targeted, it's a matter of time watakamatwa na wakipona mikutano yao itapigwa marufuku!