Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sifàhamu ,ila ukicheza kama mazoezi kwa kujiweka fiti katika mazingira mazuri hakuna uharamu .Mpira wa kileo Man U ,Liver ,Simba na Yanga umezungukwa na mambo mengi haramu ,ya upuuzi na hovyo ulivyo huu uzi..
Kwa maoni yangu mpira wa ushindani ni haraam. Mnapaswa kuacha kucheza. Huwezi tenganisha mpira wa kileo na kamari na maovu mengine
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Ndo maana sikutaka morocco wapite
 
Vitu vingine fanya kama passion tu, havina impact yoyote kwa individual person. Imagine tuseme Tanzania imefanikiwa kuingia WC na ikafika final na ikachukua kombe, wewe km wewe una nufaika vp na ushindi huo? Je inaweza kukuza uchumi wa nchi? Achana na uchumi wako tu.
Ukifuatilia sana soccer utagundua tunapigia debe kazi za watu pasipo kujijua.

Wewe mwana simba, ubingwa mara nne mfulilizo ulikunufaishaje?
Je ubingwa wa yanga na hata wangekuwa unbeaten 100 games ww ingekuongezea nini?
Lakini utagundua inaposhinda simba/yanga kuna kundi flani la watu wanapata manufaa wewe utabaki mpiga kelele na kuchangia timu ya watu wa watu.

Kurudi kwenye mada hata anaeshabikia morroco hana tofauti na mtu wa mbeya anayeshabikia simba. Mpira utabaki kuwa burudani and it has nothing to do with uzalendo since ni biashara ya watu fulani.
Hata kama ndio watunawe sisi wagagagikoko?
 
Kwa maoni yangu mpira wa ushindani ni haraam. Mnapaswa kuacha kucheza. Huwezi tenganisha mpira wa kileo na kamari na maovu mengine
Ni sawa kabisa,Final ya UEFA Real Madrid Vs Liverpool kuna mdada katrend alikuwa anacheza jukwaani uchi kuburudisha watazamaji ,ushoga ,kamari ,Pombe nk ..
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Kwani wanashindania nini
Yani wameshinda nini kwa sababu bado mashindano hayajaisha
Na watu wanashindania kombe
Lakini pia sisi tunafahamu kuwa wale siyo wa Afrika timu zetu tunajua zimeshatolewa
 
Kwani wanashindania nini
Yani wameshinda nini kwa sababu bado mashindano hayajaisha
Na watu wanashindania kombe
Lakini pia sisi tunafahamu kuwa wale siyo wa Afrika timu zetu tunajua zimeshatolewa
Kuna ushindi na ubingwa. Morocco walishinda mechi ya jana. Wakishinda mechi zao zote watatawazwa kuwa mabingwa wa kombe la dunia
 
Jamani hii ni first Arab team na sio First African team
Screenshot_20221207-180845.png
 
Hii thread ni kwasabbu Marakech wameshinda au, waache washerehekee wanachokiamini Bro.
Unafrikiri aufrica ni sifa, hii ni laana mkuu acha waikatae Kwa nguvu .
Hua naenjoi sana nkitizama mipara inayohusish timu za taifa za kiarabu. Kwa maana hupambana Kwa nguvu moja.
Timu zenye rangi nyeusi wamekua wavivu kupindukia.
Mfano hata nyie mmeona nikama hawajui mpira.
Kwa hiyo wewe ni mja wa laana? Mimi na uzao wangu ni wabarikiwa. Weee endelea kulaanika wakati wenzako tunajiambatanisha na kujifungamanisha na baraka
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Kwa nini unaposha? Maelezo uliyotoa ni tofauti na alichoandika.
 
Mbele kwa mbele kwani hata wasipoitwa wa Africa, hawanyi?.

Au ukiwa muumini wa hyo dini, haufi? na ukifa hauozi?.
 
Wapi ametaja kwa ajili ya Africa
Morocco coach Walid Regragui said African nations have shown they are not “sub par” at the World Cup - and tipped one to go on to lift the trophy.

Rugraagui’s side need a point from Thursday's encounter against Canada to make it through to the knockout stage and join fellow African nation Senegal.


For the first time in World Cup history, all five African nations at the tournament are led by African coaches, with Rugraguai claiming they have shown they are equal to the very best countries from Europe and South America,

“Obviously, Morocco is my priority,” said Rugragui. “But we’re also African, as Senegal are, as Ghana are, as Cameroon and Tunisia are, so we hope to fly the flag of African football high. Often, we’ve been described as being ‘sub-par’, that somehow African football wasn’t as good as elsewhere.
 
Back
Top Bottom