Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Hakuna aliyewapa uku waarabu,wanapewa ukuu na wajinga wajinga tu

Hapa wameonyesha ujinga wao kutumia mpira kuonyesha walivyo mashetani
Mie hao wote naona wote tu wanatudharau..
Akiniheshim namheshmu
Akinidharau namdharau..
Haina haja kupanic sanaaaa tunawapa ukuu usio na maana.
 
Hii ishu mbona ni ya kitambo sana.

Ni nyinyi ngozi nyeusi ndio mnaolazimisha Africa Africa ilihali hakuna mahalai utaona Nchi ya kiarabu ikiwa proud kujitaja kama ni sehemu ya Africa....sanasana ni kwa maeneo machace tu ya kisiasa na kiutawala.
 
Mimi ni muislamu lakini hawa waarabu huwa siwakubali hata kidogo.......misaada yao kwa waislamu wenzao huwa ni misikiti tu hakuna msaada zaidi ya huo
Wajamaa ni wabinafsi kuna sehem ukienda hata kusimama kwenye swala hataki ukutanishe miguu yake na ngozi nyeusi[emoji1787][emoji1787]
Ila suala la misaada tusiwalau wao hawa wa huku kwetu wanaotoa dira ndo wanashida tena kubwa sanaa.
Unakuta ng'ombe zimetolewa sadaka kwa waislam lakini hawa wa huku kwetu sasa kama hiendani nao hupati hata kwa bajati mbaya..
Yaani hii dunia bana ya ajabu ajabu sana.
 
Shida hata sio uarabu wala uweupe-tatizo ni dini yao Waislam wanapenda wangekuwa peke yao duniani
 
Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!

Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.

#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.

View attachment 2438715
Post zingine ni kichefu chefu tu.
Hivi mzungu na baba ako boo-lanani?
 
Nyinyi miafrika myeusi mpira hamjui, kazi yenu ni uchawa na uchura tu.
Kwahiyo sisi waarabu hatuwezi kuwapambanieni nyinyi ngozi ya goti, hilo mukae mkijua.

Kwani si mulikua na vitimu vyenu kwenye michuano hii?
Kwataarifa yenu sisi tunachukua ubingwa, na hatutaki mutushabikie.
KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
"Kobe nyie"
 
Kwetu mtu mwenye matusi asiye na staha huwa hatuhangaiki naye
Unazingua ndio maana nikaamua na mimi nikuzingue.
Kwani huyo jamaa akisema hivyo, ndio itaondoa ukweli kua nchi yake iko ndani ya bara la Africa?
Au wewe imekuuma jamaa kuutaja Uislam?
Acha zako babu, kuna mengi ya kujadili sio hivyo vitu vidogo vidogo.
Waafrica weusi tunakwama sana sababu tunapenda kulia lia hata pasipo hitajika kulia.

Kwahiyo post yako ulikua unafikisha ujumbe gani kwa watu kama mimi?
Kwamba tusiishabikie Morocco sababu Sufiane hajatutaja waafrica, sio?
Ama unataka tushanikie timu kutoka bara lingine kwa mabahasha zenu, sio?

Babu mimi kwenye michuano hii nakwenda na timu inayo toka ndani ya bara hili, na nimeshajitangaza kwenye post kibao humu, tena nimesha ongea kwamba zikitoka zote sifatilii tena michuano hii.

Kwahiyo ninapomuona mtu anatokeza anaanza kuongea ushubwada kwenye timu kutoka Africa simuelewi kabisaa tena namuona mchawi tu.

Na ninapo sema timu kutoka Africa haijalishi ni hao waarabu ama ngozi ya goti, kwakua ngozi ya goti wenzangu wametolewa wacha niende na hao hao waarabu mradi wanatoka bara ambalo mimi nimezaliwa na ndio nimo.
Siku nyingine usi post upuuzi, "kobe we!!".
 
Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!

Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.

#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.

View attachment 2438715
Wasio waislamu ni wabaguzi sana.Nina amini hawakuimbea Moroco zaidi ya kuumia tu.
 
Tuache kushobokea timu za watu wenyewe awatutaki sisi tunawalazmisha yani uyo boufal amesahau kuwa iyo nafasi aliyoipata ya kucheza WC kuna watu walipambana kwa jasho na damu mpaka tunaongezewa timu zikafika 5 leo hii anaongea upuuzi baadae anaomba radhi na kuitaja africa [emoji3][emoji3] eti alisahau si wajiunge wawe sehemu ya Asia wawe wanashiriki kutoka upande uwo
 
Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!

Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.

#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.

View attachment 2438715
Akumbuke na siku timu ya nchi ya kiislamu itakapotolewa na timu ya nchi ya kikristu. Akumbuke kutoa Taarifa kuwa waliotolewa ni wamorocco wote, waarabu wote na waislam wote.
 
Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!

Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.

#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.

View attachment 2438715
Nilikuwa sijui kwa hilo ngoja nielimishe ma kundi niliyonayo asee next time naitabilia mabaya hatari
 
Akumbuke na siku timu ya nchi ya kiislamu itakapotolewa na timu ya nchi ya kikristu. Akumbuke kutoa Taarifa kuwa waliotolewa ni wamorocco wote, waarabu wote na waislam wote.
jinga sana ili chezaji hakukuwa na sababu ya yeye kuongea maneno yale wakina al haji diof wakiwa wanawatoa France mbona awakusema huu ushindi ni kwa ajili ya wa Africa weusi tu,waislamu na wasenegal ..
 
Yaani wabongo kwa kushabikia upuuzi sasa team ni ya Morocco kwa hayo aache kuitaja Morocco walipozaliwa ulitaka ataje Africa kwani Morocco ipo madawa au kwasababu kataja uislamu hapo elewa tu uishabikie Morocco au usiishabikie hakuna kinachoongezeka wala kinachopungua kwao kama kufungwa watafungwa na kushinda watashinda you have nothing to change that.
 
Msamaha wa kinafki[emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1043485100.jpg
 
Nyinyi miafrika myeusi mpira hamjui, kazi yenu ni uchawa na uchura tu.
Kwahiyo sisi waarabu hatuwezi kuwapambanieni nyinyi ngozi ya goti, hilo mukae mkijua.

Kwani si mulikua na vitimu vyenu kwenye michuano hii?
Kwataarifa yenu sisi tunachukua ubingwa, na hatutaki mutushabikie.
KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
"Kobe nyie"
labda kombe la kunywa la kwa mganga lakini sio WC
 
Back
Top Bottom