Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
Sawa Shem ngoja nkatafte hela mleEmbu fanya kazi shemeji zako tunakutegemea ada ujalipa ujue [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa shem leo jumatatu urudi na kitimoto ππSawa Shem ngoja nkatafte hela mle
Hahaha duh sawa Shem. Rost , ya kukaanga au mbichi utapika mwenyewe ?Sawa shem leo jumatatu urudi na kitimoto [emoji23][emoji23]
Coca imezidhizi soda ukiziweka kwenye jokofu badae zikapata moto kwisha habari yake
yakukaangaa itakuwa poa sanaππHahaha duh sawa Shem. Rost , ya kukaanga au mbichi utapika mwenyewe ?
Hiii kubwa kuliko dr kutoka suaKunywa beer achana na soda zinakupa UTI
Sawa shemCoca imezid
yakukaangaa itakuwa poa sana[emoji23][emoji23]
Eti Dr kutoka SUAHiii kubwa kuliko dr kutoka sua
Bia gani mzuriEti Dr kutoka SUA
Mkuu hii ni simple logic tu haitaji rocket science kulijua hili.
Ipo hivi anaekunywa beer anakojoa mara kwa mara anasafisha kibofu ila mnywaji wa soda hakojoi mara kwa mara.
Kitambi kitaisha hata huko chini utaisha utashindwa kutohomba demu wako. πππππIli kitambi kishe
Mimi ata ukitaka leo nikupe ukainjoy nae wewe sema mimi sina iana kizur nakula na mwezanguKitambi kitaisha hata huko chini utaisha utashindwa kutohomba demu wako. πππππ
Mtumeeeeeeeeeee..........???!!! π³π³π³π³π³π³ππππππMimi ata ukitaka leo nikupe ukainjoy nae wewe sema mimi sina iana kizur nakula na mwezangu
Mmekaririshwa!Kama una umri kuanzia 30+ogopa vunywaji vya sukari sio uogope pombe...
Wewe sikiliza, kila mtu anachaguo lake hata wewe kunywa savanna mwingine anakuona wewe demu. ππMtu anayekunywa K-vant namuona kama ni mtu aliyekosea chaguo la kunywa kabisa..yaani ni kama mataputapu..
Nakosea kwa kiasi gani hapa??
Ata 3sm tunapiga fresh tuu ππMtumeeeeeeeeeee..........???!!! π³π³π³π³π³π³ππππππ
Unakufa bila kupata raha za Duniani yaani ule chipsi nyama bila kushushia na pepsi. Mimi siwezi hata waniueBado kuna watu wanakunywa soda
Mimi nna miaka 15 sijui soda mpaka sasa
Ova
Khumamamamakeeeee...... Sifanyi huo uxenge Mimi. πππAta 3sm tunapiga fresh tuu ππ
Unakosa vitu vizuri πKhumamamamakeeeee...... Sifanyi huo uxenge Mimi. πππ