Nature
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 830
- 2,241
Hiyo hapo...Acha ushamba fala ww
Tafuta ilioandikwa "ORIGINAL TASTE"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hapo...Acha ushamba fala ww
Tafuta ilioandikwa "ORIGINAL TASTE"
😂😂 why so harsh!!Acha ushamba fala ww
Tafuta ilioandikwa "ORIGINAL TASTE"
Hii nililenga kujibu hoja ya niliye m quote KAMA alichoandika NI KWELI.Unamaanisha wanatumia formula na ingredients tofauti?
Sawa. Kwa hiyo ya mkoa ipi bado ina ladha ileile wanayosema ya zamani og?Hii nililenga kujibu hoja ya niliye m quote(KAMA NI KWELI).
Ukiniuliza mimi binafsi naweza sema, Theoretically wanasema Formula ni Sawa ila Practically inawezekana kuna Utofauti....
Hata Pasi ya Philips Ya Indonesia haiwezi fanana na Ya China.
Maybe a little depression hahahah[emoji23][emoji23] why so harsh!!
Ahahaha nitajaribu nikifaSikuui nakupa taste tamu zaidi heroin. 😀😀😀😀😀😀
Ujakosea kabisaaSoda ni pepsi, fanta na ginger ale.
Waliobaki ni juice kola
Una urimi wa kuku labdaKwangu mm nzuri tu
Hakuna kitu kama hicho, umeanza kuongea vizuri mwanzoni soda hutofautiana taste japo si sana hii kwa sababu ya Maji yanayotumika dar, Mby, Mwanza na Kilimanjaro kuwa tofauti. hiyo inayoandikwa original taste ni lugha ya kibiashara tu, ni sawa Kuna wakati watu walikuwa wanataka Pepsi chupa ya zamani kuwa ni tamu kuliko chupa mpya wakati soda ni ileile kiwanda hubadilisha ili muone mpyaNo coca cola ina taste tofauti. Na mostly kila kanda ina taste yake.
Ila zamani tulikuwa tunakunywa ile taste moja.
So ukitaka upate ile taste ya zamani tafuta ilioandikwa "original taste", ni lugha ya kibiaashara ikimaanisha taste ya kwanza iliovumbuliwa na coca cola
Hi 👋
Soda ya Coca-Cola kwakweli ni mbaya sana sijui kwangu yaani soda ukitoa kwenye friji bas soda hainaa radha ila Pepsi iko vizuri sana Coca-Cola jitafakarini
Coca ni kama unakunywa chai ya rangi iliyo poa tu.Ni kweli coca siku hizi haisisimui.. Ladha yake baridi sana kama unakunywa dawa ya mganga.. 😉
Umeniwahi 🤣🤣🤣Umeujuaje 🤣
Aisee sijui ww ni mkemia wa kuchanganya gongo.Hakuna kitu kama hicho, umeanza kuongea vizuri mwanzoni soda hutofautiana taste japo si sana hii kwa sababu ya Maji yanayotumika dar, Mby, Mwanza na Kilimanjaro kuwa tofauti. hiyo inayoandikwa original taste ni lugha ya kibiashara tu, ni sawa Kuna wakati watu walikuwa wanataka Pepsi chupa ya zamani kuwa ni tamu kuliko chupa mpya wakati soda ni ileile kiwanda hubadilisha ili muone mpya
Soda ya mbeya ni tamu sana ziaid ya soda ya dar.Hakuna kitu kama hicho, umeanza kuongea vizuri mwanzoni soda hutofautiana taste japo si sana hii kwa sababu ya Maji yanayotumika dar, Mby, Mwanza na Kilimanjaro kuwa tofauti. hiyo inayoandikwa original taste ni lugha ya kibiashara tu, ni sawa Kuna wakati watu walikuwa wanataka Pepsi chupa ya zamani kuwa ni tamu kuliko chupa mpya wakati soda ni ileile kiwanda hubadilisha ili muone mpya
Coke ya Zamani Asaivi? Sidhaniii...,Sawa. Kwa hiyo ya mkoa ipi bado ina ladha ileile wanayosema ya zamani og?
Hakuna cha maji sijui nini.Soda ya mbeya ni tamu sana ziaid ya soda ya dar.
Huenda kweli maji huchangia sana mkuu, soda dar ya moto hunywi ni mbaya.
Haufi ila utumbo utayeyuka huko tumboni Cha Moto utakiona 😀😀😀😀😀😀😀Ahahaha nitajaribu nikifa
Wamexico huwaambii kitu kuhusu Coca Cola.Coke ya Zamani Asaivi? Sidhaniii...,
Hata kimataifa Coke wanalamikiwa kuwa ladha ya Kunywaji chao imeshukaa..
Nchi ambayo bado inayozalisha Coca-Cola bora Duniani ni Macedonia labda na Mexico.
Mtu anayekunywa K-vant namuona kama ni mtu aliyekosea chaguo la kunywa kabisa..yaani ni kama mataputapu..Chukua coca cola baridi Sana,
changanya na k vant kidogo,
changanya na double kick kwa mbali, changanya na maji ya dew drop kidogo. Weka ndimu au limao kwa mbali. Kunywa hiyo coca cola nitamu Sana yaani. 😀😀😀😀😀😀