Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi amesema sio kwa ajili ya waafrika? Mleta mada wivu unakutesa sana.
Na pia hii we mwenyewe umeileta kama quote tu kutoka sehemu(bora ingekua sauti yake) kwaio hatuna uhakika yeye pia kaileta vipi, kama ilivyozungumzwa au kapunguza vingine!?. Watu wanaeneza sana habari potofu kwa maslai yao saiviKama hujatajwa mana ake huusiki. Wahusika wametajwa kwa majina. Simple like that
Hivi kama kuna Saido, Dodo na Saidama....!Mbona sijaona sehemu anayosema "ushindi huu hauusiani na Waafrika"!!
WagalatiaNi kama "WARAKA WA PAULO KWA WAEFESO" unavyosomwa kwenye makanisa afrika. Kwa maneno mengine ni kama wametutaja tu..
Hivi Morocco inanisaidia nini mimi Mtanzania wa kabuku?Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Na wanafungwa vilevileKwanini wanashiriki champion ligue na afcon Kama wao sio africa
Huu ni upumbavu na upuuzi tu!!
Kasema ushindi ni wa waMorroco, waarabu na waislamu.Mbona sijaona sehemu anayosema "ushindi huu hauusiani na Waafrika"!!
Jana mlikuwa mnapiga kelele za nini na kunywa mibia miiingi kama mmepagawa na zimwi behemoth?Hivi Morocco inanisaidia nini mimi Mtanzania wa kabuku?