Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Vitu vingine fanya kama passion tu, havina impact yoyote kwa individual person.
Passion sio Impact au haina impact ?, Individually ukimaanisha nini yaani hata hao selected / waliocheza nao hawana faida / impact
Imagine tuseme Tanzania imefanikiwa kuingia WC na ikafika final na ikachukua kombe, wewe km wewe una nufaika vp na ushindi huo? Je inaweza kukuza uchumi wa nchi? Achana na uchumi wako tu.
Kweli hujui hili ?, Hivi unadhani bila Pele Brazil ingefahamika kama inavyofahamika, bila Brazil kucheza a Beautiful game watu wangeipenda na nchi kuweza kuuza bidhaa zao, unadhani FIFA kama FIFA inachangia kiasi gani cha pesa kwenye grassroots za nchi ? Hivi unajua kabla Senegal haijaifunga France kuna watu walikuwa hata hawajui Senegal ni nini ? Hivi unajua Vita vya kwanza vya Dunia vilisimama ili watu waangalie mpira ?

Unajua timu ikichukua Kombe la Dunia inalipwa kiasi gani na scouts wa nchi zote wataanza kuangalia hio nchi kiasi gani na wangapi watanunuliwa / kuchukuliwa sababu ya huo ushindi ? Unajua passion ya mpira itakua kiasi gani na mzunguko wa biashara kuongezeka kiasi gani ? Hivi nini kinakuza uchumi labda nikuulize ? (Watu kupenda ligi ya Bongo na Vibanda umiza kuongeza uchumi unakua au )?
Ukifuatilia sana soccer utagundua tunapigia debe kazi za watu pasipo kujijua.
Unapiga debe sababu ya passion (that is life) ukiangalia kwa jicho hilo kila kitu hakina maana..., hata unavyocheza mziki na kutoa jasho unapata faida gani ?, mimi kupoteza muda hapa kukujibu wewe napata faida gani..., nikinywa beer napata faida gani ? (ule utamu kwenye koo) ? kama ndivyo unajuaje mpiga kelele huo sio utamu wake ?
Wewe mwana simba, ubingwa mara nne mfulilizo ulikunufaishaje?
Si ni mwana Simba ? Sasa huoni mwana Simba yanga ingeshinda angepata huzuni ? and what is life kama sio happiness and feeling good ?
Je ubingwa wa yanga na hata wangekuwa unbeaten 100 games ww ingekuongezea nini?
Unamuongezea bragging rights..., to each his/her own...
Lakini utagundua inaposhinda simba/yanga kuna kundi flani la watu wanapata manufaa wewe utabaki mpiga kelele na kuchangia timu ya watu wa watu.
Manufaa ni nini ? Pesa ? Ingekuwa ni Pesa watu waliozaliwa kwenye Royal Family wangekuwa ni wenye manufaa peke yao ila utagundua kuna vitu ni priceless na simba / yanga au timu yoyote bila mashabiki ni uchafu tu..., na kwa taarifa yako hakuna owner wa timu ambaye ana-make direct money (labda kukuza brand) its a loss making business for owners
Kurudi kwenye mada hata anaeshabikia morroco hana tofauti na mtu wa mbeya anayeshabikia simba. Mpira utabaki kuwa burudani and it has nothing to do with uzalendo since ni biashara ya watu fulani.
Kila mtu anashabikia kulingana na utashi wake kuna mtu anashabikia timu ya mtaa sababu ni mtaani kwake, kuna mtu alishabikia Brazil (especially watu wa Africa) kutokana na Pele..., kuna watu wa Msumbiji wanashabikia Ureno sababu the Great Eusebio alitokea huko kuna watu hii ni burudani wanashabikia sababu kutokana na burudani inayotoka hapo....

That's why its football a beautiful game..., kwa ambaye hajui hili nadhani amepotea na atafute hobby nyingine... (maybe pottery au golf)
 
"ushindi huu ni kwaajili ya waarabu,wamoroco na waislam wote Duniani"

ukiwa muislam mzungu,muislam mweusi,muislam wa asia ushindi huu unakuhusu.wamoroco wakristo na waarabu wa kristo pia ushindi huu unawahusu.
wakristo wasio wamoroco ushindi huu awahusu kabisa.

Duh!.
 
Kwani hao Morocco, waarabu na waislam wako wapi? Si wapo afrika?! Huyo kocha alimaanisha kuwa huo ushindi sio wa wakristo...
Waendelee kufuga majini yao. Waafrika wakristo nao na shida zao.
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Hii thread ni kwasabbu Marakech wameshinda au, waache washerehekee wanachokiamini Bro.
Unafrikiri aufrica ni sifa, hii ni laana mkuu acha waikatae Kwa nguvu .
Hua naenjoi sana nkitizama mipara inayohusish timu za taifa za kiarabu. Kwa maana hupambana Kwa nguvu moja.
Timu zenye rangi nyeusi wamekua wavivu kupindukia.
Mfano hata nyie mmeona nikama hawajui mpira.
 
Vitu vingine fanya kama passion tu, havina impact yoyote kwa individual person. Imagine tuseme Tanzania imefanikiwa kuingia WC na ikafika final na ikachukua kombe, wewe km wewe una nufaika vp na ushindi huo? Je inaweza kukuza uchumi wa nchi? Achana na uchumi wako tu.
Ukifuatilia sana soccer utagundua tunapigia debe kazi za watu pasipo kujijua.

Wewe mwana simba, ubingwa mara nne mfulilizo ulikunufaishaje?
Je ubingwa wa yanga na hata wangekuwa unbeaten 100 games ww ingekuongezea nini?
Lakini utagundua inaposhinda simba/yanga kuna kundi flani la watu wanapata manufaa wewe utabaki mpiga kelele na kuchangia timu ya watu wa watu.

Kurudi kwenye mada hata anaeshabikia morroco hana tofauti na mtu wa mbeya anayeshabikia simba. Mpira utabaki kuwa burudani and it has nothing to do with uzalendo since ni biashara ya watu fulani.
Kunakitu kinaongezeka kitu muhimu kwa maisha ya mwanadamu yeyote yule nikishabikia mpira napata burudani yaani unajihisi na furaha sana..

Furaha inatosha hizo nyingine ni mbwembwe
 
Na pia hii we mwenyewe umeileta kama quote tu kutoka sehemu(bora ingekua sauti yake) kwaio hatuna uhakika yeye pia kaileta vipi, kama ilivyozungumzwa au kapunguza vingine!?. Watu wanaeneza sana habari potofu kwa maslai yao saivi
Ilikuwa kwemye verified tweeter account japo wamesha delete
 
Mpira ni haraam.
Sifàhamu ,ila ukicheza kama mazoezi kwa kujiweka fiti katika mazingira mazuri hakuna uharamu .Mpira wa kileo Man U ,Liver ,Simba na Yanga umezungukwa na mambo mengi haramu ,ya upuuzi na hovyo ulivyo huu uzi..
 
Back
Top Bottom